Girlfriend kichefu chefu kweli. Ndio aende hatua ya uchumba huyu?

Inaeza ikawa huyo ndo wa kufanananae , kaa nae vizuri utamuelewa na mtaelewana
 
Duh,,🙉🙉🙉
 
Kama Kuna mwanaume Ana unene uliopituliza na haujui ataupunguza vipi amtafute huyo mwanamke aiseeee!
 
Kama Kuna mwanaume Ana unene uliopituliza na haujui ataupunguza vipi amtafute huyo mwanamke aiseeee!
Hahaha huyu ni shidah aisee... Sijui hata alipo sasa hivi ishapita miaka mitatu Sasa.
 
Nimecheka sanaaa had machozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti log in [emoji16][emoji16] Daahh

Nilivyokuwa siwezi violence mwanamke kama huyo namuogopa Kama ukoma
 
Wangu mimi anafoka haswaaa alafu ni barmaid sasa

Ukimpigia simu unaweza shangaa anakata ghafla ukimuuliza anasema anielewi yaani anakisirani muda wote

Anapenda neno "uchi" yeye na mashoga zake wanaitana malaya
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna Mmoja ametoka ofisini kwangu hapa muda sio mrefu alipigiwa simu na rafiki yake wakawa wanaongea

Katika maongezi yao akaulizwa na mwenzie umeshaolewa nikasikia eti amemjibu Malaya tangu lini anaolewa nimemchukua mume wa mtu sasa hivi ndiye anaye Ni+i@ ...Daahh nilichoka hoi kuna wanawake Wana midomo michafu bwana
 
Hahahahah mbona kawaida

Unafurahia maisha kisha unawaachia maisha yao ila hao sio wanawake wakusema unaoa kabisa mana hawajui wanataka nini katika maisha
 
Hahahahah mbona kawaida

Unafurahia maisha kisha unawaachia maisha yao ila hao sio wanawake wakusema unaoa kabisa mana hawajui wanataka nini katika maisha
Mtihani mkubwa sana .. sometimes huwa tuna kutana na watu waajabu sana katika maisha [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…