Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajijibu tena hahahahaha kweli chizi maarifa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo hamna mke..kwamba unasema HiiiiWadau kuna mdada nadate naye ni kichefuchefu sana. Haya mambo yananipa ukakasi sana wa kusonga naye mbele.
1. Hana romantic language yaani huyu dada ana maneno magumu sijapata ona siku anakuja home namwelekeza na mtu wa bajaji, tena first day ananambia "bwana eeh kama vipi mi nageuza zangu homu sitaki shida mimi. Tumenyanduana anaanza lalamika. "Kojoa bwana mi nshachoka kama vipi tuache mi nshamaliza we unataka nini sasa?"
2. Ulalamishi. Analalamika sijapata kuona utasema mama alokosa mwana. Imagine sijamsalimia toka jana leo katuma meseji "nilivokumbia nipo period naona hata kunitafuta hutaki. Kama vipi tuachane bana"
Nami nikaona ujinga huu sasa. Nikamjibu "sawa nadhani ni jambo la busara" zimekuja meseji hizo.
"Nilijua tu ndio ulichokuwa unataka baada ya kuni**mba sasa unaona sina maana, wewe malaya sana na nakwambia ujaribu kuniacha kama sijaja kukuharibia kwa demu wako mpya. Utachezea hao hao sio mimi"
Nimeshangaa sababu yeye ndo ali-suggest tuachane hata saa moja halijapita yanakuwa maneno tena.
Huyu girlfriend anakata stimu sana, kwanza ni kisirani hata wakati wa kunyanduana anatukana sana. Alinishtua anamaliza kwa kunitukana siku hiyo anasema "we xxxxx ms*ge sana, we fala endelea hivyo hivyo, mse** weeee.... " huku ananikamata shingoni akimaliza, nlikwazika sijawahi tukanwa hivyo.
Akipigiwa simu akapokea anaongea na wenzie wakamzingua utasikia "we **ma masikhara yako kafanyie huko huko ntakutia **dole hadi machoni mbwa wewe"
Hapo nlimwambia hiyo lugha mimi sipendezi nayo, alichonijibu sasa " na wewe usitake kunzingua sasa hivi niache kabisaaaa staki mambo ya kifala mimi, kama unaona nakuboa mi nisepe zangu tu" nikamwambia "yes you can leave"
Akainuka akabeba vitu vyake akaondoka. Haukupita muda zikaanza kuingia text za kulalamika kuwa namnyanyasa sababu nimemzidi Elimu, mwanaume gani nina mambo ya kibraza man, anajuta why alinipa **chi wake.
Kiufupi nimechoka naye huyu dada, ni kichefu chefu kweli. Ana body nzuri hasa na sura, very attractive. Elimu yake Diploma ya Uhasibu hapo Kurasini. But ni mswahili sana. Ananikwaza kwa hayo mambo yake.
Akitaka kunyanduana hapo atatuma text "leo nataka tukato***ne" huwa hana maneno mengi. Ila shida yake mtaenda akimaliza tena kwa matusi kwako uliyemmalizisha basi hana hamu tena anataka nawe umalize mchezo.ukiwa mbishi anachomoa analala.hataki umguse.
Ni very kichefuchefu huyu demu, hapo ananambia nikajitambulishe kwao tuwe wachumba. Namtizama nasema hiii..... Sioni mke hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]hayo majina ya kina kadadaa,kamamaa,hadijaaa ni noma
Ukikuta dem anaitwa ivyo ata usijaribu kimbiaaa
Hakika!Matatizo ni kama makalio, wengine wanayo makubwa wengine madogo.
Ni balaa man...Hahaha nimecheka Sana aisee, kuna stories zingine tunashindwa kuzisema humu Ila zinaendana sana. Sirudii kupeleka demu niliyeokota kiwanja ghetoni, nilijivunjia heshima hivi hivi kwa baba mwenye nyumba na majirani zangu. Yule demu Ms*ng* sana
Mademu wa Arusha uwe na akili za ziada...
Mara ya kwanza ilikuwa powa tu asubuhi akachomoka na kurudi kwake. Ikapita Kama wiki hivi, kila akitaka kuja namkatalia kuwa kuna mdogo wangu amekuja kikazi Arusha anahudhuria seminar week alafu ataondoka. Ebanaee week end hiyo, nipo gheto na mdogo wangu tunacheki series mida ya saa sita kwenda saba usiku, tunashangaa mlango unagongwa, kwenda kufungua demu bila salamu kachoma ndani mpaka kitandani yupo bwiii, sijui niseme ananuka au ananukia savanna. Mdogo wangu ananiangalia mimi, nikawa mstaarabu tu, mbona hujanijulisha kuwa unakuja? Hayo majibu yake sasa ndio yalikuwa yananikera, nilipandwa na hasira pale alipoanza kutukana na kusema haondoki pale ni kwa mchumba wake.Ni balaa man...
Mkuu huyu sio demu.Ni changudoa anayejiuza proper.Usimwite demu.Kabila gani tuanzie hapo...???.
Kuna kademu kakikurya kaliwahi kuniletea hizo pigo...nilikakuta kiwanja kanakunywa Windoheck...nikaagiza konyagi ndogo na Safari lager...kalikuwa kapole sana...stori mbili tatu kakamaindi flag...basi "muhudumu mpe bia tatu" kakaanza kucheka cheka nikaomba shoo kakademand 30 kulala nikaona isiwe shida sababu mboli ilikuwa kama na Three hundred sixty thousand. round nyingine kakalamba bia tatu (jumla bia 6=18,000)..kalivoanza kulewa ndo nikaanza kukasoma ..nikakaambia twende geto kakaanza kushout "unanilazimisha kisa umenunua vibia vyako"..muda ukawadia kakatepeta.. nikakakokota haoo mpaka geto..kufika geto kakasema nikape chake ...nikatoa thirty thousand..nikakaambia kavue nashangaa kanasema navua jeans tu ..juu hapana..nikakaambia mi mzuka wangu hadi ninyonye nido nashangaa kanazingua, Kakashusha jeans hadi magotini kakainama.. kakasema log in,basi hasira ilinijaa nikaanza kukapa viganja hiyo ngoma kumi kasoro kakapiga yowe hadi majirani wakaamka...kuuliza ..hakajaanza kuwambia majirani eti nimekatia alafu nataka nikale na tigo na hela sijakapa!!! Niliona noma kinomanoma,ikabidi kalale kwa father house...asubuhi na mapema kesi ikaanza ikabidi dingi house aseme nikape hela ya nauli kaende..nikakapa ten...kakaenda...mzigo sijala, bia kamekunywa na 40 juu...kufika saa tisa mchana dingi house akanipa notice nihame...pale ndo niliamini kuna mademu wana nuksi...sasa huyo demu wako ni type hiyo hiyo sure nakwambia..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Kabila gani tuanzie hapo...???.
Kuna kademu kakikurya kaliwahi kuniletea hizo pigo...nilikakuta kiwanja kanakunywa Windoheck...nikaagiza konyagi ndogo na Safari lager...kalikuwa kapole sana...stori mbili tatu kakamaindi flag...basi "muhudumu mpe bia tatu" kakaanza kucheka cheka nikaomba shoo kakademand 30 kulala nikaona isiwe shida sababu mboli ilikuwa kama na Three hundred sixty thousand. round nyingine kakalamba bia tatu (jumla bia 6=18,000)..kalivoanza kulewa ndo nikaanza kukasoma ..nikakaambia twende geto kakaanza kushout "unanilazimisha kisa umenunua vibia vyako"..muda ukawadia kakatepeta.. nikakakokota haoo mpaka geto..kufika geto kakasema nikape chake ...nikatoa thirty thousand..nikakaambia kavue nashangaa kanasema navua jeans tu ..juu hapana..nikakaambia mi mzuka wangu hadi ninyonye nido nashangaa kanazingua, Kakashusha jeans hadi magotini kakainama.. kakasema log in,basi hasira ilinijaa nikaanza kukapa viganja hiyo ngoma kumi kasoro kakapiga yowe hadi majirani wakaamka...kuuliza ..hakajaanza kuwambia majirani eti nimekatia alafu nataka nikale na tigo na hela sijakapa!!! Niliona noma kinomanoma,ikabidi kalale kwa father house...asubuhi na mapema kesi ikaanza ikabidi dingi house aseme nikape hela ya nauli kaende..nikakapa ten...kakaenda...mzigo sijala, bia kamekunywa na 40 juu...kufika saa tisa mchana dingi house akanipa notice nihame...pale ndo niliamini kuna mademu wana nuksi...sasa huyo demu wako ni type hiyo hiyo sure nakwambia..
Wadau kuna mdada nadate naye ni kichefuchefu sana. Haya mambo yananipa ukakasi sana wa kusonga naye mbele.
1. Hana romantic language yaani huyu dada ana maneno magumu sijapata ona siku anakuja home namwelekeza na mtu wa bajaji, tena first day ananambia "bwana eeh kama vipi mi nageuza zangu homu sitaki shida mimi. Tumenyanduana anaanza lalamika. "Kojoa bwana mi nshachoka kama vipi tuache mi nshamaliza we unataka nini sasa?"
2. Ulalamishi. Analalamika sijapata kuona utasema mama alokosa mwana. Imagine sijamsalimia toka jana leo katuma meseji "nilivokumbia nipo period naona hata kunitafuta hutaki. Kama vipi tuachane bana"
Nami nikaona ujinga huu sasa. Nikamjibu "sawa nadhani ni jambo la busara" zimekuja meseji hizo.
"Nilijua tu ndio ulichokuwa unataka baada ya kuni**mba sasa unaona sina maana, wewe malaya sana na nakwambia ujaribu kuniacha kama sijaja kukuharibia kwa demu wako mpya. Utachezea hao hao sio mimi"
Nimeshangaa sababu yeye ndo ali-suggest tuachane hata saa moja halijapita yanakuwa maneno tena.
Huyu girlfriend anakata stimu sana, kwanza ni kisirani hata wakati wa kunyanduana anatukana sana. Alinishtua anamaliza kwa kunitukana siku hiyo anasema "we xxxxx ms*ge sana, we fala endelea hivyo hivyo, mse** weeee.... " huku ananikamata shingoni akimaliza, nlikwazika sijawahi tukanwa hivyo.
Akipigiwa simu akapokea anaongea na wenzie wakamzingua utasikia "we **ma masikhara yako kafanyie huko huko ntakutia **dole hadi machoni mbwa wewe"
Hapo nlimwambia hiyo lugha mimi sipendezi nayo, alichonijibu sasa " na wewe usitake kunzingua sasa hivi niache kabisaaaa staki mambo ya kifala mimi, kama unaona nakuboa mi nisepe zangu tu" nikamwambia "yes you can leave"
Akainuka akabeba vitu vyake akaondoka. Haukupita muda zikaanza kuingia text za kulalamika kuwa namnyanyasa sababu nimemzidi Elimu, mwanaume gani nina mambo ya kibraza man, anajuta why alinipa **chi wake.
Kiufupi nimechoka naye huyu dada, ni kichefu chefu kweli. Ana body nzuri hasa na sura, very attractive. Elimu yake Diploma ya Uhasibu hapo Kurasini. But ni mswahili sana. Ananikwaza kwa hayo mambo yake.
Akitaka kunyanduana hapo atatuma text "leo nataka tukato***ne" huwa hana maneno mengi. Ila shida yake mtaenda akimaliza tena kwa matusi kwako uliyemmalizisha basi hana hamu tena anataka nawe umalize mchezo.ukiwa mbishi anachomoa analala.hataki umguse.
Ni very kichefuchefu huyu demu, hapo ananambia nikajitambulishe kwao tuwe wachumba. Namtizama nasema hiii..... Sioni mke hapo.
Duh!Kafanana na demu moja niliokotaga pale mianzini Arusha anaitwa kadadaa
Sitamsahau yule manzi sema alinikutaga kipindi hichi chalii nakula bangi na konyagi 24\7
Tukawa tunaishi maisha ya thug love
Akiniletea mizinguo Nampa vitasa kesho anarudi getto napiga mzigo
Tulikua tunatukanana daily,alipokuja kuzingua Ni kumtukana bi mkubwa wangu nikampa red card!
Sasa hivi anauza bar pale moshono