fareed uziel
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 657
- 710
- Thread starter
- #21
Labda kwako mkuu,kwangu na enjoy.Mwanamke mnene ni kama tembo tu.
Ni mzuri kumuangalia mbugani lakini sio kumfuga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwako mkuu,kwangu na enjoy.Mwanamke mnene ni kama tembo tu.
Ni mzuri kumuangalia mbugani lakini sio kumfuga.
Acha kuchezea Hisia za watu. Uliniumiza sana ulikuja vzur lakn ukapotea ghafla,Hata sikujua tatzo nn....?😭😭😭😭😭😭Mkuu umeshapata au nataka kuja pm kibonge mm hatimaye na sisi tumekumbukwa
Hata ukifia kwenye kifua cha huyo dada is totally worth dying [emoji16]
Siku na tarehe ya usaili hujaweka mkuu au ndo inatolewa PM. Tafadhal usikose kumualika Zero IQ siku ya aendeshe usailiWanaJF
Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi.
Awe mnene
Awe anavutia
Awe rangi yoyote.
Asizidi 35.
Asiwe na magonjwa yaambukiazo (clean)
Sifa zangu
Nina mwili wa wastan
Mweusi mtanashati
Nina miaka 27 sijaoa na nipo single na sina mtoto
Nina kazi yangu
Najali,napenda na huruma.
Karibu pm.
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bana, kila la heri na simtank zako!
YapJamani. Mwacheni dogo afaidi vibonge bhana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]balaaaVibonge 65% wana true love,tofauti na hawa michongoma
We hutaki simtank...ila uyo aliyevaa gauni apo mzuri san[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bana, kila la heri na simtank zako!