Globalist Plot to Mandate COVID-19 Vaccine Exposes Shocking Satanic Conspiracy

Globalist Plot to Mandate COVID-19 Vaccine Exposes Shocking Satanic Conspiracy

Kwani kaongea nini, kuna science hapo, utopolo mtupu.We want science, sio empty words.
Science pia ni dini, remember!!
Uliambiwa kwenye science kuwa Fluoride inaimarisha meno sio?
But flioride ni toxic, ukiweka kwenye glass inatoboka, ndo main cause ya watu kuharibika meno na mifupa.
Lakini imewekwa kwenye dawa za meno na maji, angalia chupa za maji ya viwandani kenge wewe!
Kwenye sembe na ngano unayokula umewekewa "elements" hatari zinaitwa 'lishe' au Fortification eti ili upate afya bora, pumbavu wewe mwanasayansi.
Fala wewe angalia chupa za vyakula za madukani kama Tomato, Chilli sauce na vyakula vingine wameweka Code za Synthetic elements wameandika kwa Code kama hizi, E102, au E501 nk
Ushawahi kujiuliza kwa nini wamekuficha wewe mbugila usiyejielewa, sisi tunaojielewa tunajua.
 
Wewe mjinga sana.Bata ni yule wa kufugwa, Butter ni ile ya kupaka kwenye mkate.C.I.A wajinga sana, wanaajiri jitu ambalo halijui hata tofauti ya Bata na Butter! Nawapa pole.
And that was my point

Nakula bata…. Sili butter
 
100% conspiracy! Mkuu kama umechanja imekula kwako, time will tell
Inasubiriwa percent ya dunia waanze ku activate hizo chip mwilini mwako, and it will be over to your freedom
Kwisha habari yako

Ufahamu na utopia to death
 
Science pia ni dini, remember!!
Uliambiwa kwenye science kuwa Fluoride inaimarisha meno sio?
But flioride ni toxic, ukiweka kwenye glass inatoboka, ndo main cause ya watu kuharibika meno na mifupa.
Lakini imewekwa kwenye dawa za meno na maji, angalia chupa za maji ya viwandani kenge wewe!
Kwenye sembe na ngano unayokula umewekewa "elements" hatari zinaitwa 'lishe' au Fortification eti ili upate afya bora, pumbavu wewe mwanasayansi.
Fala wewe angalia chupa za vyakula za madukani kama Tomato, Chilli sauce na vyakula vingine wameweka Code za Synthetic elements wameandika kwa Code kama hizi, E102, au E501 nk
Ushawahi kujiuliza kwa nini wamekuficha wewe mbugila usiyejielewa, sisi tunaojielewa tunajua.
Mbona tupo pamoja mkuu?? Nazungumzia matumizi mazuri ya science for human development, sio matumizi mabaya ya science kama wanavyo fanya hawa washenzi.
 
Unaweweseka tu wewe, uko na tatizo la kuwa paranoid
 
Unaweweseka tu wewe, uko na tatizo la kuwa paranoid
Wewe ni wa ku-ignore, you have nothing to offer in terms of substance.CIA wamesha kuharibu akili.
 
Back
Top Bottom