Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.


1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money

"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"

"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.

2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]

"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,

Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]View attachment 2724535View attachment 2724537
Nimejiskia kuwaombea wao na kizazi chote cha leo....

Baba ktk jina la Yesu Kristo, naomba baraka na neema kwa kizazi hiki cha leo, kilicho jaa Kiburi, majivuno na Tamaa. Fungua Roho na Mioyo yao migumu, iweze kuskia sauti ya wito wako ktk maisha yao na familia zao.
Huisha Roho ya kukata tamaa, kukosa utulivu na subra na kwa huruma yako wasamehe makosa na dhambi zao walizotenda kwa mawazo na matendo. Bariki dhamira, mipango na haja za Mioyo yao kadiri mapenzi yako.Amen.
 
Kweli uzuri wa mtu uko machoni pa muangaliaji
Nabii ana sura kama anapuliza moto aseee

P wa Wolper ana shida gani?
Niko na malaika hapa, nimeona wanarekodi hii dhambi yako ya kumdiss mtumishi. Naambiwa watu kama wewe mtachomwa moto kwenye chamber namba 67. Jirani kabisa na Osama na Adolf Hitler!


[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimejiskia kuwaombea wao na kizazi chote cha leo....

Baba ktk jina la Yesu Kristo, naomba baraka na neema kwa kizazi hiki cha leo, kilicho jaa Kiburi, majivuno na Tamaa. Fungua Roho na Mioyo yao migumu, iweze kuskia sauti ya wito wako ktk maisha yao na familia zao.
Huisha Roho ya kukata tamaa, kukosa utulivu na subra na kwa huruma yako wasamehe makosa na dhambi zao walizotenda kwa mawazo na matendo. Bariki dhamira, mipango na haja za Mioyo yao kadiri mapenzi yako.Amen.
Endelea na maombi mtumishi, waombee pia wake waliowahi kupiga nyeto huku wakiwaza wapo na hao wadada.

Mungu awaponye.
 
Back
Top Bottom