Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Siri ya pesa aijuae ni mmiliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Utakuja jibu hiyo kesi we muite tu, achana nae bhana kwanza ukuje kule.
Mi pia nilikuwa nawaza hivyo hivyo,kaniacha hoi pozi zake tu,hela haichagui mtu yukoje au anafanana vipi ni juhudi zako ndio zitakutoa na kukufanya uwe nani,hongera sana Ginimbi...Ginimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Ila ginimbi ni mshamba !Mi pia nilikuwa nawaza hivyo hivyo,kaniacha hoi pozi zake tu,hela haichagui mtu yukoje au anafanana vipi ni juhudi zako ndio zitakutoa na kukufanya uwe nani,hongera sana Ginimbi...
Chiba nimtu mwenye mguu mfupi ..kilema wa mguuHebu fafanua hapo kwenye herufi kubwa
hahaaaaMmh kama kweli vile...
Huyo jamaa hapo ana hela sura ngumu
Angekuwa kapuku sijui ingekuwaje !
hahaaaKwa trump huyu naye Shithole
nilitaka kumjibu butLess educated. Mhhhhh ok mtu anakula maisha wewe unawaza karatasi la elimu ,piga buku kama maarifa hakuna utabakia hivyo hivyo. Dr Shika kapiga buku leo hii huyo hapo.
Hahaha ukimkuta anavolia kunibembeleza hutaamin apo anazuga tu usiku anagombana na watu wanaoniita mpenzInnaaaaaaaaaaaa[emoji350] [emoji350] [emoji350] kuja sikia hukuu,.uzombi kaanza lini!?
Ujanja HELA boya wewe sio kupaka poda na kushusha suruali chini ya makalio kama shoga. Tuoneshe fleet yako ya mindinga kama yako tupime ujanja wako.Ginimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Na wewe anza kuuza Mkuu. If you think pushing drugs is something easyhuyu Ginimbi atakuwa anauza unga kama Diamond
Hehehee[emoji108] chezeyaa Inna Ww,.huko aliko tumbo jotrooooHahaha ukimkuta anavolia kunibembeleza hutaamin apo anazuga tu usiku anagombana na watu wanaoniita mpenz
[emoji2] [emoji1] magnesium inamuhusu GidimbiMkuu sio Gas ya kuvimbiwa maharage mkuu, ni gas inayotumika majumbani na viwandani.
Umeona eeeh? Kila tajiri anajua siri yake ya utajiri mwenyewe!!Kama Lungumi tuliambiwa alikuwa ni mpaka viatu rangi...
Ila Ginimbi lazma yupo nyuma ya viroba vya unga... Ngawira anayo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tajiri yeyote hasa kwa hapa TZ hakuna anayeweza kutoa siri ya utajiri wakeHaha wabongo wanajua siri zao hahaha..huoni kuna thread mdau kaanzisha bas kila mtu anasema siri ya tajiri anayemjua hapa bongo hahaa vichekesho.
😀😀😀😀Huyu jamaa amefanana na kale kakatuni is despiscable me !! Hasa hiyo picha ya kwanza