TZ siyo kijiji kwamba tutajifungia ndani bila kushirikiana na mataifa mengine, kwa siku hizi mbili tatu mjiandae kwa picha kama hizi, wale wagonjwa wa kusafiri poleniWaingereza wana haraka kumvaa samia wakijua hana msimamo na ujuzi thabiti kwenye maslahi ya taifa lake. Utaona kama hawajamwingiza chapchap mkenge mwingine kuliko ule wa tony blair eti kua msemaji wa covid wa tanzania na eti kuitangaza tanzania kusafisha jina lake. ..kwa bei ya wizi. 😂😂🤣🤣🤸🤸🤸🤣🤣🤔🤔🤔
Mama anaendelea kuwa galagaza tuRais wa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson katika masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzania, Lord John Walney
Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazoongoza kuwekeza Nchini
View attachment 1994240
Endelea kumuoendaHongera sana Mama Samia,
We proud of you,
Tunakuoenda sana,
Wana hasira haswaa, hawataki kuongozwa na serikali isiyo na unafiki na uongo, Inayoongozwa na mtu safi asiye na doa la ufisadiMama anaendelea kuwa galagaza tu
Aache uongo lini tumefanya biashara na Uingereza
Hatari sana[emoji23][emoji23][emoji23]...2025 sijui tutasema nini [emoji125][emoji125][emoji125]Wana hasira haswaa, hawataki kuongozwa na serikali isiyo na unafiki na uongo, Inayoongozwa na mtu safi asiye na doa la ufisadi
Wana hasira haswaa, hawataki kuongozwa na serikali isiyo na unafiki na uongo, Inayoongozwa na mtu safi asiye na doa la ufisadi
Mother hana doa hata moja, may be watapambana na hii hoja yao mfu ya uzanzibar na utanganyikaHatari sana[emoji23][emoji23][emoji23]...2025 sijui tutasema nini [emoji125][emoji125][emoji125]
Mimi natamani sana upelelezi wa kupigwa Risasi TL urudiwe na hao watu, ili kuwavua ngua watu flaniflaniNASHAURI MAMA AOMBE MSAADA WA SCOTLAND YARD WAJE WAFUKUE MAOVU YA MAREHEMU NA WARUNDI WENZAKE