Sioni sababu ya kumwalika.. atamtumia salama za pongezi kwisha.. Magufuli ana mambo mengi ya kufanya..
Ingekua JK kwanza jana naye yeye angekua huko Nigeria.. na wangerudi wote kwenye kwa kutumia ndege ya Rais.. kisha leo kungekua na bonge la party ikulu.. angeamuru baada ya bunge kufunguliwa samatta akawasalimie wabunge... na leo ingekua public holiday...haaaa JK safi sana..
cleverbright mtu aliye bana pumbuuu ili Samatta asishinde kwa kudai ana ona mambo kwa kina na mapana yake na badaye kuaibika vibaya baada ya samatta kutangazwa mshindi njoo ujibu huku.. Pumbaaaavu