Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

Mtoa mada umekosea kufanya hitimisho kwa Jambo usilo na uhakika nalo.
 
Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana.

Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali.

Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni kupata maarifa ila ukweli ni kwamba hayo maarifa hayawezi kuwa na tija bila viwezeshi.

Hatukupenda kusoma degree Ila uchumi umetupelekea huko.

Tunajua serikali imeaua kuchukua mkondo huu wa kuwapa vipao pele kwa waliosoma certificate na diploma kwa kubana matumizi.

Ila ipo aja ya serikali kuja na namna ya kuwafikiria wale waliosoma degree.
ni mawazo yangu tu, hali si shwari tumaini kwa wazazi wetu linapotea kabisa.
Degree nayo sa hv ni ya watu masikini. Bonge la ushuzi hili limechafua uzi wako.
 
Unashangaa watu wanao entertain kuajiriwa na umesema kuajiriwa ni utumwa

At the same time umeajiriwa


Sasa Mkuu si ungeacha kazi kwa nini unakubali kuteseka na utumwa tena jamani ?
Nani amesema ameajiriwa?.. [emoji23]

Vyeti vyangu vipo kabatini.. natumia profession yangu kutengeneza pesa pasipo kuajiriwa binafsi nimeshakataa kazi mbili

Yani iko hivi.. uki focus kujiajiri ndo wenye ofisi wanatamani kukuajiri.. sijui unanielewa?
 
Nani amesema ameajiriwa?.. [emoji23]

Vyeti vyangu vipo kabatini.. natumia profession yangu kutengeneza pesa pasipo kuajiriwa binafsi nimeshakataa kazi mbili

Yani iko hivi.. uki focus kujiajiri ndo wenye ofisi wanatamani kukuajiri.. sijui unanielewa?
Ahaa hapo sawa nimekuelewa mkuu
 
Mkuu,kumbe hauna degree?
Amazing,.mbona unaonekana uko smart sana?
Kwa hyo mtu kuwa smart n lazma awe na degree?,, Basi yule mzee kutoka jalalani alitakiwa awe smart sana mana ana PhD kabisa,,,, Kuna tatzo kwenye ubongo wako asee
 
Back
Top Bottom