Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
niite nyeto mechanics eng.
hao mech wengine wako Tabata
Wana Tabata wanaumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niite nyeto mechanics eng.
hao mech wengine wako Tabata
Daaaa qnet etiiNabii ana mwonekano wa QNET kabisa[emoji28]
Hakuna mtumishi hapo,biashara tu hizoKwa nini unamsema vibaya mtumishi?
P wa wolper ana nyama za pua
Niko na malaika hapa, nimeona wanarekodi hii dhambi yako ya kumdiss mtumishi. Naambiwa watu kama wewe mtachomwa moto kwenye chamber namba 67. Jirani kabisa na Osama na Adolf Hitler!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
epicenter ya UTI huko,View attachment 2725067
Wana Tabata wanaumia.
Ni kweli ila usisahau biblia ni kazi ya fasihi. Kwa sasa watu wote wanaokaa madhabahuni wamechukua nafasi ya walawi japo sheria haijawahi badilika so na wao wanabanwa na kanuni hizo hizo.Usisahau kuwa walawi sio wabongo wala waniga, so hizo sheria za kilawi haziwahusu
Inaonekana Tabata umepiga Sensa ya KE na makazi.epicenter ya UTI huko,
unanunua batch nzima ya Azuma unakaa nazo ndani
Kama ni yule Malisa wa ubungo kibangu hawa watakuwa hawara zake. maana huyo dogo malisa alimpiga chini mkewe akamchukua demu mwingine hapohapo kanisani na kanisa likapasuka. Baadhi ya watu wakaondoka na ex wife wake.Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.
1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"- Gigy Money
"Mimi nimeanguka sana japo siwezi kusema nilianguka wapi, na pia naweza kusema siyo kila Nabii ninaemuona naweza kwenda kwenye kanisa lake, mimi ni Gigy Money nadhani mnajua, lakini pia nina ile hali kwamba watanionaje nikienda kanisani. Nilivyomuona Prophet Malisa kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa nikasema eeeh mbona Nabii Handsome hivi[emoji848] nikasema mtu kama huyu alifaa kuwa video King kwenye nyimbo za wasanii inakuwaje anamtumikia Mungu? lazima ana kitu"
"Nikasema mbona yupo kwa Mungu na uzuri wote huu, nikasema ngoja nimsikilize, ndio maana nimekuja hapa kusikiliza kilichopo ndani ya Nabii huyu"- Gigy Money.
2. Sababu Kutoka Kwa Wolper [emoji116][emoji116][emoji116]
"Prophet Malisa Nimekuwa Nakufatilia Saana You tube Nikapendezwa na Mahubiri yako,Nilipoingia Mahali hapa Nilipokea nguvu ya Mungu ndani yangu, Kwenye nyumba ya Mungu Mtu ukivaa miwani kama hii niliyovaa inakuwa ni kama vile Namzoom Mungu lakini Mimi nimevaa sio Kama nimependa kuvaa Nikama macho yangu yamevimbaa Kwa kulia,.wiki nzima hii Nimekuwa nikilia tuu kwajili ya Mtoto wangu P ,,Naamini kifika kwenye Madhabau hii Mwanangu P anakwenda kupokea Uponyaji,,
Kila la kheri na safari yao ya imani [emoji120][emoji120]
View attachment 2724535View attachment 2724537
Biblia Takatifu ina ujumbe mmoja tu ujulikanao nao ni UKOMBOZI, soma kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi kitabu Ufunuo ujumbe ni ule ule wa UKOMBOZI WA MWANADAMU.Ni kweli ila usisahau biblia ni kazi ya fasihi. Kwa sasa watu wote wanaokaa madhabahuni wamechukua nafasi ya walawi japo sheria haijawahi badilika so na wao wanabanwa na kanuni hizo hizo.
Tukikaa kwenye dhana yako ni sawa na tuseme Biblia haimhusu kabisa mtu mwengine yeyote.tofauti na Myahudi. Jambo ambalo kuna.wakati ni kweli pia, tumeforce sana ituhusu.
Bosi naomba ufungue uzi kuhusu hiyo scandal ya Malisa tuijadili vizuri, tutawasaidia wengi.Kama ni yule Malisa wa ubungo kibangu hawa watakuwa hawara zake. maana huyo dogo malisa alimpiga chini mkewe akamchukua demu mwingine hapohapo kanisani na kanisa likapasuka. Baadhi ya watu wakaondoka na ex wife wake.
😂😂😂 Kuishi kwingi kuona mengiNabii kanyoa kiduku Cha kitapeli kabisa [emoji28]View attachment 2724546
Hakuna shida kwa mtu wa kawaida ila kwa kuhani kunashidaKwani kuna kunyoa kilokole?
Sioni kama kuna shida kwa huo mtindo
Tumpe mji huyu nabii 😂Oyaaa mtumishi ananyoa kwa engo kama jux😂
Na bado, mtaona mengi zaidi 😁😂😂😂 Kuishi kwingi kuona mengi