Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Atakuwepo kuanzia leo, kuna ubaya wowote kuongea na ujumbe wake?Kwai Boris Johnson yupo bize kutuma "mjumbe wake maaalumu?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwepo kuanzia leo, kuna ubaya wowote kuongea na ujumbe wake?Kwai Boris Johnson yupo bize kutuma "mjumbe wake maaalumu?"
Mbona wakija kwetu tuna wapokea ikulu lakini Tukienda kwao tuna puuzwa Sanaa Yan hawatak tuonane nao Raisi yoyote akienda ziara kwenye nchi nyingine lazima mwenyeji wake ata kuwa Rais wa nchi aliyo itembelea kwasababu ni levo moja.Kwai Boris Johnson yupo bize kutuma "mjumbe wake maaalumu?"
Rais wa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson katika masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzania, Lord John Walney
Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazoongoza kuwekeza Nchini
View attachment 1994240
![]()
Kitu ambacho hamjui huu mkutano hauna , anufaa kwa nchi zinazo endelea.Hii post yako imejaa "negativity 100%", huo mkutano wengi watahudhuria, akiwepo Rais wa dunia "Joe"
Baadae akiongea na mkuu wa nchi kama yeye mtujuze sio hao mnaopiga nao picha na kutudanganyaAtakuwepo kuanzia leo, kuna ubaya wowote kuongea na ujumbe wake?
Hawa wapumbavu tunawanyenyekea sana aiseeMbona wakija kwetu tuna wapokea ikulu lakini Tukienda kwao tuna puuzwa Sanaa Yan hawatak tuonane nao Raisi yoyote akienda ziara kwenye nchi nyingine lazima mwenyeji wake ata kuwa Rais wa nchi aliyo itembelea kwasababu ni levo moja.
Nyie miafrika mbona hamjiamni? Au mnafikiri kujifungia ndani kama mwendazake ndo maendeleo. Toka nje kapambane hayo ndo maendeleo kijanaWaingereza wana haraka kumvaa samia wakijua hana msimamo na ujuzi thabiti kwenye maslahi ya taifa lake. Utaona kama hawajamwingiza chapchap mkenge mwingine kuliko ule wa tony blair eti kua msemaji wa covid wa tanzania na eti kuitangaza tanzania kusafisha jina lake. ..kwa bei ya wizi. 😂😂🤣🤣🤸🤸🤸🤣🤣🤔🤔🤔
CC haitugusi? Pole sana Mkuu, umesikia juzi tumetangaziziwa tutakosa mvua which itaathiri upatikanaji wa chakula nchini?Kitu ambacho hamjui huu mkutano hauna , anufaa kwa nchi zinazo endelea.
Tafuta andiko la M7 ndio utajua
Mwendazake aliwajaza ujinga sana hawa jamaaNyie miafrika mbona hamjiamni? Au mnafikiri kujifungia ndani kama mwendazake ndo maendeleo. Toka nje kapambane hayo ndo maendeleo kijana
Nani analalamika? Naongelea maneno ya walio wengi mitaani mpaka kariakoo.(tujifunze kuwa kauli ya walio wengi)Haka akimwaga mara kumi zaidi ya hizo hutaiona hata 100 kama utaendelea kulalamika hovyo namna hii
Mama hajawahi kumdanganya mtu, yupo real sana, hana chochote cha kuprove, rekodi yake inamlinda, hana hata tone la ufisadi/wizi, poleni sana chiefBaadae akiongea na mkuu wa nchi kama yeye mtujuze sio hao mnaopiga nao picha na kutudanganya
Sasa we utawauzia nini uingereza? Au utanunua bidhaa gani kutoka UK? hata blender ya UK huiwezi bei yake.
Sie wenzetu aghalabu ni Turkey, china, Japan malaysia, SA, egypt...hao wengine sijui UK, USA, Italy, Belgium, France, Russia, Germany sio tu kufanya nao biashara ila hata tukiwa masoko yao hatutamudu bei ya bidhaa zao. Hata shati kutoka UK au US hutomudu.
Kushauriwa na waliomtangulia si mbaya pia!
Usihame mada nimesema AKIONGEA NA MKUU WA NCHI sio "MJUMBE MAALUMU"Mama hajawahi kumdanganya mtu, yupo real sana, hana chochote cha kuprove, rekodi yake inamlinda, hana hata tone la ufisadi/wizi, poleni sana chief
Nitakuwa wa kwanza kukuletea hapa ChiefUsihame mada nimesema AKIONGEA NA MKUU WA NCHI sio "MJUMBE MAALUMU"
Mtuletee taarifa na video hapa
Balozi na waziri wa mambo ya nje ndio kazi yake mbona huyo boris hakuwepo kamtuma muwakilishi.. wewe unasumbuliwa na ugonjwa wa ushamba wa mzunguTZ siyo kijiji kwamba tutajifungia ndani bila kushirikiana na mataifa mengine, kwa siku hizi mbili tatu mjiandae kwa picha kama hizi, wale wagonjwa wa kusafiri poleni
NasubiriaNitakuwa wa kwanza kukuletea hapa Chief