Joyce_2
Member
- Mar 28, 2020
- 90
- 79
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nmewaza huko piaUna mchumba mcheza porn si bure!
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nmewaza huko piaUna mchumba mcheza porn si bure!
Duh,,🙉🙉🙉Kabila gani tuanzie hapo...???.
Kuna kademu kakikurya kaliwahi kuniletea hizo pigo...nilikakuta kiwanja kanakunywa Windoheck...nikaagiza konyagi ndogo na Safari lager...kalikuwa kapole sana...stori mbili tatu kakamaindi flag...basi "muhudumu mpe bia tatu" kakaanza kucheka cheka nikaomba shoo kakademand 30 kulala nikaona isiwe shida sababu mboli ilikuwa kama na Three hundred sixty thousand. round nyingine kakalamba bia tatu (jumla bia 6=18,000)..kalivoanza kulewa ndo nikaanza kukasoma ..nikakaambia twende geto kakaanza kushout "unanilazimisha kisa umenunua vibia vyako"..muda ukawadia kakatepeta.. nikakakokota haoo mpaka geto..kufika geto kakasema nikape chake ...nikatoa thirty thousand..nikakaambia kavue nashangaa kanasema navua jeans tu ..juu hapana..nikakaambia mi mzuka wangu hadi ninyonye nido nashangaa kanazingua, Kakashusha jeans hadi magotini kakainama.. kakasema log in,basi hasira ilinijaa nikaanza kukapa viganja hiyo ngoma kumi kasoro kakapiga yowe hadi majirani wakaamka...kuuliza ..hakajaanza kuwambia majirani eti nimekatia alafu nataka nikale na tigo na hela sijakapa!!! Niliona noma kinomanoma,ikabidi kalale kwa father house...asubuhi na mapema kesi ikaanza ikabidi dingi house aseme nikape hela ya nauli kaende..nikakapa ten...kakaenda...mzigo sijala, bia kamekunywa na 40 juu...kufika saa tisa mchana dingi house akanipa notice nihame...pale ndo niliamini kuna mademu wana nuksi...sasa huyo demu wako ni type hiyo hiyo sure nakwambia..
Kama Kuna mwanaume Ana unene uliopituliza na haujui ataupunguza vipi amtafute huyo mwanamke aiseeee!Mara ya kwanza ilikuwa powa tu asubuhi akachomoka na kurudi kwake. Ikapita Kama wiki hivi, kila akitaka kuja namkatalia kuwa kuna mdogo wangu amekuja kikazi Arusha anahudhuria seminar week alafu ataondoka. Ebanaee week end hiyo, nipo gheto na mdogo wangu tunacheki series mida ya saa sita kwenda saba usiku, tunashangaa mlango unagongwa, kwenda kufungua demu bila salamu kachoma ndani mpaka kitandani yupo bwiii, sijui niseme ananuka au ananukia savanna. Mdogo wangu ananiangalia mimi, nikawa mstaarabu tu, mbona hujanijulisha kuwa unakuja? Hayo majibu yake sasa ndio yalikuwa yananikera, nilipandwa na hasira pale alipoanza kutukana na kusema haondoki pale ni kwa mchumba wake.
Baada ya kumbembeleza sana kuwa nipo na mdogo wangu yeye hawezi kulala pale, ndipo balaa lilipoanza, akaanza kumletea dharau dogo na maneno design ya vijembe kuwa anatuwekea usiku pale Kama vipi akalale nje. Nikaamua kumtoa kinguvu ndani mpaka geti kubwa la kutokea nje, nilipomuacha nje nami kurudi ndani, si akaanza kurusha mawe batini? Mbaya zaidi mengine yanadondokea upande wa majirani. Nikatoka kwa hasira nilipomfikia nikamlamba makofi mawili ya nguvu, hapo majirani wanaume walikuwa wameshatoka ndani. Kilio alichokiangusha pale aisee nilitamani hata bora nisingemgusa.
Majirani wengine walishamuona Ile first time nilivyokuja nae, wanasema imekuwaje tena wewe na shemeji mnagombana nje huku mpaka kuamsha watu kwa starehe zenu? (kumbuka hapa demu anaonekana amelewa bwii) Baba mwenyenyumba kusikia hivyo alafu ni mjumbe akasema nendeni ndani mkapatane, wote wakaafikiana bila kunisikiliza mimi. Kusikia hivyo demu kanyoosha njia mpaka ndani, nikabaki nje nikimwelewesha baba mwenye nyumba, Ila mimi sionekani kama nimekunywa na kiukweli sikutoka kabisa hiyo siku na hata majirani ni mashahidi.
Stori ndefu ngoja nivute pumzi.......
Hahaha huyu ni shidah aisee... Sijui hata alipo sasa hivi ishapita miaka mitatu Sasa.Kama Kuna mwanaume Ana unene uliopituliza na haujui ataupunguza vipi amtafute huyo mwanamke aiseeee!
Nimecheka sanaaa had machozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara ya kwanza ilikuwa powa tu asubuhi akachomoka na kurudi kwake. Ikapita Kama wiki hivi, kila akitaka kuja namkatalia kuwa kuna mdogo wangu amekuja kikazi Arusha anahudhuria seminar week alafu ataondoka. Ebanaee week end hiyo, nipo gheto na mdogo wangu tunacheki series mida ya saa sita kwenda saba usiku, tunashangaa mlango unagongwa, kwenda kufungua demu bila salamu kachoma ndani mpaka kitandani yupo bwiii, sijui niseme ananuka au ananukia savanna. Mdogo wangu ananiangalia mimi, nikawa mstaarabu tu, mbona hujanijulisha kuwa unakuja? Hayo majibu yake sasa ndio yalikuwa yananikera, nilipandwa na hasira pale alipoanza kutukana na kusema haondoki pale ni kwa mchumba wake.
Baada ya kumbembeleza sana kuwa nipo na mdogo wangu yeye hawezi kulala pale, ndipo balaa lilipoanza, akaanza kumletea dharau dogo na maneno design ya vijembe kuwa anatuwekea usiku pale Kama vipi akalale nje. Nikaamua kumtoa kinguvu ndani mpaka geti kubwa la kutokea nje, nilipomuacha nje nami kurudi ndani, si akaanza kurusha mawe batini? Mbaya zaidi mengine yanadondokea upande wa majirani. Nikatoka kwa hasira nilipomfikia nikamlamba makofi mawili ya nguvu, hapo majirani wanaume walikuwa wameshatoka ndani. Kilio alichokiangusha pale aisee nilitamani hata bora nisingemgusa.
Majirani wengine walishamuona Ile first time nilivyokuja nae, wanasema imekuwaje tena wewe na shemeji mnagombana nje huku mpaka kuamsha watu kwa starehe zenu? (kumbuka hapa demu anaonekana amelewa bwii) Baba mwenyenyumba kusikia hivyo alafu ni mjumbe akasema nendeni ndani mkapatane, wote wakaafikiana bila kunisikiliza mimi. Kusikia hivyo demu kanyoosha njia mpaka ndani, nikabaki nje nikimwelewesha baba mwenye nyumba, Ila mimi sionekani kama nimekunywa na kiukweli sikutoka kabisa hiyo siku na hata majirani ni mashahidi.
Stori ndefu ngoja nivute pumzi.......
[emoji16][emoji16][emoji16]Mungu hukupa wa kufanana nawe!
Pia hukupa unachostahili na sio unachotaka!
[emoji16][emoji16]Matatizo ni kama makalio, wengine wanayo makubwa wengine madogo.
[emoji16]bwana mwanamke kama hulk hoganMnawatoaga wapi hao wanawake [emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti log in [emoji16][emoji16] DaahhKabila gani tuanzie hapo...???.
Kuna kademu kakikurya kaliwahi kuniletea hizo pigo...nilikakuta kiwanja kanakunywa Windoheck...nikaagiza konyagi ndogo na Safari lager...kalikuwa kapole sana...stori mbili tatu kakamaindi flag...basi "muhudumu mpe bia tatu" kakaanza kucheka cheka nikaomba shoo kakademand 30 kulala nikaona isiwe shida sababu mboli ilikuwa kama na Three hundred sixty thousand. round nyingine kakalamba bia tatu (jumla bia 6=18,000)..kalivoanza kulewa ndo nikaanza kukasoma ..nikakaambia twende geto kakaanza kushout "unanilazimisha kisa umenunua vibia vyako"..muda ukawadia kakatepeta.. nikakakokota haoo mpaka geto..kufika geto kakasema nikape chake ...nikatoa thirty thousand..nikakaambia kavue nashangaa kanasema navua jeans tu ..juu hapana..nikakaambia mi mzuka wangu hadi ninyonye nido nashangaa kanazingua, Kakashusha jeans hadi magotini kakainama.. kakasema log in,basi hasira ilinijaa nikaanza kukapa viganja hiyo ngoma kumi kasoro kakapiga yowe hadi majirani wakaamka...kuuliza ..hakajaanza kuwambia majirani eti nimekatia alafu nataka nikale na tigo na hela sijakapa!!! Niliona noma kinomanoma,ikabidi kalale kwa father house...asubuhi na mapema kesi ikaanza ikabidi dingi house aseme nikape hela ya nauli kaende..nikakapa ten...kakaenda...mzigo sijala, bia kamekunywa na 40 juu...kufika saa tisa mchana dingi house akanipa notice nihame...pale ndo niliamini kuna mademu wana nuksi...sasa huyo demu wako ni type hiyo hiyo sure nakwambia..
[emoji16]Ali advance sana...akaona kukutukana wewe haitoshi amtukane mpaka mazeri
[emoji16]log in bas nimecheka sana mkuu.
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna Mmoja ametoka ofisini kwangu hapa muda sio mrefu alipigiwa simu na rafiki yake wakawa wanaongeaWangu mimi anafoka haswaaa alafu ni barmaid sasa
Ukimpigia simu unaweza shangaa anakata ghafla ukimuuliza anasema anielewi yaani anakisirani muda wote
Anapenda neno "uchi" yeye na mashoga zake wanaitana malaya
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo kuna siku atainunua mboo ya bandia akuf....re.
Run away
Hahahahah mbona kawaida[emoji16][emoji16][emoji16] kuna Mmoja ametoka ofisini kwangu hapa muda sio mrefu alipigiwa simu na rafiki yake wakawa wanaongea
Katika maongezi yao akaulizwa na mwenzie umeshaolewa nikasikia eti amemjibu Malaya tangu lini anaolewa nimemchukua mume wa mtu sasa hivi ndiye anaye Ni+i@ ...Daahh nilichoka hoi kuna wanawake Wana midomo michafu bwana
Mtihani mkubwa sana .. sometimes huwa tuna kutana na watu waajabu sana katika maisha [emoji16]Hahahahah mbona kawaida
Unafurahia maisha kisha unawaachia maisha yao ila hao sio wanawake wakusema unaoa kabisa mana hawajui wanataka nini katika maisha
Ndo unajifunza how life is, life is too natural bruhMtihani mkubwa sana .. sometimes huwa tuna kutana na watu waajabu sana katika maisha [emoji16]