edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Uingereza ni nchi maskini tuu kinachowaweka mjini ni colonial legacy na koloni zao mbili hapa afrika kenya na bostwanaUnajua kuwa magari ya aina ya ROVER zikiwemo Range Rover, Land Rover nakadhalika yanatengenezwa Uingereza hivyo tunaweza fanya biashara nao ya kutosha pamoja na bidhaa nyingine nyingi!!
Sisi tunaweza wauzia KATANI na MAPARACHICHI! Ndio iitakuwa kazi ya hizo CARGO planes zilizoagizwa!