Global Powers zimekwisha baada ya vita baridi ? Usijidanganye, MK ya Jackob Zuma kwa udhamini wa Russia kidogo iiondoa ANC,

Global Powers zimekwisha baada ya vita baridi ? Usijidanganye, MK ya Jackob Zuma kwa udhamini wa Russia kidogo iiondoa ANC,

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Still dunia ina big brothers, Rutto alipokaribishwa meza kuu na NATO akasahau wachina wamewekeza mapesa mengi, na Russia inapigana na NATO..

Rais wa sasa wa South Africa ni pro western.

Dola milioni kadhaa wanayumbisha nchi, Non Allignment is the way to go.

Rutto pro western, Raila Pro eastern, the west believe Lissu, Pro West atamudu ili west wakamate kenya, Tz na.....
 
Rais wa sasa wa South Africa ni pro western.

Ila JF Ina Wajinga sana ni ama watu hawafatiliii siasa, yaan siasa wanaijua Kwa juu juu kupitia Taarifa ya Habari.

Kwa mfano .. Mtu akisikia Kwa Taarifa ya Habari " Urusi yatuma Manowari Nchini Cuba "....

Basi ndo hapo anakuja na hiko kijihabari !!.



Jipe muda wa Kusoma na kufatilia mambo kiundani.


SA wako Ndani ya BRICS , ANC ni chama Mama, chama kinachoamin katika BRICS , Rais wa Sasa wa Afrika Kusini, ni Moja ya Ma Rais wanaowapiga nyundo za uhakika Wamagharibi.

Naam ndio maana unaona wako mbele kwenye vita ya kisheria dhidi ya Isarel.


Fatilia Speech za Cyril Ramaphosa kuhusu Wamagharibi, fatilia Safari za kimataifa alizofanya Ramaphosa kaenda zaidi Nchi gan.

Afrika Kusini ni Nchi ambayo bado kumbukumbu za Ukoloni ziko vidoleni mwao , hivo ni ngumu Kwa Mgombea u Rais ambaye ni mfuasi wa Magharibi, kushinda uchaguzi !!.


Zuma, Ramaphosa, Hawa wote ni Warusi.
 
Rais wa sasa wa South Africa ni pro western.

Ila JF Ina Wajinga sana ni ama watu hawafatiliii siasa, yaan siasa wanaijua Kwa juu juu kupitia Taarifa ya Habari.

Kwa mfano .. Mtu akisikia Kwa Taarifa ya Habari " Urusi yatuma Manowari Nchini Cuba "....

Basi ndo hapo anakuja na hiko kijihabari !!.



Jipe muda wa Kusoma na kufatilia mambo kiundani.


SA wako Ndani ya BRICS , ANC ni chama Mama, chama kinachoamin katika BRICS , Rais wa Sasa wa Afrika Kusini, ni Moja ya Ma Rais wanaowapiga nyundo za uhakika Wamagharibi.

Naam ndio maana unaona wako mbele kwenye vita ya kisheria dhidi ya Isarel.


Fatilia Speech za Cyril Ramaphosa kuhusu Wamagharibi, fatilia Safari za kimataifa alizofanya Ramaphosa kaenda zaidi Nchi gan.

Afrika Kusini ni Nchi ambayo bado kumbukumbu za Ukoloni ziko vidoleni mwao , hivo ni ngumu Kwa Mgombea u Rais ambaye ni mfuasi wa Magharibi, kushinda uchaguzi !!.


Zuma, Ramaphosa, Hawa wote ni Warusi.
Watoto wa sekondari hao kaka
 
Rais wa sasa wa South Africa ni pro western.

Ila JF Ina Wajinga sana ni ama watu hawafatiliii siasa, yaan siasa wanaijua Kwa juu juu kupitia Taarifa ya Habari.

Kwa mfano .. Mtu akisikia Kwa Taarifa ya Habari " Urusi yatuma Manowari Nchini Cuba "....

Basi ndo hapo anakuja na hiko kijihabari !!.



Jipe muda wa Kusoma na kufatilia mambo kiundani.


SA wako Ndani ya BRICS , ANC ni chama Mama, chama kinachoamin katika BRICS , Rais wa Sasa wa Afrika Kusini, ni Moja ya Ma Rais wanaowapiga nyundo za uhakika Wamagharibi.

Naam ndio maana unaona wako mbele kwenye vita ya kisheria dhidi ya Isarel.


Fatilia Speech za Cyril Ramaphosa kuhusu Wamagharibi, fatilia Safari za kimataifa alizofanya Ramaphosa kaenda zaidi Nchi gan.

Afrika Kusini ni Nchi ambayo bado kumbukumbu za Ukoloni ziko vidoleni mwao , hivo ni ngumu Kwa Mgombea u Rais ambaye ni mfuasi wa Magharibi, kushinda uchaguzi !!.


Zuma, Ramaphosa, Hawa wote ni Warusi.
Huna akili
 
Back
Top Bottom