kitabakilo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 319
- 570
Gas tu labda kama kuna kingine cha ziada
sijui nifanyaje niwe bilionea [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ndo kama watu huwa nawashangaa wanasemaga eti Bakhresa alianza kubrash viatu baadae mashine ya kusaga unga na kukoboa ndo maans leo tajiri.......nyooooo!!! Siri ya utajiri wa mtu anaujua yeye mwenyewe!!Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.
kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.
jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.
kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
kweli aisee bora ile ya upande wa kulia imenona balaaGanda hilo,wauza sembe wanafanikiwa sana huko South.Ila na yeye anapenda vibibi kizee ,yule mkewe ni bibi kabisa.
Ukiona hivyò ujùe ni mtamuGanda hilo,wauza sembe wanafanikiwa sana huko South.Ila na yeye anapenda vibibi kizee ,yule mkewe ni bibi kabisa.
Njia ya kwa mganga si unaijua lakini?sijui nifanyaje niwe bilionea [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji28] [emoji28]Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.
kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.
jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.
kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
Lini Bill Gates atapiga picha kuonesha Mansion na gari zake?! Hata Mo tu hawezi fanya hivyo!
Utajiri wa kimazabe wa kiafrika bana!!
Na Huyu ni less educated!
Msukuma kama young killer yani masikini akipataGinimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Mkuu uchochez huu ngja waje[emoji23] [emoji23] [emoji41]Msukuma kama young killer yani masikini akipata
Mkuu we sio wa zamani. Chiba jamaa kafupisha alimaanisha sonchiba kama sijakosea katika miaka ya 80"-90" kulikuwa na mcheza filamu mmoja wa kihindi alikuwa mlemavu akiitwa sonchiba. Basi tokea hapo walemavu wakaanza kuitwa hivyo.Hebu fafanua hapo kwenye herufi kubwa
Kama Lungumi tuliambiwa alikuwa ni mpaka viatu rangi...Ndo kama watu huwa nawashangaa wanasemaga eti Bakhresa alianza kubrash viatu baadae mashine ya kusaga unga na kukoboa ndo maans leo tajiri.......nyooooo!!! Siri ya utajiri wa mtu anaujua yeye mwenyewe!!