Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.

1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money

"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"

"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.

2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]

"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,

Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]

View attachment 2724535View attachment 2724537
Wanahamisha mjadala wa DPW? Wamechemsha wakajipange upya.

This Time Watanzania wamewadharau wanafiki wote.
 
Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.

1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money

"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"

"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.

2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]

"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,

Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]

View attachment 2724535View attachment 2724537
Matapeli wamekutana Ngoma droo
 
Na hakuna dhambi ya zinaa ya rohoni
Yesu mwenyewe alisema..... " kila amtazamaye mwanamke na kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni....."

Hilo ni onyo la tahadhari kutoka kwa Yesu kwenda kwa wanaume wote .

Na alimkazia... "jicho lako likikuletea shida ling'oe, ni kheri uende mbinguni ukiwa na jicho moja kuliko kwenda jehanamu na macho yako"
 
Back
Top Bottom