Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Less educated. Mhhhhh ok mtu anakula maisha wewe unawaza karatasi la elimu ,piga buku kama maarifa hakuna utabakia hivyo hivyo. Dr Shika kapiga buku leo hii huyo hapo.
nilitaka kumjibu but
kumbe ulikuwa umeshamaliza ..muache aendelee kujidanganya..japo na elimu yake lakini kwahuyo Jamaa atapewa kazi nakulishwa vizur tu ..dharau nyingine zisizo na faida hizi niujinga tu ..tunapaswa kuwaachia kina Steve jobs nakina mack zuckerberg..maaana elimu zao zimeweza kukomboa vizazi vyao
 
GINImbi katisha aiseeeee

ila naungana na baadhi ya wadau ..Siri ya utajiri haina tofauti naya serikali .hakuna mtu atakayekwambia namna alivyofanikiwa ..hata baba zetu wazazi huwa hawasemi ..
so msione watu wanamapesa yao mkaanza kuchukulia sport sport...
yule Jamaa wenu wa forex ndio maana aliwapiga hela ..kwa7bu mnapenda kuamini mambo kiwepesi wepesi pasipo kufikirisha bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…