Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Huwa nagugumia kiume tu maana uwezo nilikuwa nao mkubwa tu wa kusoma degree ya hio IT na kwa kufaulu vizuri kuliko hata ambavyo nimefaulu kozi ya biashara niliochukua kama mbadala.Kweli the world is not fair ๐ ๐ ๐ ๐