Glasgow, Scotland: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson

Kwa hiyo maushungi anakiri kwamba jina la Tanzania limechafuka kwa sababu ya utawala wao mbovu.
 
Kwa hiyo maushungi anakiri kwamba jina la Tanzania limechafuka kwa sababu ya utawala wao mbovu.
Tawala zinakuja na kuondoka....

Na tawala hii ina misimamo yake juu ya JUMUIYA YA KIMATAIFA.....

SIEMPRE JMT
 
Aisee
 
Hivi hujui kuwa Baba yenu Nyerere alipinduliwa mwakar 1964? Waliomrudisha madarakani ni jeshi la waingereza?

Kulipa fadhila ile almasi ya Mwadui ikaenda arijojo kwa bwana pamoja Na green light ya kuivamia Zanzibar
Hii story Bibi yako kizee anaijua pekeyake!!??
 
Ukisakata singeri la mabeneru matamko utayasikia Kwa Jirani hata ukiwafunga wapinzani timu nzima .na mama ni mapsmbio ya mabeneru kwenda mbele .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…