Gigy Money: Kudanga Ndio Kunaniweka Mjini

Gigy Money: Kudanga Ndio Kunaniweka Mjini

Fikiria Dr Louis akizinunua zote kwa 900 na akashindwa kutoa asilimia 20!!!
Tafadhali usinikumbushe ya Dr. Shika! Yule jamaa achana naye kabisa, ananikumbusha Mzee mmoja alikuwa anaitwa Batenga, jina kama hilo kama sijakosea, ni watu wenye IQ za juu sana..
 
Tafadhali usinikumbushe ya Dr. Shika! Yule jamaa achana naye kabisa, ananikumbusha Mzee mmoja alikuwa anaitwa Batenga, jina kama hilo kama sijakosea, ni watu wenye IQ za juu sana..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom