Gigy Money: Nimeshatembea na Kiba, Mavoko na Hemed PhD, walinitongoza instagram

Gigy Money: Nimeshatembea na Kiba, Mavoko na Hemed PhD, walinitongoza instagram

Ila huyu Gigy ana roho fulani chafu inayomfatilia..maana hata utandawazi effect yake haiwi hivi au sio mshana jr [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na wote walimtongoza kwenye mtandao wa instagram.

Gigy Money amesema kwa sasa amefunga Dm yake instagram sababu ya kuondoa usumbufu wa wanaume wanaomtaka kila leo. Kwa sasa amepata sponsor anaempa pesa nyingi almost laki 5 kila siku hivyo hana mpango wa kupata bwana mwingine labda atokee mwenye hela zaidi.
Umalaya tu huo,na huyo uliempata unampenda kwa hela zake na sio mapenzi ya kweli,jipu wewe.
 
Huyu dada show off sana, nafikiri ni mbinu yake ya kuongeza wateja, na anaposema eti walinitongoza kupitia insta ni kama anatujulisha kwamba anapatikana kwa njia hiyo.
Anawachezesha watu ngoma na wao wanacheza..Lengo lake linatimia..Halafu huyu Hemed nilikuwaga simuelewi..Bora Giggy amejibu baadhi ya maswali
 
kumbe gigy money mwanamke! ujio wake umeambatana na kutoweka kwa sukari hatuna hamu nao.
 
244b47b47011f5b03ae718b9a6026040.jpg
Jamani tuache utani huyu binti mrembo sana
b2b83719e8df6627525b01de1f993130.jpg
Urembo labda siku hzi umepoteza Maana
 
Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na wote walimtongoza kwenye mtandao wa instagram.

Gigy Money amesema kwa sasa amefunga Dm yake instagram sababu ya kuondoa usumbufu wa wanaume wanaomtaka kila leo. Kwa sasa amepata sponsor anaempa pesa nyingi almost laki 5 kila siku hivyo hana mpango wa kupata bwana mwingine labda atokee mwenye hela zaidi.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
aache uongo bei ya sepetunga ni laki 5 kwa siku mbili full board...sembuse yeye
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]
 
hapo nadhani hamjamuelewa

nafikiri alimaanisha" kila akikojozwa anapewa hyo laki 5" na sio kila day inayoitwa leo anapewa
 
Back
Top Bottom