Gladness Kifaluka: Siwezi kumwacha mwanaume kisa amechepuka

Amekomaa huyo tayari, mume aachwi kizembe..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisaidie rafiki yangu
Muulize na Anne kansiime anamfahamu?
Mamito je?

kansiime ni mrembo ?🤣
by the way yule ni mganda sio mbongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwani umeitwa humu kucomment
Huo ni UTOTO sasa ukileta Mada humu lazima ijadiliwe na wote
huyo mmama uzuri ni wewe ndio imeuona
wengine maywele hatuyapendi wala kujikoboa
hana picha yeoyote ambayo hajavaa wigi au kujikoboa
 
Ukiona hivo Basi na yeye anachepuka, yaan utamu wa mshedede kwenye kugalagazana, afu uone ana share mwingine usi react, lol huu ni ujasiri wa kiwango Cha uchumi wa viwanda unaohubiriwa na selikali ya awamu ya 5, khaaaaaaaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Bora huyu anajitambua anajua kuwa mgegedo wa kwako peke yako haupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…