Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Anasura ngumu

Nawaza watoto wao wanafananaje
 
Nipo kumwambia baby aanze uza gas uwenda nayeye akawa billionea
 
inaonekana unapemda cartoo..mimi pia nisajestia zakuona
yaaaan mlevi wa kutupa anza na rango then despicable 1 2 3,pussy on the boots,the croods,peter the rabit,sing,rio,rio 2,bossbby,zootopia,shrink,stork,madagascar zote yaan ni nyingi hadi nashindwa nikuandikie ipi niache ipi.af sijui kutofautisha kat ya animation n cartoon
 
Hahahaaa ndio maana watu wenye mguu m1 mrefu mwingine mfupi tunawaita "SONI".
Yaah ni waqt huo wa avalon au new chox hata mtu mwenye mapengo aliitwa spinks huyo alikuwa bondia alie tolewa meno sasa mkiwa maskani mnakuwa na terminology zenu za kuweza kuelewana na kuwaacha wengine solemba.
 
yaaaan mlevi wa kutupa anza na rango then despicable 1 2 3,pussy on the boots,the croods,peter the rabit,sing,rio,rio 2,bossbby,zootopia,shrink,stork,madagascar zote yaan ni nyingi hadi nashindwa nikuandikie ipi niache ipi.af sijui kutofautisha kat ya animation n cartoon
zote nimechek kasoro despicable 3....
cheki na over the hedge.....
 
Yaah ni waqt huo wa avalon au new chox hata mtu mwenye mapengo aliitwa spinks huyo alikuwa bondia alie tolewa meno sasa mkiwa maskani mnakuwa na terminology zenu za kuweza kuelewana na kuwaacha wengine solemba.
Hahaha da kizazi hiki cha MULUGO mtu mwenye pengo tunamwita "KADINALI".
 
Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.

kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.

jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.

kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
Acha tuu Mzee watu wanazugia tuu hizi biashara uchwara mbele. Kuna chalii mmoja tulikuwa nae kitaa alikuwa mambo safi sana kubadili mkoko kila mwezi anakaa kwenye apartment nzuri yaani kiufupi maisha safi anazuga na kumiliki Barbershop nikawa najiulizaga hivi huyu chalii age kama tunaendana mimi nashindwa wapi aisee kutoboa. Siku anekuja kukamatwa na usalama wakachomoa pembe za ndovu kwenye buti ya gari kumbe anapiga mishe za kutuulia wafanyama adimu huko Mbuga ya Katavi. Toka siku hiyo simuamini tajiri wachanzo kisichoeleweka hasa hawa matajiri wa kiarabu wanaojifanya wanakomaa mikoani bush huko hasa Katavi,Tabora na Kigoma wengi mishe zao ni za uwindaji haramu kwenye maduka wanazuga tuu wanavijana wai wanaowatumia kufanya uharamia huko maporini na mjini wengi wauza poda.
 
Back
Top Bottom