Shenzi sana nashangaa kuna majinga eti yanamtetea!Akiingia pale mahakamani ana bashasha kama vile hajawahi kuwafanyia watu kitu kibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shenzi sana nashangaa kuna majinga eti yanamtetea!Akiingia pale mahakamani ana bashasha kama vile hajawahi kuwafanyia watu kitu kibaya
Tanzania watu wanatanguliza siasa kuliko nchi. Yaani mtu anavunja sheria KISA mwana ccm wanamtetea???Shenzi sana nashangaa kuna majinga eti yanamtetea!
Glock 17 ~The Original.Mhhh!!! Block 17 hatari Kwa kwelii.
timeKaaibisha ikulu awatomuacha huyu
Mfalme akifa hufa na wapambe wake, sio lazima wazikwe lknSabaya atakula matunda ya ujinga wa kumuabudu jiwe na alivyokuwa zoba wala hajutii makosa yake bado anajiona yeye ni special kama alivyoaminishwa na mungu wake jiwe.
Leo ndio nimeona wanamuandalia maneno kabisa ya kabisa ya kujichomoa na hii kesi. Eti jana alivyosema hamjui mkuu wa mkoa aliemuapitisha,leo wamerudia ili alisahihishe hiyo nafasi.Hawa wakuu wa Wilaya wapimwe akili.
Jana alisema hamjui aliyemuapisha.
Na akikikutana na machizi wa mirembe ataomba pooo kule si pa mchezomchezoSabaya anacheza ngoma makusudi ili apelekwe mirembe aonekane chizi
Japo zote ni silaha zina kiwango kilekile cha kuua/kujeruhi lakini naikubali sana hii hapa chini revolver