Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.

1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money

"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"

"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.

2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]

"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,

Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]

1692642015478.jpg
1692642026554.jpg
 
Kweli uzuri wa mtu uko machoni pa muangaliaji
Nabii ana sura kama anapuliza moto aseee

P wa Wolper ana shida gani?
Kweli uzuri wa mtu uko machoni pa muangaliaji
Nabii ana sura kama anapuliza moto aseee

P wa Wolper ana shida gani?
Sasa naweza pumzika ..ni mempata wakumrithisha mikoba.
 
Back
Top Bottom