Umalaya tu huo,na huyo uliempata unampenda kwa hela zake na sio mapenzi ya kweli,jipu wewe.Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na wote walimtongoza kwenye mtandao wa instagram.
Gigy Money amesema kwa sasa amefunga Dm yake instagram sababu ya kuondoa usumbufu wa wanaume wanaomtaka kila leo. Kwa sasa amepata sponsor anaempa pesa nyingi almost laki 5 kila siku hivyo hana mpango wa kupata bwana mwingine labda atokee mwenye hela zaidi.
Anawachezesha watu ngoma na wao wanacheza..Lengo lake linatimia..Halafu huyu Hemed nilikuwaga simuelewi..Bora Giggy amejibu baadhi ya maswaliHuyu dada show off sana, nafikiri ni mbinu yake ya kuongeza wateja, na anaposema eti walinitongoza kupitia insta ni kama anatujulisha kwamba anapatikana kwa njia hiyo.
Basi hapo fresh... Dalali wake ni yule aliyedinda nini?ndio
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe.
Urembo labda siku hzi umepoteza MaanaJamani tuache utani huyu binti mrembo sana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na wote walimtongoza kwenye mtandao wa instagram.
Gigy Money amesema kwa sasa amefunga Dm yake instagram sababu ya kuondoa usumbufu wa wanaume wanaomtaka kila leo. Kwa sasa amepata sponsor anaempa pesa nyingi almost laki 5 kila siku hivyo hana mpango wa kupata bwana mwingine labda atokee mwenye hela zaidi.
Only in TANGANYIKAHivi ustaa ni ngono tu !
Haha me bi buku 5Laki 5 kila kukicha ............my Foot.
Ndo wapiAtaishia shimo la tewa
Kitumbua mkuuNani alipe hilo gunia laki tano kila siku?
FOH!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]aache uongo bei ya sepetunga ni laki 5 kwa siku mbili full board...sembuse yeye