Girlfriend mnene anahitajika

Girlfriend mnene anahitajika

Mkuu umeshapata au nataka kuja pm kibonge mm hatimaye na sisi tumekumbukwa
 
Mkuu umeshapata au nataka kuja pm kibonge mm hatimaye na sisi tumekumbukwa
Acha kuchezea Hisia za watu. Uliniumiza sana ulikuja vzur lakn ukapotea ghafla,Hata sikujua tatzo nn....?😭😭😭😭😭😭
 
WanaJF

Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi.
Awe mnene
Awe anavutia
Awe rangi yoyote.
Asizidi 35.
Asiwe na magonjwa yaambukiazo (clean)

Sifa zangu
Nina mwili wa wastan
Mweusi mtanashati
Nina miaka 27 sijaoa na nipo single na sina mtoto
Nina kazi yangu
Najali,napenda na huruma.

Karibu pm.
Siku na tarehe ya usaili hujaweka mkuu au ndo inatolewa PM. Tafadhal usikose kumualika Zero IQ siku ya aendeshe usaili
 
Back
Top Bottom