Giza ndio asili ndio chanzo....kwenye uumbaji

Giza ndio asili ndio chanzo....kwenye uumbaji

_cV897KqmyVl7Bp3o3p_TGluFCR7hHW9rK-1nVriIzXdFnjkgOxWHqfBS9HutJXHHaw%3Dh900.png
 
Mkuu salaamu Na pole kwa msiba! Sikupata wasaa wa kukupa pole privahavikuwepo.mwombea mzazi wetu katika sala zangu za Kila Siku.Mungu amwondelee adhabu za dhambi ambazo hakuwahi kufanya malipizi yake angali duniani.
Mintarafu suala la uumbaji wa Ulimwengu Na kiini cha uumbaji huo ni jambo linalohitaji tafakari makini sana.Mimi sitajielekeza kwenye mambo mengine uliyoeleza hapa ila nataka kuweka sawa tu baadhi ya mambo.Ni Hivi Mwandishi wa Kitabu cha Mwanzo katika Biblia anapoandika juu ya uumbaji anaiandikia hadhira yake kwa kuanzia mahali Fulani tu kwenye mtiririko wa Uumbaji Na anatumia wahusika(vitu Na wanyama) ambao wataeleweka vizuri kwa hadhira yake.Kwa hiyo anapoanza simulizi la Uumbaji kwa kusema kulikuwa na Kiza tupu hamaanishi Kiza tunachokifahamu sisi.Tafsiri yake Ni Kwamba Mungu kabla hajaviumba vitu vyote hivyo tunavyoviona Kwa physical senses havikuwepo. Na vile vile Mwandishi Kwa wakati ule yeye aliongelea mazingira ya Sayari ya Dunia tu kwani Kwa wakati huo hakukuwa Na tekinolojia ya kuweza kuona viumbe vingine nje ya Sayari yetu.Na ndipo msomaji wa Leo anapaswa kuelewa kuwa kumbe sio Giza na maji vinavyoongelewa hapo sio vitu fundamental kwenye Uumbaji wa Ulimwengu.Ingekuwa Kwamba Giza Na maji tunavyovijua Ndio Essence ya Uumbaji wa Ulimwengu je vipi Kwa Sayari ambazo zimeonekana hakuna maji?
Tafsiri ya Kiza na maji kuwa sio physical phenomenona tunazozijua inajitokeza pia katika simulizi la Adamu Na Hawa kula tunda la mti wa Katikati bustanini.Dhambi hiyo tafsiri yake Ni ile hali ya Kudokezewa Na Shetani kuwa wao Adamu Na Hawa wana uwezo wa kuwa sawa Na Mungu.Kwa hiyo Eva anapolikubali wazo hilo Na kuliweka akili ni(kuchuma tunda) na kisha aka-share Na Adamu wazo lile lile( kumpa Adamu naye tunda akala) Ndio inahesabika walizingatia/ waliikubali moyoni hiyo proposition ya shetani Na wakaizingatia moyoni mwao.
Kwa hiyo tunaposoma Vitabu vya Biblia inatupasa kuelewa Kwa ukamilifu Mwandishi aliwaandikia Akina Nani Na Kwa mazingira gani na kwa sababu gani wakati huo.Kizazi cha Wakati wa Mwandishi kingeelewa zaidi Lugha ya vitu vinavyoonekana Na sio mambo dhahania kama Hivi Leo.





QUOTE="mshana jr, post: 20287320, member: 98741"]
d60d8aa4221b47f652c60bef564a9499.jpg
Nayatafakari sana maneno yale kwenye Bible takatifu kwamba hapo mwanzo dunia ilikuwa kiza totoro na uso wake ukifunikwa na maji.

Kutoka hapo ndio uumbaji ukaanza, kwa kutenga kiza na nuru...kwahiyo ikawa usiku(kiza)siku ya Kwanza.

Ukiacha kiza kinachofuata ni maji lakini leo hatujadili maji tunajadili kiza
Ni Kutoka kwenye giza ndio utenganisho wa vitu ukaanza rasmi
Kiza ndio kimekuwa ndio chanzo na asili yetu huu ndio ulimwengu wenye nguvu kuliko ulimwengu mwingine wa nuru.

Bara la afrika linapoitwa bara la giza... Kwa mtazamo hasi watu hawajui tu kuwa ule si mtazamo hasi, kiroho ni kitu kingine tofauti chenye nguvu kubwa --achana na mambo ya ulimwengu wa nuru mambo ya sayansi tech madaraka na siasa.

Hata historia inathibitisha kwamba binadamu wa Kwanza kuishi duniani alitokea Africa Tanzania black continent.

Kwahiyo wandugu kiza ndio kila kitu na matendo ya kiza sio matendo ya hiari huja na kuondoka kwa wakati wake.

Unapotaka usione kitu kitendo cha Kwanza cha haraka kinachokuja automatically ni kufumba macho ama kuyaziba, tendo la hiari la kugeuka hufuata baadae kabisa.

Lakini mwili Unapotaka kupumzika hujikuta bila kutegemea macho huwa mazito na baadae kulala kabisa, na huwezi kulala umekodoa macho ni lazima urudi kwenye asili yako...! Kizani! Unaweza kuwa bingwa wa kukesha ama hata kuwasha mataa mengi ili kufukuza giza lakini huwezi asilani. Kiza ni kiza na hakuna mwanga uwezao kufunika kiza chote.

La mwisho na la muhimu kujua ni kwamba mwisho wetu (kufa) ni kurudi kwenye asili na ndio maana hata ukifa umekodoa macho waliopo hukusaidia kukufunika.

Tafsiri yake ni moja.... Unaaambiwa rudi kwenye asili yako
Shetani mwenye nguvu sana na matendo yake yanayovuta mamilioni ndio mungu wa ulimwengu wa kiza... Unavutwa bila hiari bila utashi, unafanya kisha unajuta sana lakini unarudia yale yale ya giza. Usijilaumu sana KIZA NDIO ASILI NA CHANZO CHA UUMBAJI

Jr.![/QUOTE]
 
Mkuu salaamu Na pole kwa msiba! Sikupata wasaa wa kukupa pole privahavikuwepo.mwombea mzazi wetu katika sala zangu za Kila Siku.Mungu amwondelee adhabu za dhambi ambazo hakuwahi kufanya malipizi yake angali duniani.
Mintarafu suala la uumbaji wa Ulimwengu Na kiini cha uumbaji huo ni jambo linalohitaji tafakari makini sana.Mimi sitajielekeza kwenye mambo mengine uliyoeleza hapa ila nataka kuweka sawa tu baadhi ya mambo.Ni Hivi Mwandishi wa Kitabu cha Mwanzo katika Biblia anapoandika juu ya uumbaji anaiandikia hadhira yake kwa kuanzia mahali Fulani tu kwenye mtiririko wa Uumbaji Na anatumia wahusika(vitu Na wanyama) ambao wataeleweka vizuri kwa hadhira yake.Kwa hiyo anapoanza simulizi la Uumbaji kwa kusema kulikuwa na Kiza tupu hamaanishi Kiza tunachokifahamu sisi.Tafsiri yake Ni Kwamba Mungu kabla hajaviumba vitu vyote hivyo tunavyoviona Kwa physical senses havikuwepo





QUOTE="mshana jr, post: 20287320, member: 98741"]
d60d8aa4221b47f652c60bef564a9499.jpg
Nayatafakari sana maneno yale kwenye Bible takatifu kwamba hapo mwanzo dunia ilikuwa kiza totoro na uso wake ukifunikwa na maji.

Kutoka hapo ndio uumbaji ukaanza, kwa kutenga kiza na nuru...kwahiyo ikawa usiku(kiza)siku ya Kwanza.

Ukiacha kiza kinachofuata ni maji lakini leo hatujadili maji tunajadili kiza
Ni Kutoka kwenye giza ndio utenganisho wa vitu ukaanza rasmi
Kiza ndio kimekuwa ndio chanzo na asili yetu huu ndio ulimwengu wenye nguvu kuliko ulimwengu mwingine wa nuru.

Bara la afrika linapoitwa bara la giza... Kwa mtazamo hasi watu hawajui tu kuwa ule si mtazamo hasi, kiroho ni kitu kingine tofauti chenye nguvu kubwa --achana na mambo ya ulimwengu wa nuru mambo ya sayansi tech madaraka na siasa.

Hata historia inathibitisha kwamba binadamu wa Kwanza kuishi duniani alitokea Africa Tanzania black continent.

Kwahiyo wandugu kiza ndio kila kitu na matendo ya kiza sio matendo ya hiari huja na kuondoka kwa wakati wake.

Unapotaka usione kitu kitendo cha Kwanza cha haraka kinachokuja automatically ni kufumba macho ama kuyaziba, tendo la hiari la kugeuka hufuata baadae kabisa.

Lakini mwili Unapotaka kupumzika hujikuta bila kutegemea macho huwa mazito na baadae kulala kabisa, na huwezi kulala umekodoa macho ni lazima urudi kwenye asili yako...! Kizani! Unaweza kuwa bingwa wa kukesha ama hata kuwasha mataa mengi ili kufukuza giza lakini huwezi asilani. Kiza ni kiza na hakuna mwanga uwezao kufunika kiza chote.

La mwisho na la muhimu kujua ni kwamba mwisho wetu (kufa) ni kurudi kwenye asili na ndio maana hata ukifa umekodoa macho waliopo hukusaidia kukufunika.

Tafsiri yake ni moja.... Unaaambiwa rudi kwenye asili yako
Shetani mwenye nguvu sana na matendo yake yanayovuta mamilioni ndio mungu wa ulimwengu wa kiza... Unavutwa bila hiari bila utashi, unafanya kisha unajuta sana lakini unarudia yale yale ya giza. Usijilaumu sana KIZA NDIO ASILI NA CHANZO CHA UUMBAJI

Jr.!
[/QUOTE]
Shukrani sana kaka mama amepumzika kwa amani japo ilikuwa ni ngumu sana that moment kuwa hatutaezaa tena kumuona kimwili
[emoji774] to the topic, Nakubaliana na uchambuzi wako na kwenye mijadala kama hii lazima Kunakuwa na jipya LA kujifunza thanks
 
Kuna kitu ktk hii thread yako Mkuu, kikubwa sana. Tukijifikirisha sana, KWELI nyingi zitajifunua. Ubaya ulikuwepo kabla ya wema, wema umezaliwa toka kwenye lindi la ubaya. Nadhani ndo maana tunatumia nguvu nyingi kujinasibisha na wema ukifananisha na ubaya.

Kutoka nuruni kuja gizani ni vyepesi sana kuliko kinyume chake.
 
Mkuu salaamu Na pole kwa msiba! Sikupata wasaa wa kukupa pole privahavikuwepo.mwombea mzazi wetu katika sala zangu za Kila Siku.Mungu amwondelee adhabu za dhambi ambazo hakuwahi kufanya malipizi yake angali duniani.
Mintarafu suala la uumbaji wa Ulimwengu Na kiini cha uumbaji huo ni jambo linalohitaji tafakari makini sana.Mimi sitajielekeza kwenye mambo mengine uliyoeleza hapa ila nataka kuweka sawa tu baadhi ya mambo.Ni Hivi Mwandishi wa Kitabu cha Mwanzo katika Biblia anapoandika juu ya uumbaji anaiandikia hadhira yake kwa kuanzia mahali Fulani tu kwenye mtiririko wa Uumbaji Na anatumia wahusika(vitu Na wanyama) ambao wataeleweka vizuri kwa hadhira yake.Kwa hiyo anapoanza simulizi la Uumbaji kwa kusema kulikuwa na Kiza tupu hamaanishi Kiza tunachokifahamu sisi.Tafsiri yake Ni Kwamba Mungu kabla hajaviumba vitu vyote hivyo tunavyoviona Kwa physical senses havikuwepo. Na vile vile Mwandishi Kwa wakati ule yeye aliongelea mazingira ya Sayari ya Dunia tu kwani Kwa wakati huo hakukuwa Na tekinolojia ya kuweza kuona viumbe vingine nje ya Sayari yetu.Na ndipo msomaji wa Leo anapaswa kuelewa kuwa kumbe sio Giza na maji vinavyoongelewa hapo sio vitu fundamental kwenye Uumbaji wa Ulimwengu.Ingekuwa Kwamba Giza Na maji tunavyovijua Ndio Essence ya Uumbaji wa Ulimwengu je vipi Kwa Sayari ambazo zimeonekana hakuna maji?
Tafsiri ya Kiza na maji kuwa sio physical phenomenona tunazozijua inajitokeza pia katika simulizi la Adamu Na Hawa kula tunda la mti wa Katikati bustanini.Dhambi hiyo tafsiri yake Ni ile hali ya Kudokezewa Na Shetani kuwa wao Adamu Na Hawa wana uwezo wa kuwa sawa Na Mungu.Kwa hiyo Eva anapolikubali wazo hilo Na kuliweka akili ni(kuchuma tunda) na kisha aka-share Na Adamu wazo lile lile( kumpa Adamu naye tunda akala) Ndio inahesabika walizingatia/ waliikubali moyoni hiyo proposition ya shetani Na wakaizingatia moyoni mwao.
Kwa hiyo tunaposoma Vitabu vya Biblia inatupasa kuelewa Kwa ukamilifu Mwandishi aliwaandikia Akina Nani Na Kwa mazingira gani na kwa sababu gani wakati huo.Kizazi cha Wakati wa Mwandishi kingeelewa zaidi Lugha ya vitu vinavyoonekana Na sio mambo dhahania kama Hivi Leo.





QUOTE="mshana jr, post: 20287320, member: 98741"]
d60d8aa4221b47f652c60bef564a9499.jpg
Nayatafakari sana maneno yale kwenye Bible takatifu kwamba hapo mwanzo dunia ilikuwa kiza totoro na uso wake ukifunikwa na maji.

Kutoka hapo ndio uumbaji ukaanza, kwa kutenga kiza na nuru...kwahiyo ikawa usiku(kiza)siku ya Kwanza.

Ukiacha kiza kinachofuata ni maji lakini leo hatujadili maji tunajadili kiza
Ni Kutoka kwenye giza ndio utenganisho wa vitu ukaanza rasmi
Kiza ndio kimekuwa ndio chanzo na asili yetu huu ndio ulimwengu wenye nguvu kuliko ulimwengu mwingine wa nuru.

Bara la afrika linapoitwa bara la giza... Kwa mtazamo hasi watu hawajui tu kuwa ule si mtazamo hasi, kiroho ni kitu kingine tofauti chenye nguvu kubwa --achana na mambo ya ulimwengu wa nuru mambo ya sayansi tech madaraka na siasa.

Hata historia inathibitisha kwamba binadamu wa Kwanza kuishi duniani alitokea Africa Tanzania black continent.

Kwahiyo wandugu kiza ndio kila kitu na matendo ya kiza sio matendo ya hiari huja na kuondoka kwa wakati wake.

Unapotaka usione kitu kitendo cha Kwanza cha haraka kinachokuja automatically ni kufumba macho ama kuyaziba, tendo la hiari la kugeuka hufuata baadae kabisa.

Lakini mwili Unapotaka kupumzika hujikuta bila kutegemea macho huwa mazito na baadae kulala kabisa, na huwezi kulala umekodoa macho ni lazima urudi kwenye asili yako...! Kizani! Unaweza kuwa bingwa wa kukesha ama hata kuwasha mataa mengi ili kufukuza giza lakini huwezi asilani. Kiza ni kiza na hakuna mwanga uwezao kufunika kiza chote.

La mwisho na la muhimu kujua ni kwamba mwisho wetu (kufa) ni kurudi kwenye asili na ndio maana hata ukifa umekodoa macho waliopo hukusaidia kukufunika.

Tafsiri yake ni moja.... Unaaambiwa rudi kwenye asili yako
Shetani mwenye nguvu sana na matendo yake yanayovuta mamilioni ndio mungu wa ulimwengu wa kiza... Unavutwa bila hiari bila utashi, unafanya kisha unajuta sana lakini unarudia yale yale ya giza. Usijilaumu sana KIZA NDIO ASILI NA CHANZO CHA UUMBAJI

Jr.!
[/QUOTE]
Kwa vyovyote kiza cha ASILI kilikuwepo tu, kama jua, mwezi na nyota navyo vimeumbwa, ilikuwaje kabla ya hapo?
 
Kuna kitu ktk hii thread yako Mkuu, kikubwa sana. Tukijifikirisha sana, KWELI nyingi zitajifunua. Ubaya ulikuwepo kabla ya wema, wema umezaliwa toka kwenye lindi la ubaya. Nadhani ndo maana tunatumia nguvu nyingi kujinasibisha na wema ukifananisha na ubaya.

Kutoka nuruni kuja gizani ni vyepesi sana kuliko kinyume chake.
Sahihi kabisa na ndio maana nikasema kiza ndio asili yetu, si kwa mambo na vitu vinavyoonekana tu bali hata yale ya rohoni
 
Halafu nadhani hata Mungu si wa uhai huu, jua ndo chanzo kikuu cha uhai ktk viumbe vyote duniani. Giza pia ni ASILI isiyo na uhai.
 
QUOTE="ArD67, post: 20764217, member: 398629"][/QUOTE]
Kwa vyovyote kiza cha ASILI kilikuwepo tu, kama jua, mwezi na nyota navyo vimeumbwa, ilikuwaje kabla ya hapo?[/QUOTE]

Ndugu hali ya mabadiliko ya kujizungusha dunia katika mhimili wake Na kuleta matokeo ya Giza(Usiku) Na Nuru (mchana) ni matokeo ya nguvu nyinginezo zinazosababisha hayo yatokee.Huwezi kusema Kiza katika hali ya namna hiyo ndio asili(creator/source) ya vitu vingine.Unaelewa maana ya neno kiini? Kiini maana yake chanzo.Chanzo maana yake mwanzo wa jambo au hali Fulani.
 
Sahihi kabisa na ndio maana nikasema kiza ndio asili yetu, si kwa mambo na vitu vinavyoonekana tu bali hata yale ya rohoni
Ni kweli, na nadhani hata kufa ni kurudi ktk ile hali ya kutokuwepo kwa uhai na utambuzi, gizani ambako ndiko tulikotwaliwa.
 
QUOTE="ArD67, post: 20764217, member: 398629"]
Kwa vyovyote kiza cha ASILI kilikuwepo tu, kama jua, mwezi na nyota navyo vimeumbwa, ilikuwaje kabla ya hapo?[/QUOTE]

Ndugu hali ya mabadiliko ya kujizungusha dunia katika mhimili wake Na kuleta matokeo ya Giza(Usiku) Na Nuru (mchana) ni matokeo ya nguvu nyinginezo zinazosababisha hayo yatokee.Huwezi kusema Kiza katika hali ya namna hiyo ndio asili(creator/source) ya vitu vingine.Unaelewa maana ya neno kiini? Kiini maana yake chanzo.Chanzo maana yake mwanzo wa jambo au hali Fulani.[/QUOTE]
Nadhani sijakuelewa, ila nijuavyo ni kwamba, nuru imeumbwa. Sasa kabla ya kuumbwa kwa nuru, kipi kilikuwepo ktk asili yake? Ila nuru ni kinyume cha giza. Hapa hoja ikawa, vyote viko na asili ktk hilo giza, kupitia giza nuru, uhai na vyote vilipatikana.
 
Kwa vyovyote kiza cha ASILI kilikuwepo tu, kama jua, mwezi na nyota navyo vimeumbwa, ilikuwaje kabla ya hapo?

Ndugu hali ya mabadiliko ya kujizungusha dunia katika mhimili wake Na kuleta matokeo ya Giza(Usiku) Na Nuru (mchana) ni matokeo ya nguvu nyinginezo zinazosababisha hayo yatokee.Huwezi kusema Kiza katika hali ya namna hiyo ndio asili(creator/source) ya vitu vingine.Unaelewa maana ya neno kiini? Kiini maana yake chanzo.Chanzo maana yake mwanzo wa jambo au hali Fulani.[/QUOTE]
Nadhani sijakuelewa, ila nijuavyo ni kwamba, nuru imeumbwa. Sasa kabla ya kuumbwa kwa nuru, kipi kilikuwepo ktk asili yake? Ila nuru ni kinyume cha giza. Hapa hoja ikawa, vyote viko na asili ktk hilo giza, kupitia giza nuru, uhai na vyote vilipatikana.[/QUOTE]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji781] [emoji779] [emoji781]
 
Ndugu hali ya mabadiliko ya kujizungusha dunia katika mhimili wake Na kuleta matokeo ya Giza(Usiku) Na Nuru (mchana) ni matokeo ya nguvu nyinginezo zinazosababisha hayo yatokee.Huwezi kusema Kiza katika hali ya namna hiyo ndio asili(creator/source) ya vitu vingine.Unaelewa maana ya neno kiini? Kiini maana yake chanzo.Chanzo maana yake mwanzo wa jambo au hali Fulani.
Nadhani sijakuelewa, ila nijuavyo ni kwamba, nuru imeumbwa. Sasa kabla ya kuumbwa kwa nuru, kipi kilikuwepo ktk asili yake? Ila nuru ni kinyume cha giza. Hapa hoja ikawa, vyote viko na asili ktk hilo giza, kupitia giza nuru, uhai na vyote vilipatikana.[/QUOTE]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji781] [emoji779] [emoji781][/QUOTE]
Nilitumia neno baya penye neno NURU weka MWANGA, na hapo nilikuwa namjibu mtu, kiza ktk maana yake ya nje, plain meaning. Hoja yake ilikuwa ktk maana ya ki nje, kwamba kama kiza ni kinyume cha mwanga basi kabla ya mwanga kuletwa kiza hakikuwepo.
 
Nadhani sijakuelewa, ila nijuavyo ni kwamba, nuru imeumbwa. Sasa kabla ya kuumbwa kwa nuru, kipi kilikuwepo ktk asili yake? Ila nuru ni kinyume cha giza. Hapa hoja ikawa, vyote viko na asili ktk hilo giza, kupitia giza nuru, uhai na vyote vilipatikana.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji781] [emoji779] [emoji781][/QUOTE]
Nilitumia neno baya penye neno NURU weka MWANGA, na hapo nilikuwa namjibu mtu, kiza ktk maana yake ya nje, plain meaning. Hoja yake ilikuwa ktk maana ya ki nje, kwamba kama kiza ni kinyume cha mwanga basi kabla ya mwanga kuletwa kiza hakikuwepo.[/QUOTE]
Ukisoma kitabu cha mwanzo utaona kuwa hapo mwanzo dunia ilikuwa giza tena totoro na ukiwa juu........halafu ikawa mchana ikawa usiku siku ya kwanza..
 
kapoor.png


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Yahana 1:5 Nuru hiyo huangaza gizani na giza haliwezi kamwe kuizima.

giza haliwezi kuishinda Nuru kamwe, tangu Mwanzo na hata Milele. Nuru na Giza katika uumbaji ni "physical phenomena" ambazo ni kinzani.

Ulipo mwanga giza haliwezi kuwepo, giza na mtumwa wake Shetani hawakuwahi kushinda hata siku moja. Walikuepo lakini hawata kuwako tena.
20190510_093230.jpeg
 
Back
Top Bottom