EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Huyo jamaa kwenye picha sijui wamemuokotea wapi maana hata cheo chake cha madaraka hawajatuambiaB.J kamtolea nje,halafu hawa wakata mauno wanasifiasifia🤨😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa kwenye picha sijui wamemuokotea wapi maana hata cheo chake cha madaraka hawajatuambiaB.J kamtolea nje,halafu hawa wakata mauno wanasifiasifia🤨😀
Hawakufundishwa darasani hayo, hebu wape shule kidogo.Hivi hujui kuwa Baba yenu Nyerere alipinduliwa mwakar 1964? Waliomrudisha madarakani ni jeshi la waingereza?
Kulipa fadhila ile almasi ya Mwadui ikaenda arijojo kwa bwana pamoja Na green light ya kuivamia Zanzibar
Rais wa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson katika masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzania, Lord John Walney
Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu, na Uingereza ni moja kati
Gharama alizotumia kwenda Scotland anakwenda kuonana na mjumbe? Balozi wetu angetosha kuonana na huyo mjumbe. Boris ni kibokoKwani huyo mwenyewe hajahudhuria mkutano mpaka atutumie mjumbe
Anaweza kuwa hata ni Homeless fulani ameokotwa akapigwa suti na mulamula kwa ajili ya Photo op 🤣Huyo jamaa kwenye picha sijui wamemuokotea wapi maana hata cheo chake cha madaraka hawajatuambia
Kama hana Kando Kando ujue hajafanya chochoteMama hana kandokando hata moja, hili linawaumiza sana hawa mafisadi
wanajichafua wenyewe wakikwepwa wanakuja na TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI labda tusubiri TBC wasipoonesha hayo mazungumzo ujue tumeingizwa chakaAnaweza kuwa hata ni Homeless fulani ameokotwa akapigwa suti na mulamula kwa ajili ya Photo op 🤣
Hakuna mtu rahisi kukutana nae kama Boris Johnson Waziri mkuu msela msela lakini nadhani wanamkwepa huyu Bibie na sababu zenyewe zinajulikana.
Mama ni msafi asilimia 100, endeleeni kukumbatia majambazi yenu
Yaani mwenyeji hana BENDERA, tumeshtuka mlitaka kutuingiza chaka😎😎😎Kamati ya roho mbaya, kuliombeya mabaya taifa letu....
![]()
Haha, poleni, Mama yupo clean 100%
Angalia picha mwenyeji hana bendera ila maza anayo😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Kutiana aibu tu,hata itifaki imesahauliwa yote ili Bakuli lijazwe na So Called Mabeberu.
Dingi unaumia sana, hotuba ya kesho nikuwekea hapa...HahahaYaani mwenyeji hana BENDERA
Najua kitengo cha Propaganda kitaamuru hii iwe Habari kubwa lakini wataalamu wameshang'amua kuwa BJ kampotezea Mama Boris kaona ni bora anywe Scotch Whisky yake kuliko kukutana na Raisi wa ThirdWorld muongo muongo asiyependa Demokrasia.wanajichafua wenyewe wakikwepwa wanakuja na TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI labda tusubiri TBC wasipoonesha hayo mazungumzo ujue tumeingizwa chaka
You hate your president, mnashangaza sanaAngalia picha mwenyeji hana bendera ila maza anayo😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Nani kasema anamchukia raisi Samia? acha kulisha watu maneno.You hate your president, mnashangaza sana
Nani ameombea mabayaLeo ndiyo kwanza tarehe moja Mkuu, kuna picha inakuja kesho, hivi kwanini mnaiombea mabaya nchi yenu Mkuu, Rais wenu kupiga picha na Boris inawauma sana?
Hahaha, kuichukia nchi yenu hakutowasaidia chochote wapuuzi nyinyi, nitawatumia picha zake zote akiwa huko kuwaonesha jinsi gani nyie ni vilaza, PumbafNani kasema anamchukia raisi Samia? acha kulisha watu maneno.
Wewe na jamaa zakoNani ameombea mabaya