Glossolalia: Kunena kwa Lugha mpya Wagiriki,Warumi, Wagalilaya na Waganga.

Glossolalia: Kunena kwa Lugha mpya Wagiriki,Warumi, Wagalilaya na Waganga.

kunena kwa lugha kwa kwetu hapa naona kama kuna fanana na kuna karirika

tembelea mikutano ya injili ya makanisa yanayojiita ya kiroho utagundua mchungaji huyu na yule hujikuta wakitamka kama vitu vinavyo fan

koooooraaaa mashaka abhabababab ndorobobobobobo na kuyarudia rudia tu


halafu hata dakika haiishi sasa unjiuliza huwa wanapewa semina elekezi kabla ya kuwa wachungaji? kwanini yafanane?
watakuja kufafanua vizuri.
ila kuna jamaa wa linguistic duniani wamefanya hadi tafiti za kisayansi wakirekodi hizo sauti kutoka kwa watumishi mbalimbali. sio mambo mapya kujadiliwa humu jf hata huko duniani wanajadili na kutafiti.
mfano mwaka 1965 lutheran medical center walizifanyia tafiti.
kuna viongozi wa unenaji wa Lugha wamewahi kuhojiwa.
moja ya sababu ya ufanano wengi wanapomnyenyekea huyo kiongozi wa kunena, hujikuta katika kunena hunena wote kama yeye. moja wa researcher na mwandishi wa makala katika gazeti la christianity today miaka ya 60 wametoa maoni mbalimbali.

ndio maana nimesema hii ni changamoto kwa wahusika wajifunze zaidi ikiwa wanawasiwasi na wanachokifanya. kama wanauhakika pia haituzuii kujadili.
 
halafu kunena kwa lugha ambako hakueleweki kwa waumini wako naona si jambo jema ni kama njia ya kutaka kuwaonesha wewe mtumishi unaupako sanaaa tufautiil na wasio weza kunena kwa lugha.

ningeona kunena kwa lugha kuna umuhimu endapo kungekua na tafsiri ya kile kinenwacho
 
bibilia imeeleza jambo hili kwa uwiano sawa kabisa,ni hatari sana mtu kutoa argument bila referal.
Kunena kwa lugha ni kusema kwa lugha nyingine sawasawa na Roho wa Mungu alivyokuijilia.

NOTE;a/ Kuna kunena kwa lugha kama kipawa/karama.
1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

KUNA MAMBO YA SIRI AMBAYO WATU HATA WEWE MWENYEWE(mwili wako) HUPASWI kuyaelewa unaposema na Mungu wako,sawasawa na andiko hilo hapo juu.

b/kuna kunena kwa lugha kwa kila aaminiye.
mark16:17-na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio.kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya.

NI MAAGIZO YA YESU MWENYEWE KWA KILA AMWAMINIYE YESU.
Katika maagizo yale hakuna sehemu amesisitiza kuwa watakapokuwa wakinena kwa lugha mpya watatakiwa pia wafasri.kumbuka hilo!
ILA KATIKA UWIANO WA MAANDIKO,maandiko sehemu nyingine yanasema kufasiri hasa katika mafundisho ya kitume,sio kwamba yanapingana lahasha!

kumbuka.Rum 8:26,27 ~ROHO naye hutusaidia udhaifu wetu,kwa maana hatujui kuomba itupasavyo.

ELEWA LEO.KAMA ROHO MTAKATIFU akitaka ufasri huwezi kumzuia na kama haoni sababu huwezi kumulazimisha maana yeye ndio anajua udhaifu wako katika kuomba,na mara nyingi kufasri huja hasa pale unapowaombea wengine ili pale ROHO wa MUNGU anapotaka kuwasaidia wengine kupitia maombi hayo wapate kuelewa na kusikia kile MUngu anataka akione au anataka wakifanye,au watubu,au wabadili mwenendo n.k sawa na mapenzi yake juu ya hao unaowaombea kupitia ROho mt.
 
kunena kwa lugha kwa kwetu hapa naona kama kuna fanana na kuna karirika

tembelea mikutano ya injili ya makanisa yanayojiita ya kiroho utagundua mchungaji huyu na yule hujikuta wakitamka kama vitu vinavyo fan

koooooraaaa mashaka abhabababab ndorobobobobobo na kuyarudia rudia tu


halafu hata dakika haiishi sasa unjiuliza huwa wanapewa semina elekezi kabla ya kuwa wachungaji? kwanini yafanane?
Umenikmbusha kitu,niliwahi kwenda kwenye ibada moja sehemu fulani pale Dar,mchungaji yule alipofikia kuomba aliomba kwa muda na baadaye alianza kuongea lugha kama ya kiarabu,ilimchukua takribani dakika 15 akiongea vile,na mara alianza kuongea kwa kutafsiri kilichozungumzwa kwa kiswahili,na mara niliona ile hali ya kuongea ile lugha ikimrudia tena na niliona kama vile anajaribu kujizuia kwa kushika mdomo lakini hakuweza,aliendelea tena kwa kama dakikika 5 ndio akamaliza.Nilivyoona pale ile haikuwa kujifanyisha kama wengine wanavyofanya,kama ulivyosema hapo Mr Q ambapo hata mimi hii nimeishuhudia kwenye mikutano kadhaa au mahubiri ya baadhi ya wa watumishi...
 
bibilia imeeleza jambo hili kwa uwiano sawa kabisa,ni hatari sana mtu kutoa argument bila referal.
Kunena kwa lugha ni kusema kwa lugha nyingine sawasawa na Roho wa Mungu alivyokuijilia.

NOTE;a/ Kuna kunena kwa lugha kama kipawa/karama.
1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

KUNA MAMBO YA SIRI AMBAYO WATU HATA WEWE MWENYEWE(mwili wako) HUPASWI kuyaelewa unaposema na Mungu wako,sawasawa na andiko hilo hapo juu.

b/kuna kunena kwa lugha kwa kila aaminiye.
mark16:17-na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio.kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya.

NI MAAGIZO YA YESU MWENYEWE KWA KILA AMWAMINIYE YESU.
Katika maagizo yale hakuna sehemu amesisitiza kuwa watakapokuwa wakinena kwa lugha mpya watatakiwa pia wafasri.kumbuka hilo!
ILA KATIKA UWIANO WA MAANDIKO,maandiko sehemu nyingine yanasema kufasiri hasa katika mafundisho ya kitume,sio kwamba yanapingana lahasha!

kumbuka.Rum 8:26,27 ~ROHO naye hutusaidia udhaifu wetu,kwa maana hatujui kuomba itupasavyo.

ELEWA LEO.KAMA ROHO MTAKATIFU akitaka ufasri huwezi kumzuia na kama haoni sababu huwezi kumulazimisha maana yeye ndio anajua udhaifu wako katika kuomba,na mara nyingi kufasri huja hasa pale unapowaombea wengine ili pale ROHO wa MUNGU anapotaka kuwasaidia wengine kupitia maombi hayo wapate kuelewa na kusikia kile MUngu anataka akione au anataka wakifanye,au watubu,au wabadili mwenendo n.k sawa na mapenzi yake juu ya hao unaowaombea kupitia ROho mt.
asante kwa maoni mkuu. nitatoa na yangu pia ...
 
Umenikmbusha kitu,niliwahi kwenda kwenye ibada moja sehemu fulani pale Dar,mchungaji yule alipofikia kuomba aliomba kwa muda na baadaye alianza kuongea lugha kama ya kiarabu,ilimchukua takribani dakika 15 akiongea vile,na mara alianza kuongea kwa kutafsiri kilichozungumzwa kwa kiswahili,na mara niliona ile hali ya kuongea ile lugha ikimrudia tena na niliona kama vile anajaribu kujizuia kwa kushika mdomo lakini hakuweza,aliendelea tena kwa kama dakikika 5 ndio akamaliza.Nilivyoona pale ile haikuwa kujifanyisha kama wengine wanavyofanya,kama ulivyosema hapo Mr Q ambapo hata mimi hii nimeishuhudia kwenye mikutano kadahaa au mahubiri ya baadhi ya wa watumishi...
hii inamaanisha nini kiimani kati ya mapadre ambao hawatokewi na hali kama hiyo na wale wachungaji wa kiroho? je hao wachungaji wapo karibu zaidi na nguvu za Mungu? au kuna kitu nyuma ya pazia...
 
hii inamaanisha nini kiimani kati ya mapadre ambao hawatokewi na hali kama hiyo na wale wachungaji wa kiroho? je hao wachungaji wapo karibu zaidi na nguvu za Mungu? au kuna kitu nyuma ya pazia...
Hapana,hapa hii naona ni karama,kwamba mwingine anakuwa nayo na mwingine anakuwa hana,lakini swala la kuwa karibu na Mungu ni matendo yako tu mkuu..
 
Hapana,hapa hii naona ni karama,kwamba mwingine anakuwa nayo na mwingine anakuwa hana,lakini swala la kuwa karibu na Mungu ni matendo yako tu mkuu..
unadhani kwanini karama za aina hiyo huwezi kuzikuta ktk ukatoliki usabato n.k? kwanini wachungaji tu wa makanisa fulani ndio wapewe karama ya aina hiyo?
 
unadhani kwanini karama za aina hiyo huwezi kuzikuta ktk ukatoliki usabato n.k? kwanini wachungaji tu wa makanisa fulani ndio wapewe karama ya aina hiyo?
Hili sina uhakika nalo,ngoja waje wajuzi zaidi wa mambo haya watatupa majibu yanayofaa zaidi..
 
bibilia imeeleza jambo hili kwa uwiano sawa kabisa,ni hatari sana mtu kutoa argument bila referal.
Kunena kwa lugha ni kusema kwa lugha nyingine sawasawa na Roho wa Mungu alivyokuijilia.

NOTE;a/ Kuna kunena kwa lugha kama kipawa/karama.
1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

KUNA MAMBO YA SIRI AMBAYO WATU HATA WEWE MWENYEWE(mwili wako) HUPASWI kuyaelewa unaposema na Mungu wako,sawasawa na andiko hilo hapo juu.

b/kuna kunena kwa lugha kwa kila aaminiye.
mark16:17-na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio.kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya.

NI MAAGIZO YA YESU MWENYEWE KWA KILA AMWAMINIYE YESU.
Katika maagizo yale hakuna sehemu amesisitiza kuwa watakapokuwa wakinena kwa lugha mpya watatakiwa pia wafasri.kumbuka hilo!
ILA KATIKA UWIANO WA MAANDIKO,maandiko sehemu nyingine yanasema kufasiri hasa katika mafundisho ya kitume,sio kwamba yanapingana lahasha!

kumbuka.Rum 8:26,27 ~ROHO naye hutusaidia udhaifu wetu,kwa maana hatujui kuomba itupasavyo.

ELEWA LEO.KAMA ROHO MTAKATIFU akitaka ufasri huwezi kumzuia na kama haoni sababu huwezi kumulazimisha maana yeye ndio anajua udhaifu wako katika kuomba,na mara nyingi kufasri huja hasa pale unapowaombea wengine ili pale ROHO wa MUNGU anapotaka kuwasaidia wengine kupitia maombi hayo wapate kuelewa na kusikia kile MUngu anataka akione au anataka wakifanye,au watubu,au wabadili mwenendo n.k sawa na mapenzi yake juu ya hao unaowaombea kupitia ROho mt.
Sijaandika kibibilia mkuu. nimeandika kijamii kwa uwiiano sawa. ila ngoja nitoe maoni yangu kutoka katika maelezo yako.

1:Kunena kwa Lugha Mpya, sio siri ni tukio halisi na lilirekodiwa katika kitabu kitakatifu bibilia. Matendo 2.
katika tukio hilo kuna facts kadhaa.
* Mitume walinena kwa lugha mpya ambayo ilidhibitishwa na waliosikia kuwa lugha halisi za kibinadamu ambazo zinaongelewa na watu wamataifa mengine. Hakukuwa na Lugha hizi zisizofahamika.
Ushahidi wa Vitendo unanguvu kuliko ushahidi wa maelezo yanayohitaji tafsiri.
mfano ukiandikiwa habari mtoto wako kanywa sumu kisha akaanza kutoa mapovu na details za tukio zima ni tofauti na mtu kuelezea kifo cha sumu kwa ujumla. Somo zuli tunalichukua pentecoste kwa mitume. Lugha zao zilieleweka.

*Hakuna ufanano wowote kati ya mazoezi au program za kanisa zinazopelekea waumini kunena kwa lugha zisizofahamika na kile kilichotokea wakati wa mitume.

*Kwa mujibu wa tafiti ya Scientific study of Religion mtu akielekea kunena kwa lugha mpya kabla ya hapo huwa katika hali ya juu ya Emmotional instability (trance) tofauti na mitume walikuwa katika high SPIRITUAL STABILITY.

Mwisho.
Binafsi nimewahi kuhudhuria katika mkutano wa injili ulioendeshwa na mtu wa kuaminiwa sana nchini. mke wake alituongoza katika utaratibu wa kuvuviwa na huyo roho aneneshaye, (binafsi niliacha kufuata maelekezo yake kwa sababu yalikuwa kinyume na bibilia). Alituamuru tutaje neno Yesu au Mungu mfurulizo harakaharaka hadi utaona unavuviwa na kutamka maneno usiyoyajua.nilikataa kwa sababu mbili...
1) Zoezi hilo lilikuwa kinyume na amri za Mungu (usilitaje jina la bwana Mungu wako Bure).
2) Zoezi hilo linapingana na matukio yote ya kwenye bibilia yanayozungumzia kunena kwa Lugha. kwangu niliona ni mifumo miwili kinzani.

KUHUSU MAONI YAKO;
1 Wakorintho 14, inatoa maelezo ya kutosha kuhusu mada hii. Japo wakorintho hiyo ili tuielewe vizuri ni vizuri kujua mazingira ya mji huo,
ni vizuri ujua nini kilipelekea Paulo awaandikie hayo. Ili kujenga jukwaa zuri la kujengea hoja.

MAMBO KADHAA...
1:Mji wa Korintho ulianzishwa na Kaisali Julius, mji huo ulikuwa ni mji mkubwa kabisa wa kibiashara na makao makuu ya jimbo la Achaia. Ulikuwa ni kitovu cha miungu mingi ya kipagani na kila aina ya ibada za kishetani pia. Hivyo kanisa la Korintho liikuwa na changamoto kubwa sana ya kuingiza mambo yasiyofaa kutoka kwa upagani unaowazunguka.Na kuna uwezekano mkubwa kuingia kwa upagani katika kanisa ilikuwa sababu ya uandishi wa Barua yake kuwakumbusha misingi.

2:Kwa Sababu Korintho ilikuwa HUB ya kisiasa na kbiashara, Jiji hilo lilikuwa na population ya watu wa Lugha mbalimbali. Na kwa maneno mengine Kanisa lilihitaji Kalama ya Lugha (Zinazoeleweka kwa wageni) ili kuhudumia watu wa kila kabila.
Kwa haya hiyo inaonekana kulikuwa na tatizo ambalo LIPO SASA, watu kudhani kunena kwa Lugha kunakufanya uwe bora. Dhumuni la Kunena kwa Lugha ni KUHUBIRI INJILI na KUJENGANA sio Kuonyesha ubora wa Muumini.

Naamini Paulo anazungumzia LUGHA inayoeleweka Sio Zile ambazo anayenena haelewi, wanasosikia hawaelewi nadhani hata Malaika nao hawaelewi.
##########################

kwenye maelezo yako.
a) Sioni kama hapo paulo anazungumzia lugha hizi tunazozisikia zisizoeleweka hata kwa msemaji. Kwa msingi wa hoja yangu pale juu, wakolinto kwa mazingira waliyokuwapo wengi wa waumini walikuwa na ujuzi wa Lugha Mbalimbali na kama haitoshi Bado wapo waliovuviwa na Lugha mpya kama mitume (matendo 2).

Hivyo Wewe Ukiongea Kiingereza kanisa la kijijini ambalo hawajui hata kiswahili humjengi mtu. Utajijenga wewe ambaye unakijua na unajua unaongea nini. Ndiyo maana mambo hayo Mtume anashauri Ujinenee peke yako ukiwa sirini au basi kama umewiwa sana unene kiingereza kwa wasukuma na wasukuma watafsiriwe ili wajengwe na wao. Vinginevyo wewe utakuwa kituko au kama mjinga mbele ya wasikilizaji wako.

b) Hoja ya marko 16:17 inajibiwa na bibilia yenyewe sio hiki tunachokiona. Walioambiwa walinena kwa hiyo Lugha mpya tofauti na waliyozoea na kukulia. Waliowasikiliza Walielewa maana dhumuni ya Lugha ni Mawasiliano. Ntamshangaa Mungu kama atawasiliana na mtu kwenye kadamnasi kwa Lugha ambayo huyo anayeongea haielewi, kadamnasi nayo haieewi. Au yeye anaielwe ila wasikilizaji hawaelewi. Huo ndio msingi wa kukemea tabia hizo paulo.

c) Waliponena kwa Lugha mpya, mitume kwa sababu walikuwa wengi na waliosikiliza mashahidi walisema tumewasikia wakinena kwa Lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu. Hiyo siamini kama Lugha walizonena ndio hizi mpya tunazozisikia na kutozielewa japo nachelea kusema hizo sio lugha bali ni Sauti, maana Lugha ni medium ya mawasiliano, na kama hakuna kuwasiliana au uelewa kati ya wahusika inaua maana ya lugha.

d)Roho kutuombea hakuna uhusiano na Kunena kwa Lugha mpya. Kuugua kusikotamkika hakuna uhusiano na kuugua kunakotamkika tunakokuona kwenye nyumba za ibada. Yale matamshi yanatamkika mkuu ila huo mstari unazungumzia mambo yasiyotamkika, Lakini pia Roho ndiye anayekuombea sio wewe. kwa hiyo hapo anahusika roho sio hao wanaoongea.



Yawezekana tumekuwa tofauti kutokana na asili ya mafundisho.
Lakini ukisoma vizuri hiyo 1 wakorinto 14, Sio tu inapinga bali inakataza mengi ambayo tunafanya sasa. Na kama Lugha ni kalama basi ni kosa kubwa kutaka kanisa zima linene kwa Lugha maana utakuwa unalazimisha mwili wote uwe sikio.


karibu kwa maoni na changamoto mkui.
 
Mkuu mitale na midimu huwa nakunwa sana na mada zako humu jukwaani ila hii ningependa unieleweshe kidogo je unachosema ni kwamba kunena kwa lugha ni makosa ama namna ya walokole wanavyonena kwa lugha ndio kosa

Embu nieleweshe ili nipate elimu hapa
 
Mkuu mitale na midimu huwa nakunwa sana na mada zako humu jukwaani ila hii ningependa unieleweshe kidogo je unachosema ni kwamba kunena kwa lugha ni makosa ama namna ya walokole wanavyonena kwa lugha ndio kosa

Embu nieleweshe ili nipate elimu hapa
nakupata mkuu wangu. Hapa nilikuwa natoa changamoto na kutanua wigo wa uelewa wa suala la kunena kwa Lugha katika hoja zifuatazo.

Kunena Kwa Lugha mpya (Lugha za kibinadamu mfano, mswahili kuongea kichina bila kuwahi kujifunza au kukisikia)

1:Watu waelewe kuwa watu kunena kwa Lugha mpya haikuanza siku ya pentekoste, bali ni tukio lililokuwepo miaka mingi hata kabla ya Yesu Kuzaliwa kama mwanadamu.
2:Ikiwa Shetani alikuwepo tangu enzi za agano la Kale, na ikiwa shetani na ndivyo ilivyo operation yake ni global hivyo mtu aliyemilikiwa na pepo mchafu anaweza kunena kwa Lugha mpya pia, maana sio yeye bali ni huyo pepo mchafu ambaye ni linguistically intelligent wa lugha nyingi.
3: Watu waelewe Tukio la Yerusalem wale wagalilaya 120 waliovuviwa na roho mtakatifu lilikuwa ni tukio halisi, na walipewa kalama hiyo kama nyenzo ya kufikishia ujumbe kwa ulimwengu wa wakati huo maana wasingeweza.
4:Wale watu au mitume hawakunena LUGHA ZINAZONENWA NA WALOKOLE Leo maana hizi hazieleweki ila zile za mitume zilikuwa wazi na zakufahamika kwa wasikilizaji hadi wakashangaa kwa Inawezekanaje Mnazareti aumkarpenaumu aongee kiarabu bila kujifunza.


LUGHA ZISIZOELEWEKA miongoni mwao ni hii Wanayonena Walokole, na wakatoliki karismatic na kama wapo wasabato karismatic pia.
1: Kwa mifano kadhaa ya kihistoria, Watu walianza kunena kwa Lugha zisizoeleweka kwa wasikilizaji kabla hata Yesu hajazaliwa.
2:Lugha zisizoeleweka zilinenwa baada ya watu kupagawa au kuvuviwa na miungu.
3:Lugha hizi zisizoeleweka zinanenwa hata leo na waganga, watu wanaopagawa na mapepo na mizimu, Kuna video za wahindu au watu wa dini za mashariki.
4Lugha zisizoeleweka zimekuwa zikiambatana na miujiza, pamoja na watu kuanguka na miujiza mingi ya ajabu huko kwa watu waliopagawa na miungu kwa ufanano sawa na hawa wanaodai kupatwa na roho mtakatifu.
5: Nikatoa tahadhari kuwa mtu kushika bibilia, au kuwa kanisani awezi kuaminika kwa maneno, matendo na miujiza maana hata watu waliwahi kumuabudu Tammuz kanisani miaka ya kale wao wakidhani wanamuabudu Mungu.
Ni hatari kutegemea Lugha na miujiza kama udhihirisho wa MTU kuwa wa Mungu maana Shetani nae hufanya hayohayo kwenye madhabahu zake. na Hatishwi na Bible knowledge maana yeye ni Master wa maarifa ya bibilia sema hamuamini anayefunuliwa humo na kumtii.

nikatoa changamoto kama kuna mlokole au karismatic ananena kwa Lugha afanye tallying matendo hayo ya Imani na maandiko.

Ila maoni yangu kuhusu hicho wanachokinena SIO KILICHONENWA Katika bibilia ila wao wanaweza kueleza zaidi.
 
Mkuu mitale na midimu nimeelewa hoja yako labda niulize tu umetumia utafiti gani kuconclude kuwa hawa walokole wa sasa wanavyonena kwa lugha sio sawa na walivyonena akina paulo??? na Je hizi lugha kama ni lazima zieleweke mbona biblia wanayotumia haiwaambii hivyo

1 wakorintho 14:2
2 Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
3 Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali ahutubuye hulijenga kanisa.
5 Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kuhutubu, maana yeye ahutubuye ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa
.

Biblia hapa inasema wazi kuwa ukinena kwa lugha watu hawawezi kuelewa kabisa kama ambavyo labda mkuu wangu ulishindwa kuwaelewa hao wanaonena kwa lugha bila kueleweka ndio maana nkahoji unisaidie ulifahamu vp kuwa hiyo lugha wanayoongea sio kama kina paulo na hta kama haieleweki mbona biblia inakubali hta isipoeleweka??

Embu niweke sawa hapo mkuu
 
maxresdefault.jpg


Wanadamu hawakuanza Kunena kwa Lugha (Glossolalia) iliyonje ya uelewa wao pale Yerusalem kama ilivyoandikwa kwenye baadhi ya Vitabu Vitakatifu.

Miaka Mingi BC kuna matukio kadhaa ya watu kunena kwa Lugha zilizonje ya Uwezo wao wa kibinadamu.
Hata kabla ya ukristo kufika maeneo mengi kunena kwa Lugha kumekuwepo maeneo ya China, Japan, Korea, Malaysia, Indonesia, Siberia, Arabia, Burma, na maeneo mengi ulimwenguni ikiwemo Afrika.

speakingintongues.jpg

Kwa Makabila ya Waeskimo, Washamani wa Ethiopia, Voodoo haiti, Kikundi kimoja cha kijadi huko japan kinachoongozwa na GENJI YANAGIDE katika mji wa Moji.

UNENWAJI WA LUGHA SISIZOFAHAMIKA KABLA YA YESU (BC)

Mwaka 1100 BC kulikuwa na kikundi kidogo cha watu waliofahamika kama "Amen worshipers" ambacho mmumuni alipoingiliwa na muungu(god) alipoteza ufahamu na kuanza kunena kwa lugha na maneno yasiyoelewaka kwa wasikilizaji wake.

ZAMA ZA WAGIRIKI
Miaka ya 400 BC mwanafilosofia nguli wa kigiliki PLATO katika maandiko yake amerekodi uwepo wa watu wengi waliokuwa wakinena kwa lugha zisizoeleweka wakiwa katika kuomba miungu yao. Matukio hayo yaliambatana na uponywaji wa watu hao.

ZAMA ZA WARUMI
20b4a473d3e73821cbd7ae9bd2f97aec.jpg

Karne moja BC ulimwengu wa wakati ho ukiwa chini wa Dola la kirumi, kuhani wa kike SYBILLINE katika kisiwa cha DELOS walipokuwa katikati ya maombi kwa Mungu wao APOLLO walijikuta wakinena kwa lugha zisizoeleweka. Hii ilitokea alipokuwa akitafakari katika pango oja huko kisiwani.

Katika Ibada za mungu Mithra huko Uajemi, Osiris huko Misri, Dionizi huko Macedonia, Kote kunaonekana ibada hizo ziliambatana na matamshi ya Lugha zisizoeleweka.

pentecost.jpg


Kabla ya mwaka 34AD kulitokea tukio la WAGALILAYA waliokuwa katika Yerusalem kunena kwa lugha mpya ambazo zilikuwa nje ya ufahamu wao. Kama inavyoelezwa katika kitabu cha bibilia.
Ufafanuzi wa tukio hilo (Matendo 2), Waliokuwepo siku hiyo, wayahudi waliotoka nchi mbalimbali kuja kwenye Sikukuu ya Siku ya Hamsini ya malimbuko (Pentecoast), na wasio wayahudi walioongoka wa makabila yote WALIWASIKIA WAKINENA KWA LUGHA ZAO na Sio lugha zisizoeleweka, maana lisingekuwa tukio jipya kwani watu kunena lugha zisizoeleweka ilikuwa ni kawaida kwa jamii karibu zote za enzi hizo.

Kuna matukio Mengi ya watu kuendelea kunena kwa Lugha zisizofahamika hata.

Mfano.
Mwaka (120-198 AD) Mwandishi Lucian wa Somosata anaandika Huko Syria katikati ya ibada za mungu wa kike wa kisyria JUNE, watu walinena kwa lugha zisizoeleweka.


MWISHO
Bandiko hili linalengo la kutanua uelewa juu ya mambo yanayoendelea katika jamii. Usishangae kuona watu wakiwa katika ibada zote za kijadi na za kimagharibi wakinena wakati flani lugha zinazofanana japo hazieleweki.

Lakini pia ni kufahamu kuwa Mwanadamu kutamka Lugha nje ya uwezo wake wa asili ni tukio ambalo lilikuwepo hata kabla ya Yesu (BC).


Jambo lingine usije ukashangaa mambo yanayofanyika katika nyumba za Sala yakafanana na Yale yanayofanyika katika madhabahu za nje ya vitabu vitakatifu.
Video hapo juu inaonyesha WATU Wakivuviwa na ROHO WA KIHINDU katikati ya KUNDALINI YOGA ufanano huu usikutishe bali ukuongezee uelewa wa kuwa raia bora wa dunia.


Karibuni kwa maoni mbalimbali wanaintelijensia na watu wa fikra mtambuka.
Asante sana kwa mada nzuri nitasoma kwa kutulia....Forum ya Intelligence inazidi kupata hadhi yake na hili linanipa faraja kubwa
 
speaking in tongues kama utaongea tuuu na usieleweke kwa waumini wako ni bora tu ukae kimya
 
OK.
Ahsante kwa claims zako na majibu yako,ILA FAHAMU YAFUTAYO KUHUSU KUNENA KWA LUGHA
1kor14:14~maana nikiomba kwa lugha,roho yangu huomba,lakini akili hazina matunda.
Kwa claim yako kuwa lazima uelewe unachokiongea hili linaweza kuwa jawabu kwako.
LAKINI najua utakuja na claim nyingine kutoka katika andiko hili lifuatalo
1kor 14:13~kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.
NI VYEMA,kweli wengine huomba na kupewa fasri wengine hawapewi,si kwamba ambao hawapewi wananena lugha si ya Roho mtakatifu.lahasha! KUMBUKA andiko hili
Rum 8;26,27~... huwaombea kama apendavyo MUNGU.
NOTE: Majibu yeyote yatokanayo na maombi ya mtu kwa Mungu ni majibu yaliyosawa na mapenzi yake/kusudi la Mungu mwenyewe.
KWASABABU HIYO.anenaye kwa lugha akipewa fasri is good,asipopewa ni mapenzi ya MUNGU.

1Kor14;4~anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake.

Uelewe kuwa,neno kanisa lina maana pana,ila moja ya maana,ni yule amwaminiye Yesu amefanyika kuwa kanisa/hekalu la MUNGU.

TOFAUTISHA WATU WAFUATAO WALIOAMINI
a/MATENDO 10;44-46~Wameamini na kupekea kipawa cha Roho mtakatifu,na wanasema kwa lugha.Hapa haijasema kuna watu walielewa walichokisema.

b/MATENDO19;1-7~wameamini ila hawajapokea Roho mtakatifu.
Tena ukisoma wanasema hata kusikia kuna Roho mtakatifu hawajawahi,maana yake ni kitu kigeni kwao.

RUM10;17 chanzo cha imani ni kusikia,na kusikia huja kwa neno la kristo.


Kama huneni kwa lugha usigombane na anenaye kwa lugha gombana na moyo wako upate kusikia neno la kristo ndani yako ili livute imani ya kupewa kunena kwa lugha.Kusikia ninayoiongelea siyo hii ya nyama na damu ila ni ile iliyo katika maskio yako ya ndani.

conclusion.kusema korinto kulikuwa na miungu mingi uko sawa kabisa ila lazima ukumbuke hakuna sehemu duniani ambako hakuna miungu ,haipo hiyo sehemu,ILA KATIKATI YA MIUNGU HAKUNA MUNGU KAMA MUNGU WA ISRAEL KATIKA KRISTO YESU.
 
Back
Top Bottom