GK: Nikipewa nitumie "beef" ya Diamond na Ali Kiba kutengeneza pesa watakua mabilionea.

GK: Nikipewa nitumie "beef" ya Diamond na Ali Kiba kutengeneza pesa watakua mabilionea.

hivi huyu jamaa alishaachana diva yule wa mawingu fm?
 
huyu jamaa nikiangalia afya yake na maneno yake kuna kitu nakiona
 
Hivi hujui faida ya bifu?

Unaijua East coast team vs Tmk family

Unajua jinsi bifu ile ilivyokuza mziki?, in

Unajua bidhaa walizouza?

Unajua show walizopiga?

Na kumbuka wakati tishet za ECT ziliuzwa kuanzia 15, 000,

Rapper mkongwe nchini, King Crazy GK amesema akipewa fursa ya kutumia bifu ya Diamond na Alikiba, atawafanya wawe mabilionea.

Rapper huyo amedai kuwa atahakikisha wawili hao wanaongeza uhasama zaidi kuliko hata ilivyo sasa. Wakati mengi yakiendelea kuzungumzwa kila kukicha kuhusiana na wawili hao , GK amesema angewahakikisha wawili hao wanapiga mkwanja wa kutosha.

“Ni upinzani mzuri kama nikipewa mimi kutengeza pesa watakuwa mabilionea wale mabwana,” anasema. “Kwanza nitaongeza conflict, ule mgongano sitoupunguza, nitauongeza, nitazidi kuuvibrate uwe mkubwa watu wa waufeel. Sasa upo upinzani kwa Kiba na Diamond zaidi personal, sasa mimi nitauweka watu wauvae yaani wakikutana pale inakuwa noma,” ameongeza.

Crazy GK anadai angepambana kuwe na mipango ya kuhakikisha wawili hao wanapiga hela nyingi ikiwemo kufanya show uwanja wa taifa.

MY TAKE: Gk kapatwa na nini?!,
 
Crazy GK umesikia ile report ya WHO kuhusu afya ya akili? Basi bro fanya haraka uhamie Dodoma
 
Kingkiba hawezi kuwa na beef na mtoto wa juzi anayenunua tuzo. Kingkiba ana beef na wizkid.
 
Back
Top Bottom