Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

Mr Issa Mussa

Member
Joined
Oct 6, 2020
Posts
11
Reaction score
11
Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana.

Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali.

Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni kupata maarifa ila ukweli ni kwamba hayo maarifa hayawezi kuwa na tija bila viwezeshi.

Hatukupenda kusoma degree Ila uchumi umetupelekea huko.

Tunajua serikali imeaua kuchukua mkondo huu wa kuwapa vipao pele kwa waliosoma certificate na diploma kwa kubana matumizi.

Ila ipo aja ya serikali kuja na namna ya kuwafikiria wale waliosoma degree.
ni mawazo yangu tu, hali si shwari tumaini kwa wazazi wetu linapotea kabisa.
 
Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana.
Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali.
Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni kupata maarifa ila ukweli ni kwamba hayo maarifa hayawezi kuwa na tija bila viwezeshi.
Hatukupenda kusoma degree Ila uchumi umetupelekea huko.
Tunajua serikali imeaua kuchukua mkondo huu wa kuwapa vipao pele kwa waliosoma certificate na diploma kwa kubana matumizi.
Ila ipo aja ya serikali kuja na namna ya kuwafikiria wale waliosoma degree.
Ni mawazo yangu tu, hali si shwari tumaini kwa wazazi wetu linapotea kabisa
Hio certificate na diploma ni ipi ambayo serikali inachukuaga maana mie nina diploma ya IT ila sijawahi kuona kazi inayoniruhusu zaidi zote zinataka bachelor of computer science au zinazoelekeana
 
Wenye digrii mnaelimu kubwa itumieni hiyo kujiajiri.

#MaendeleoHayanaChama
Nafikiri creativity ipo ndani ya mtu toka alipozaliwa wanapofeli hii sera ya watu kujiajiri ni pale sio kila mtu ana gene ya ujasiriamali

Kuna wengine wamezaliwa wawe watumishi wafanye kazi wapate kipato(born follower) hawawezi manage vitu, ukimwambia huyu awe self starter umemmaliza anaona ni kitu hakiwezekani. Kuna watu aina ya

Average Joe( afanye kazi azeeke, astaafu afe... ukimnyima ajira umemmaliza).
 
𝐧𝐢𝐧𝐚 𝐜𝐫𝐭𝐢𝐟𝐢𝐜𝐚𝐭𝐞 𝐨𝐟 𝐩𝐥𝐮𝐦𝐛𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐩𝐢𝐩𝐞 𝐟𝐢𝐭𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐰𝐚𝐡𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐭𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐛𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐨 𝐥𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐥𝐞𝐯𝐞𝐥 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮, 𝐈 𝐡𝐨𝐩𝐞 𝐮𝐥𝐢𝐜𝐡𝐨 𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐢 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚𝐥𝐚𝐦𝐢𝐤𝐚 𝐛𝐮𝐫𝐞
 
Hio certificate na diploma ni ipi ambayo serikali inachukuaga maana mie nina diploma ya IT ila sijawahi kuona kazi inayoniruhusu zaidi zote zinataka bachelor of computer science au zinazoelekeana
Kweli the world is not fair 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom