Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ujinga ukiwa na watoto unawaleaje!!.?Inshu ya kupeana space kwenye ndoa naipendaga sana tatzo ngozi nyeusi huwa hazielew
Huwa nataman nioane na mke lakin kila mtu aishi nyumba yake,nikimmiss ndo naenda kwake au yeye anakuja kwangu lakin haya mambo ya kila siku mko pamoja yanachosha sana
Samia katubania sana,sahv ningepitia xvideos ili nimjue vizur
Tumi VPN,Inshu ya kupeana space kwenye ndoa naipendaga sana tatzo ngozi nyeusi huwa hazielew
Huwa nataman nioane na mke lakin kila mtu aishi nyumba yake,nikimmiss ndo naenda kwake au yeye anakuja kwangu lakin haya mambo ya kila siku mko pamoja yanachosha sana
Samia katubania sana,sahv ningepitia xvideos ili nimjue vizur
Ha ha ha....Loh.. Ama kweli nimezeeka, ngoja nimwambie mama watoto apitie hapa, nami nataka vya tally hunter, ikiwezekana tulipie akale darasa [emoji1787]
Hii kauli yako hapo juu inahitaji uthibitisho kutoka kwa bwana Iblis Bin Shetan [emoji4]Mkuu unanafasi yako upande wa kushoto wa mbingu kwa bwana Lucifer
Japo mm siijui nafasi yangu
Umetisha Sana mkuu
Kaka usinitie ibilisi nduguyo 😂🤣Ha ha ha....
Skku akijua unachopata uko hata kulea watoto atashindwa maana yataka Moyo Sana mwanamke kua fundi Kama tally
Kabisa kaka, we ndio mshenzi uliyebaki 😂Ha ha ha....sio kweli bhana[emoji1787]
Dadeki...Kazi yao ya kuuza tendo la ndoa[emoji23]
Hajui kama lusifa locofogal na mtoto wake belzebul pia wanasifa za kiungu na muda mwingine wanafanya mambo mazuri kuwasaidia watu kushinda mungu mwenyeweHii kauli yako hapo juu inahitaji uthibitisho kutoka kwa bwana Iblis Bin Shetan [emoji4]