Alexiza
Member
- Nov 26, 2019
- 19
- 10
Jana natoka zangu job jioni niko kwa hiace nimekaa na dada mmoja seat ya pembeni. Kasinzia hadi ananiegemea; nikaona isiwe kesi, kidume nikakaza tu kibingwa.
Sasa tumefika kituo fulani konda anauliza kuna abiria ana-drop, yule dada si kashtuka usingizini karopoka, "hee! jamani vaa condom kwanza".
Duh! nikaona kila abiria anageuza shingo ananiangalia mimi, asee nilibaki kimya nimechoka mle kwa daladala.
Sasa tumefika kituo fulani konda anauliza kuna abiria ana-drop, yule dada si kashtuka usingizini karopoka, "hee! jamani vaa condom kwanza".
Duh! nikaona kila abiria anageuza shingo ananiangalia mimi, asee nilibaki kimya nimechoka mle kwa daladala.