Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyeto ni zinaa ya rohoni yaani unamtazama mwanamke na kumtamani moyoni kisha unapiga nyeto.Nyeto wala si dhambi na ndio maana haipo kwenye amri za Mungu wala za kanisa/msikiti kwenye vitabu vyao vya Imani
Asimuangushe prophet dhambini tuNilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi..
Watu wamefika Bei[emoji28]Dini biashara yaani jamaa kawanunua ili kuapata umaarufu...
Hamna mchungaji Apo[emoji28]Mchungaji ananyoa hvi..[emoji119][emoji23][emoji23]
Na hakuna dhambi ya zinaa ya rohoniAyeto ni zinaa ya rohoni yaani unamtazama mwanamke na kumtamani moyoni kisha unapiga nyeto.
Zinaa hiyo aliikemea Yesu kwa sababu ni dhambi.
Wanahamisha mjadala wa DPW? Wamechemsha wakajipange upya.Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.
1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money
"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"
"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.
2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]
"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,
Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]
View attachment 2724535View attachment 2724537
Matapeli wamekutana Ngoma drooKila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.
1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money
"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"
"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.
2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]
"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,
Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]
View attachment 2724535View attachment 2724537
Yesu mwenyewe alisema..... " kila amtazamaye mwanamke na kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni....."Na hakuna dhambi ya zinaa ya rohoni
AmenYesu alikuja kwa ajili yetu sote
Wabarikiwe sana
Yeye ni nabiiHamna mchungaji Apo[emoji28]
Unawaza vibaya nduguGigy anaenda kumpa kipochi mtumishi wa mungu 🙉
😂Asimuangushe prophet dhambini tu
Sasa nitawaza nini na wakati kwenye uzi tunaona anasema ameenda kusali kwa sababu mchungaji handsomeUnawaza vibaya ndugu