Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣🤣Unao hapo tumtumie Mwigulu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Unao hapo tumtumie Mwigulu?
Sitaki ujinyonge plz ishia hapa hapaUnapatikana wapi? Tuwekee audio
Umeusikiza?Nyuma ya huo wimbo kuna ushawishi mkubwa sana wa roho ya mauji, maana ndio roho iliyo mvuvia na kumshawishi kutunga huo wimbo.. Kwaiyo nyuma yake kuna hiyo spirit mtu akiaikiliza kama tujuavyo wimbo ni roho basi ndio hivyo
Basi hii habari ni chai ya mchaichaiSitaki ujinyonge plz ishia hapa hapa
Ili iweje? Historia ya wimbo inakupa picha kamiliUmeusikiza?
Link imewekwa ngoja niusikilize...zikipita siku mbili hamjaniona umu mjue tayari
😃Link imewekwa ngoja niusikilize...zikipita siku mbili hamjaniona umu mjue tayari
Umenikataa...ukisikia nimejiua ujue we ndo sababuSitaki ujinyonge plz ishia hapa hapa
Wimbo wenyewe wa kilugha sijaelewa. Nimeusikiliza kidogo kichwa kikaanza kuuma😃
😃 MKUU TAFADHALI HUSIFANYE HIVYO
Tulia mamaaUmenikataa...ukisikia nimejiua ujue we ndo sababu
Tulia mamaa akipita huku katoto kazuri atanisimanga kwa kauli hii jamani😅Umenikataa...ukisikia nimejiua ujue we ndo sababu
Ndo ajue jinsi ulivyo😅Tulia mamaa akipita huku katoto kazuri atanisimanga kwa kauli hii jamani😅
Huyo nditoo sijui nimfanyeje🤣Ndo ajue jinsi ulivyo😅
Ndo kipenzi chako?Huyo nditoo sijui nimfanyeje🤣
Hata ukaribu hatuna lkn anataka kunijua jua, hukuona uchokozi wake jana?Ndo kipenzi chako?
Atatoswa mchana kweupe nadhani hakujui vizuriHata ukaribu hatuna lkn anataka kunijua jua, hukuona uchokozi wake jana?
Ananichulia poa sio?🤣🤣🤣Atatoswa mchana kweupe nadhani hakujui vizuri
Shauri lakeAnanichulia poa sio?🤣🤣🤣