joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
Zile risasi za wakikuyu zikisaidiwa na Alshabab, ni zaidi ya Boko HaramLkn sio uchawi[emoji23][emoji23]
Ila ulaji wa albino ni zaidi ya levels za uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile risasi za wakikuyu zikisaidiwa na Alshabab, ni zaidi ya Boko HaramLkn sio uchawi[emoji23][emoji23]
Ila ulaji wa albino ni zaidi ya levels za uchawi
Hazishindi za wazee wa kutembea na ungo[emoji23][emoji23]Zile risasi za wakikuyu zikisaidiwa na Alshabab, ni zaidi ya Boko Haram
Amani inaweka mazingira mazur kwa maendeleo yoyote. Sasa wew sema tu havina uhusiano.Amani na maendeleo ni vitu viwili tofauti[emoji23][emoji23]
Amani inanafac kubwa sana kaitka maendeleo ya nchi na jamii.A weee!!unaweza ilinganisha sauz na tanzania
Kinacholeta maendeleo ni watu, hizo Physical infrastructure hujengwa na watu na ndio sehemu ya maendeleo, tatizo kubwa la Africa ni "Human resource", lazima tubadilishe watu wetu wawe ni " development oriented people" kama walivyo wachina, sio hawa wanaothamini "Social" zaidi kuliko uchumi.Amani inanafac kubwa sana kaitka maendeleo ya nchi na jamii
Pia unatakiwa kufaham kwamba sio amani pekee ndio inaleta maendleo kuna other factors muhim kwenye kuleta maendeleo
Amani inaweka tu mazingira mazur kwa maendleo, lakn ikikosekana maendeleo hualbika zaid
Tulichopungukiwa watanzania ni physical infrastructures na uongoz bora nk. vya kufanya tuwe na maendleo zaid ya Sauth, but tunamazngira saf ya kutufanya tuendelee n juhud zet ss wenyew ndo zta determine level ya maendleo kulingansha na nchi nyingne
Hawa walichukua mpunga mrefu toka kwa beberu kisha wakaupitisha kusikojulikana..sasa inabidi wawasulubu raia kwa curfew na lock down za kutosha ili angalao kuzugia matumizi ya huo mshiko.Kenya bana wapo kwenye dunia yao kabisa mabwana zao hùko ulaya wanaondoa curfew na partial lockdown na wana reopen school ila still wao wamengangana na mass testing,
Mnatangaza amani huku mmeficha mapanga, jiulize kw nn wawekezaji wanakimbia.Amani inanafac kubwa sana kaitka maendeleo ya nchi na jamii
Pia unatakiwa kufaham kwamba sio amani pekee ndio inaleta maendleo kuna other factors muhim kwenye kuleta maendeleo
Amani inaweka tu mazingira mazur kwa maendleo, lakn ikikosekana maendeleo hualbika zaid
Tulichopungukiwa watanzania ni physical infrastructures na uongoz bora nk. vya kufanya tuwe na maendleo zaid ya Sauth, but tunamazngira saf ya kutufanya tuendelee n juhud zet ss wenyew ndo zta determine level ya maendleo kulingansha na nchi nyingne
Waliosema Tanzania imepanda nafasi sita juu na kufikia namba 52 duniani kwa amani, wakati Kenya imeangukia pua kwa kuporomoka nafasi 3 chini na kufikia 125 duniani, ikiwa imebakish nafasi 36 tu kuwa nchi ya mwisho duniani, sio sisi ni "Global Peace Index", hatukujitangaza wenyeweMnatangaza amani hku mmeficha mapamba, jiulize kw nn wawekezaji wanakimbia
Amani gani mlionayo nyinyi wanafiki wakubwa, watz mna unafiki wa hali ya juu.Waliosema Tanzania imepanda nafasi sita juu na kufikia namba 52 duniani kwa amani, wakati Kenya imeangukia pua kwa kuporomoka nafasi 3 chini na kufikia 125 duniani, ikiwa imebakish nafasi 36 tu kuwa nchi ya mwisho duniani, sio sisi ni "Global Peace Index", hatukujitangaza wenyewe
Karibu sana katika nchi ya umoja, amani na utulivu, upendo, nchi ambayo tunatumia makabila yetu kwa ajili ya kutaniana, nchi ambayo huna wasiwasi wa kuvamiwa usiku hata kama hujafunga milango ya nyumba yako, Tanzania ni nchi ya maziwa na asali.
Hapana Amani na Maendeleo vinaenda pamoja_ America have been enjoying centuries of Peace, Their level of acting to a Terror act call is at Maximum, They only face minor social threats like killings but still it doesn't go days without bringing a killer to Justice.Nenda marekani jomba, ukifika utashangaa lkn bado wao ndio vinara
Hahahaha, Ujamaa ndio uliotufanya tukapa Amani na umoja, na ninyi ubepari ndio umewafanya mnachinjana kila siku, ubepari ndio uliosababisha ukabila na slums.Amani gani mlionayo nyinyi wanafiki wakubwa, watz mna unafiki wa hali ya juu.
Ile siku mtatupilia sera senu mbovu za kijamaa nchi itainuka, lkn kw sasa kila mtu anaogopa kuja hko manake kikinuka tu ccm inampora
Hili povu la uchunguAmani gani mlionayo nyinyi wanafiki wakubwa, watz mna unafiki wa hali ya juu.
Ile siku mtatupilia sera senu mbovu za kijamaa nchi itainuka, lkn kw sasa kila mtu anaogopa kuja hko manake kikinuka tu ccm inampora
Kwn uongo ccm majizi, kila anayetoma nje ya nchi kwenu katumwa na mabeberu[emoji23][emoji23]
Eti hko watu hawavamiani wala hakuna wizi na ujambazi.Hahahaha, Ujamaa ndio uliotufanya tukapa Amani na umoja, na ninyi ubepari ndio umewafanya mnachinjana kila siku, ubepari ndio uliosababisha ukabila na slums.
Karibu sana uje ujionee jinsi watu wanavyoishi bila kujuana makabila yao, bila kusikia tukio la ujambazi au kuvamiwa na wezi mtaani. Karibu katika nchi ya maziwa na asali.
125 - 52 = 73
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi imeandikwa sauz hakuna amani jombaaA weee!!unaweza ilinganisha sauz na tanzania
Umeangalia hiyo list South ipo namba ngapi?Wapi imeandikwa sauz hakuna amani jombaa
Hahahaaa kukimbia kwa mwekezaji kunasababishwa na sababu nying sana, ikiwemo ya kiuchumi sera ya nchi imeweka mazngira gani kwa wawekezaji, miundominu mfano barabara na nishati inaeza vutia au fukuza mwekezaji,Mnatangaza amani huku mmeficha mapanga, jiulize kw nn wawekezaji wanakimbia.
Hahaha!!km hujaelewa tulia babaHahahaaa kukimbia kwa mwekezaji kunasababishwa na sababu nying sana, ikiwemo ya kiuchumi sera ya nchi imeweka mazngira gani kwa wawekezaji, miundominu mfano barabara na nishati inaeza vutia au fukuza mwekezaji,
Nikuulize tu, je kwahao waliokimbia walsema ni kwasababu ya amani au wew ndio unafikir kutokuepo kwa aman ndio kumewafanya wakimbie