Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Gas tu labda kama kuna kingine cha ziada

sijui nifanyaje niwe bilionea [emoji124] [emoji124] [emoji124]
406a32db03f29b61e42e02bc5913218f.jpg
 
Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.

kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.

jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.

kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
Ndo kama watu huwa nawashangaa wanasemaga eti Bakhresa alianza kubrash viatu baadae mashine ya kusaga unga na kukoboa ndo maans leo tajiri.......nyooooo!!! Siri ya utajiri wa mtu anaujua yeye mwenyewe!!
 
Lini Bill Gates atapiga picha kuonesha Mansion na gari zake?! Hata Mo tu hawezi fanya hivyo!
Utajiri wa kimazabe wa kiafrika bana!!
Na Huyu ni less educated!
 
Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.

kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.

jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.

kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
[emoji28] [emoji28]
 
Lini Bill Gates atapiga picha kuonesha Mansion na gari zake?! Hata Mo tu hawezi fanya hivyo!
Utajiri wa kimazabe wa kiafrika bana!!
Na Huyu ni less educated!

Less educated. Mhhhhh ok mtu anakula maisha wewe unawaza karatasi la elimu ,piga buku kama maarifa hakuna utabakia hivyo hivyo. Dr Shika kapiga buku leo hii huyo hapo.
 
Ndo kama watu huwa nawashangaa wanasemaga eti Bakhresa alianza kubrash viatu baadae mashine ya kusaga unga na kukoboa ndo maans leo tajiri.......nyooooo!!! Siri ya utajiri wa mtu anaujua yeye mwenyewe!!
Kama Lungumi tuliambiwa alikuwa ni mpaka viatu rangi...

Ila Ginimbi lazma yupo nyuma ya viroba vya unga... Ngawira anayo
 
Back
Top Bottom