Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #41
Wewe ndio baba ake na P?Sasa naweza pumzika ..ni mempata wakumrithisha mikoba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio baba ake na P?Sasa naweza pumzika ..ni mempata wakumrithisha mikoba.
Sina swali hapo 😁Dah! Warembo wa mjini, hivi 'vitilapia' nyie huwa hamjisikii?
Watanzania huwa hatuandamani, ila tuna njia zetu za kudeal na mambo, TEC wamehitimisha. Hili limeisha. Kuna mwanamke nilikua namlia mingo muda kidogo, sema nikawa situlii, muda mwingi niko pori. Jana nimerudi, upwiru umenikaba, nikaanza msalandia, asubuhi tukakubaliana tuonane. Tumeonana...www.jamiiforums.com
Kusali Hilo kanisa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kifala sana Mkuu
Nimejiskia kuwaombea wao na kizazi chote cha leo....Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.
1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money
"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"
"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.
2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]
"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,
Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]View attachment 2724535View attachment 2724537
Niko na malaika hapa, nimeona wanarekodi hii dhambi yako ya kumdiss mtumishi. Naambiwa watu kama wewe mtachomwa moto kwenye chamber namba 67. Jirani kabisa na Osama na Adolf Hitler!Kweli uzuri wa mtu uko machoni pa muangaliaji
Nabii ana sura kama anapuliza moto aseee
P wa Wolper ana shida gani?
Kwamba Ni promo ya nyimbo mpya? [emoji4]Kuna watu watasadiki hii drama,,
Sasa ulitaka aokoke nani kama sio hao mademu?Kw
Hakuna kitu hapo.
Sadaka sio lazima so hamna biashara kwa nabii.Dini biashara yaani jamaa kawanunua ili kuapata umaarufu...
Endelea na maombi mtumishi, waombee pia wake waliowahi kupiga nyeto huku wakiwaza wapo na hao wadada.Nimejiskia kuwaombea wao na kizazi chote cha leo....
Baba ktk jina la Yesu Kristo, naomba baraka na neema kwa kizazi hiki cha leo, kilicho jaa Kiburi, majivuno na Tamaa. Fungua Roho na Mioyo yao migumu, iweze kuskia sauti ya wito wako ktk maisha yao na familia zao.
Huisha Roho ya kukata tamaa, kukosa utulivu na subra na kwa huruma yako wasamehe makosa na dhambi zao walizotenda kwa mawazo na matendo. Bariki dhamira, mipango na haja za Mioyo yao kadiri mapenzi yako.Amen.
SawaMwonekano unasadifu tabia ya mtu[emoji4]
Hahaahaa ila WADADA WA MJINI BHANA UTASIKIA NA VIBINTI VYA SIKU HIZI MIMI ROLE MODEL WANGU GIGY,AMBER RUTY,AMBER LULU,WOLPER ,WEMA SEPETU DUH KWELI MJI UNA KAZI
Wewe jamaa wewe acha nyetoKwa hiyo tuendelee na nyeto tuu?
Siachi asee.Wewe jamaa wewe acha nyeto
Usisahau kuwa walawi sio wabongo wala waniga, so hizo sheria za kilawi haziwahusuMlawi haruhusiwi kunyoa denge, biblia imemkataza kunyoa hivyo
Hutaenda mbinguniSiachi asee.
P wa wolper ana nyama za puaKweli uzuri wa mtu uko machoni pa muangaliaji
Nabii ana sura kama anapuliza moto aseee
P wa Wolper ana shida gani?
Nawe unasali kwa huyu Nabii [emoji848] wa mchongoNilikua hapo church iyo jumapili. Yaani drama kabisa ile.
Ndio nani huyu?Wapi pedeshee Dallas wa ununiooo
Nyeto wala si dhambi na ndio maana haipo kwenye amri za Mungu wala za kanisa/msikiti kwenye vitabu vyao vya ImaniHutaenda mbinguni