Glock 17 kama ya Sabaya

Misifa ya kijinga....acha ale 15 clean akate rufaa akaachiwe high court
 
Sasa mkuu wa wilaya silaha ya nn jamani??? Vijana wana mbwembwe hawa???
 
Hawa wakuu wa Wilaya wapimwe akili.
Jana alisema hamjui aliyemuapisha.
Leo ndio nimeona wanamuandalia maneno kabisa ya kabisa ya kujichomoa na hii kesi. Eti jana alivyosema hamjui mkuu wa mkoa aliemuapitisha,leo wamerudia ili alisahihishe hiyo nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…