Glossolalia: Kunena kwa Lugha mpya Wagiriki,Warumi, Wagalilaya na Waganga.

Glossolalia: Kunena kwa Lugha mpya Wagiriki,Warumi, Wagalilaya na Waganga.

Asante sana kwa mada nzuri nitasoma kwa kutulia....Forum ya Intelligence inazidi kupata hadhi yake na hili linanipa faraja kubwa
karibu mkuu. baada JF ya kutoka kifungoni sijui kama itarudi tena au ndio tupo, na mimi nitajaribu kujielekeza humu zaidi maana panasababisha nisumbua kabichwa kangu na makaratasi kidogo.
 
Sijaandika kibibilia mkuu. nimeandika kijamii kwa uwiiano sawa. ila ngoja nitoe maoni yangu kutoka katika maelezo yako.

1:Kunena kwa Lugha Mpya, sio siri ni tukio halisi na lilirekodiwa katika kitabu kitakatifu bibilia. Matendo 2.
katika tukio hilo kuna facts kadhaa.
* Mitume walinena kwa lugha mpya ambayo ilidhibitishwa na waliosikia kuwa lugha halisi za kibinadamu ambazo zinaongelewa na watu wamataifa mengine. Hakukuwa na Lugha hizi zisizofahamika.
Ushahidi wa Vitendo unanguvu kuliko ushahidi wa maelezo yanayohitaji tafsiri.
mfano ukiandikiwa habari mtoto wako kanywa sumu kisha akaanza kutoa mapovu na details za tukio zima ni tofauti na mtu kuelezea kifo cha sumu kwa ujumla. Somo zuli tunalichukua pentecoste kwa mitume. Lugha zao zilieleweka.

*Hakuna ufanano wowote kati ya mazoezi au program za kanisa zinazopelekea waumini kunena kwa lugha zisizofahamika na kile kilichotokea wakati wa mitume.

*Kwa mujibu wa tafiti ya Scientific study of Religion mtu akielekea kunena kwa lugha mpya kabla ya hapo huwa katika hali ya juu ya Emmotional instability (trance) tofauti na mitume walikuwa katika high SPIRITUAL STABILITY.

Mwisho.
Binafsi nimewahi kuhudhuria katika mkutano wa injili ulioendeshwa na mtu wa kuaminiwa sana nchini. mke wake alituongoza katika utaratibu wa kuvuviwa na huyo roho aneneshaye, (binafsi niliacha kufuata maelekezo yake kwa sababu yalikuwa kinyume na bibilia). Alituamuru tutaje neno Yesu au Mungu mfurulizo harakaharaka hadi utaona unavuviwa na kutamka maneno usiyoyajua.nilikataa kwa sababu mbili...
1) Zoezi hilo lilikuwa kinyume na amri za Mungu (usilitaje jina la bwana Mungu wako Bure).
2) Zoezi hilo linapingana na matukio yote ya kwenye bibilia yanayozungumzia kunena kwa Lugha. kwangu niliona ni mifumo miwili kinzani.

KUHUSU MAONI YAKO;
1 Wakorintho 14, inatoa maelezo ya kutosha kuhusu mada hii. Japo wakorintho hiyo ili tuielewe vizuri ni vizuri kujua mazingira ya mji huo,
ni vizuri ujua nini kilipelekea Paulo awaandikie hayo. Ili kujenga jukwaa zuri la kujengea hoja.

MAMBO KADHAA...
1:Mji wa Korintho ulianzishwa na Kaisali Julius, mji huo ulikuwa ni mji mkubwa kabisa wa kibiashara na makao makuu ya jimbo la Achaia. Ulikuwa ni kitovu cha miungu mingi ya kipagani na kila aina ya ibada za kishetani pia. Hivyo kanisa la Korintho liikuwa na changamoto kubwa sana ya kuingiza mambo yasiyofaa kutoka kwa upagani unaowazunguka.Na kuna uwezekano mkubwa kuingia kwa upagani katika kanisa ilikuwa sababu ya uandishi wa Barua yake kuwakumbusha misingi.

2:Kwa Sababu Korintho ilikuwa HUB ya kisiasa na kbiashara, Jiji hilo lilikuwa na population ya watu wa Lugha mbalimbali. Na kwa maneno mengine Kanisa lilihitaji Kalama ya Lugha (Zinazoeleweka kwa wageni) ili kuhudumia watu wa kila kabila.
Kwa haya hiyo inaonekana kulikuwa na tatizo ambalo LIPO SASA, watu kudhani kunena kwa Lugha kunakufanya uwe bora. Dhumuni la Kunena kwa Lugha ni KUHUBIRI INJILI na KUJENGANA sio Kuonyesha ubora wa Muumini.

Naamini Paulo anazungumzia LUGHA inayoeleweka Sio Zile ambazo anayenena haelewi, wanasosikia hawaelewi nadhani hata Malaika nao hawaelewi.
##########################

kwenye maelezo yako.
a) Sioni kama hapo paulo anazungumzia lugha hizi tunazozisikia zisizoeleweka hata kwa msemaji. Kwa msingi wa hoja yangu pale juu, wakolinto kwa mazingira waliyokuwapo wengi wa waumini walikuwa na ujuzi wa Lugha Mbalimbali na kama haitoshi Bado wapo waliovuviwa na Lugha mpya kama mitume (matendo 2).

Hivyo Wewe Ukiongea Kiingereza kanisa la kijijini ambalo hawajui hata kiswahili humjengi mtu. Utajijenga wewe ambaye unakijua na unajua unaongea nini. Ndiyo maana mambo hayo Mtume anashauri Ujinenee peke yako ukiwa sirini au basi kama umewiwa sana unene kiingereza kwa wasukuma na wasukuma watafsiriwe ili wajengwe na wao. Vinginevyo wewe utakuwa kituko au kama mjinga mbele ya wasikilizaji wako.

b) Hoja ya marko 16:17 inajibiwa na bibilia yenyewe sio hiki tunachokiona. Walioambiwa walinena kwa hiyo Lugha mpya tofauti na waliyozoea na kukulia. Waliowasikiliza Walielewa maana dhumuni ya Lugha ni Mawasiliano. Ntamshangaa Mungu kama atawasiliana na mtu kwenye kadamnasi kwa Lugha ambayo huyo anayeongea haielewi, kadamnasi nayo haieewi. Au yeye anaielwe ila wasikilizaji hawaelewi. Huo ndio msingi wa kukemea tabia hizo paulo.

c) Waliponena kwa Lugha mpya, mitume kwa sababu walikuwa wengi na waliosikiliza mashahidi walisema tumewasikia wakinena kwa Lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu. Hiyo siamini kama Lugha walizonena ndio hizi mpya tunazozisikia na kutozielewa japo nachelea kusema hizo sio lugha bali ni Sauti, maana Lugha ni medium ya mawasiliano, na kama hakuna kuwasiliana au uelewa kati ya wahusika inaua maana ya lugha.

d)Roho kutuombea hakuna uhusiano na Kunena kwa Lugha mpya. Kuugua kusikotamkika hakuna uhusiano na kuugua kunakotamkika tunakokuona kwenye nyumba za ibada. Yale matamshi yanatamkika mkuu ila huo mstari unazungumzia mambo yasiyotamkika, Lakini pia Roho ndiye anayekuombea sio wewe. kwa hiyo hapo anahusika roho sio hao wanaoongea.



Yawezekana tumekuwa tofauti kutokana na asili ya mafundisho.
Lakini ukisoma vizuri hiyo 1 wakorinto 14, Sio tu inapinga bali inakataza mengi ambayo tunafanya sasa. Na kama Lugha ni kalama basi ni kosa kubwa kutaka kanisa zima linene kwa Lugha maana utakuwa unalazimisha mwili wote uwe sikio.


karibu kwa maoni na changamoto mkui.

OK.
Ahsante kwa claims zako na majibu yako,ILA FAHAMU YAFUTAYO KUHUSU KUNENA KWA LUGHA
1kor14:14~maana nikiomba kwa lugha,roho yangu huomba,lakini akili hazina matunda.
Kwa claim yako kuwa lazima uelewe unachokiongea hili linaweza kuwa jawabu kwako.
LAKINI najua utakuja na claim nyingine kutoka katika andiko hili lifuatalo
1kor 14:13~kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.
NI VYEMA,kweli wengine huomba na kupewa fasri wengine hawapewi,si kwamba ambao hawapewi wananena lugha si ya Roho mtakatifu.lahasha! KUMBUKA andiko hili
Rum 8;26,27~... huwaombea kama apendavyo MUNGU.
NOTE: Majibu yeyote yatokanayo na maombi ya mtu kwa Mungu ni majibu yaliyosawa na mapenzi yake/kusudi la Mungu mwenyewe.
KWASABABU HIYO.anenaye kwa lugha akipewa fasri is good,asipopewa ni mapenzi ya MUNGU.

1Kor14;4~anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake.

Uelewe kuwa,neno kanisa lina maana pana,ila moja ya maana,ni yule amwaminiye Yesu amefanyika kuwa kanisa/hekalu la MUNGU.

TOFAUTISHA WATU WAFUATAO WALIOAMINI
a/MATENDO 10;44-46~Wameamini na kupekea kipawa cha Roho mtakatifu,na wanasema kwa lugha.Hapa haijasema kuna watu walielewa walichokisema.

b/MATENDO19;1-7~wameamini ila hawajapokea Roho mtakatifu.
Tena ukisoma wanasema hata kusikia kuna Roho mtakatifu hawajawahi,maana yake ni kitu kigeni kwao.

RUM10;17 chanzo cha imani ni kusikia,na kusikia huja kwa neno la kristo.


Kama huneni kwa lugha usigombane na anenaye kwa lugha gombana na moyo wako upate kusikia neno la kristo ndani yako ili livute imani ya kupewa kunena kwa lugha.Kusikia ninayoiongelea siyo hii ya nyama na damu ila ni ile iliyo katika maskio yako ya ndani.

conclusion.kusema korinto kulikuwa na miungu mingi uko sawa kabisa ila lazima ukumbuke hakuna sehemu duniani ambako hakuna miungu ,haipo hiyo sehemu,ILA KATIKATI YA MIUNGU HAKUNA MUNGU KAMA MUNGU WA ISRAEL KATIKA KRISTO YESU.
 
OK.
Ahsante kwa claims zako na majibu yako,ILA FAHAMU YAFUTAYO KUHUSU KUNENA KWA LUGHA
1kor14:14~maana nikiomba kwa lugha,roho yangu huomba,lakini akili hazina matunda.
Kwa claim yako kuwa lazima uelewe unachokiongea hili linaweza kuwa jawabu kwako.
LAKINI najua utakuja na claim nyingine kutoka katika andiko hili lifuatalo
1kor 14:13~kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.
NI VYEMA,kweli wengine huomba na kupewa fasri wengine hawapewi,si kwamba ambao hawapewi wananena lugha si ya Roho mtakatifu.lahasha! KUMBUKA andiko hili
Rum 8;26,27~... huwaombea kama apendavyo MUNGU.
NOTE: Majibu yeyote yatokanayo na maombi ya mtu kwa Mungu ni majibu yaliyosawa na mapenzi yake/kusudi la Mungu mwenyewe.
KWASABABU HIYO.anenaye kwa lugha akipewa fasri is good,asipopewa ni mapenzi ya MUNGU.

1Kor14;4~anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake.

Uelewe kuwa,neno kanisa lina maana pana,ila moja ya maana,ni yule amwaminiye Yesu amefanyika kuwa kanisa/hekalu la MUNGU.

TOFAUTISHA WATU WAFUATAO WALIOAMINI
a/MATENDO 10;44-46~Wameamini na kupekea kipawa cha Roho mtakatifu,na wanasema kwa lugha.Hapa haijasema kuna watu walielewa walichokisema.

b/MATENDO19;1-7~wameamini ila hawajapokea Roho mtakatifu.
Tena ukisoma wanasema hata kusikia kuna Roho mtakatifu hawajawahi,maana yake ni kitu kigeni kwao.

RUM10;17 chanzo cha imani ni kusikia,na kusikia huja kwa neno la kristo.


Kama huneni kwa lugha usigombane na anenaye kwa lugha gombana na moyo wako upate kusikia neno la kristo ndani yako ili livute imani ya kupewa kunena kwa lugha.Kusikia ninayoiongelea siyo hii ya nyama na damu ila ni ile iliyo katika maskio yako ya ndani.

conclusion.kusema korinto kulikuwa na miungu mingi uko sawa kabisa ila lazima ukumbuke hakuna sehemu duniani ambako hakuna miungu ,haipo hiyo sehemu,ILA KATIKATI YA MIUNGU HAKUNA MUNGU KAMA MUNGU WA ISRAEL KATIKA KRISTO YESU.
Mkuu mitale na midimu nimeelewa hoja yako labda niulize tu umetumia utafiti gani kuconclude kuwa hawa walokole wa sasa wanavyonena kwa lugha sio sawa na walivyonena akina paulo??? na Je hizi lugha kama ni lazima zieleweke mbona biblia wanayotumia haiwaambii hivyo

1 wakorintho 14:2
2 Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
3 Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali ahutubuye hulijenga kanisa.
5 Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kuhutubu, maana yeye ahutubuye ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa
.

Biblia hapa inasema wazi kuwa ukinena kwa lugha watu hawawezi kuelewa kabisa kama ambavyo labda mkuu wangu ulishindwa kuwaelewa hao wanaonena kwa lugha bila kueleweka ndio maana nkahoji unisaidie ulifahamu vp kuwa hiyo lugha wanayoongea sio kama kina paulo na hta kama haieleweki mbona biblia inakubali hta isipoeleweka??

Embu niweke sawa hapo mkuu
Wakuu nawapata vizuri.
Lakini pia nawapongeza kwa kuzama katika maandiko na kuongea au kuandika kwa ushahidi.
Siamini katika Lugha za sasa za walokole au karismatiki kwa sababu kubwa tatu.
1:Yesu alitabiri Watanena kwa Lugha mpya, marko 16:17 (neno la asili "KAINAIS" yaani Lugha ambayo muhusika hakuwahi kuiongea, sio yake ya asili''.
2:Utabiri wa Yesu ulipotokea Matendo 2, Hiyo Lugha mpya ilinenwa. Lugha hiyo mpya ilieleweka kwa wasikilizaji na sio maneno automatic yanayosikika na yasiyoeleweka kwenye madhabu nyingi za kikristo.
3: Kama alivyomtanzania yoyote wote tuna imani. Imani yangu ipo katika mafundisho ya SDA, Kanuni kuu ya Kanisa (creed) ni NENO La Mungu (bibilia 66 books), na kutoka humo Hatuna ushahidi wa hiki kinachotokea kwenye makanisa ya kipendwa. Ila Tuna ushahidi wq Kile walichokifanya mitume na kukiamini. Ndio maana nikasema wanaofanya hayo wanaweza kufafanua vizuri.

################################################

TURUDI KIINTELIJENSIA NA 1 WAKORINTHO 14:2....

Duniani kote kuna maana tatu juu ya utata au msingi wa wakorintho hii katika KUNENA KWA LUGHA kama ifuaravyo.

1:Kundi la Kwanza wanaamini Wakorintho hawa Walinena LUGHA ZA MALAIKA (2 Cor 13:1)
2:Kundi la pili ni wanaoamini walinena Lugha zisizofahamika kama hizi tunazozisikia (kundi ka kwanza na la pili wanafanana kidogo).
3:Kundi la Tatu na mimi nikiwemo tunaamini hata hawa Wakorintho walinena Lugha hizohizo walizozinena Wagalilaya (human language).

Kwa nini nasema hicho wanachokifanya wapendwa wenzangu (Unintelligible utterances) hazina uhusiano wa 1 Corinthian 14 au 14:2?

1: Tukio la Matendo 2, na Ushuhuda kuwa walinena Lugha zilizoeleweka (intelligible languages) naona ni ushahidi tosha kwamba Lugha zote zilizonenwa katika kitabu cha Matendo hazina tofauti na tukio hilo. Hivyohivyo na Wakorintho walipaswa kutembea kwenye mfumo huohuo. Ukitaka utenganishe kilichotabiriwa Marko 16:17, kilichotokea matendo 2, na matukio mengine ya Kunena Lugha ya Matendo na 2 wakorintho 14 tutakuwa tunatengeneza mgogoro mkubwa wa maandiko.

2: Swali ni jepesi, mbona hiyo haieleweki (14:2)?. Kwa mfumo huohuo wa siku ya matendo 2. Naamini kuwa kwa sababu walikuwa na Karama ya kunena Lugha(za kibinadamu) nyingi tayari, walikuwepo watu waliokuwa wananena Lugha za kibinadamu ambazo hazieleweki kwa wasikilizaji.
Ushahidi wa hili ni ukweli kwamba walikuwa na uwezo wa kuzuia au kuacha kuzinena. Hawa wakorintho wa wa leo wakianza kunena zisizoelewa wanakuwa wamepoteza ufahamu ha hawawezi kujizuia wa hiyari.

3: Poin ya Tatu ni kwamba waandikiwa hapo ukisoma mstari wa 27,28. Utaona Walikuwa wananena kwa hiyari na wakiwa na akili timamu ndio maana anawaambia kama hakuna wa kutafsiri lugha hapo mahala (za kibinadamu) wasinene au wakae kimya.
Hizi zinazonenwa sasa zinanenwa na wanadamu waliopoteza SELF-CONTROL. Hiki kitendo kinawaondolea kigezo kuwa lugha zao ndio zilikuwa zinazungumzwa hapo 14:2. Lugha za walokole (ecstatic utterances) hutokea wakiwa hawajitambui. na hawana uwezo wa kujizuia kwa hiyari yao kama mmoja alivyotoa mfano hapo juu.

4:Utafiti wa kisayansi kuhusu hizi Lugha unaonyesha.
a) Watafiti na wataalam wa Lugha wamechunguza Lugha hizi katika Vikundi vya kipentekoste Marekani, Nchi za Kikaribbean na Mexico. Sauti zikawa recorded, Kisha zikalinganishwa na Lugha za namna hiyo zisizoeleweka katika dini zisizo za kikristo za kiafrika, Borneo, Indonesia na japan na ikahitimishwa kuwa hakuna utofauti wowote kati ya unenaji wa lugha wa wakristo (unintelligable languages) na unenaji wa lugha (unintelligable languages) wa wafuasi wa dini nyingine zisizo za kikristo ( za jadi za kiafrika, kihindu, etc).
Source:Celebral blood flow during the complex vocalization of GLOSSOLALIA. (2006).

b) Utafiti mwingine umeonyesha Lugha zinazotamkwa huwa ni matokeo ya tabia jifunzi (learned behavior). Wanenaji wengi huiga vilevile anenavyo kiongozi wao, au mtu mashuhuri analiyekuja kuongoza mikutano au sala.
na hii unaweza kuithibitisha hata hapa bongo, wengi wananena maneno ya kufanana wanapokuwa katika hali ya kunena. ndiyo maana yanawezaa hata kuigizwa kwenye movie zetu za kitanzania.
Source😛entecostal Glossolalia toward a functional interpretation, Journal for scientific study of religion(1969).
'' Glossolalia as a Learned Behavior: an experimental demonstration '', Journal of abnormal psychology (1986).

5:Lugha ni kwa ajili ya mawasiliano. Katika bibilia hakuna mtu ambaye amewahi kuwasiliana na watu vitu ambayo yeye havielewi, wanaosikiliza nao hawaelewi.Hiyo inajiondoa ktk viwango vya Lugha.


wakuu hayo ndiyo maoni na ushauri wangu wa jumla kuhusu hoja na haja za mjadala huu.
 
Mkuu mitale na midimu nimeelewa hoja yako barabara labda tu niseme kuna kitu unakisahau.... Kwanini unalimit kuwa kunena kwa lugha ni lazima iwe lugha ya kibinadamu kisa tu siku moja kuna mtu alinena kwa lugha ambazo watu wengine walielewa...... Mie naamini kunena kwa lugha za mataifa mengine ni kitu kimoja ila kunena kwa lugha ambazo hazieleweki kwa wanadamu ila kwa Mungu ni kitu kingine ila vyote vinatoka kwa MUNGU sasa sielewi kwanni unasisitiza kunena kwa lugha za kibinadam ndio za kiMungu alafu lugha zisizoeleweka ndio sio za kiMungu je unaweza kunisaidia mstari unaosema kuongea lugha zisizoeleweka sio ya ki-Mungu???

Labda ningehoji ukisoma mistari hii miwili je unapata picha gani
1 Corinto 13:1
1 Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.

Je hapa anaposema lugha za wanadamu na za malaika ana maana gani?? Huoni anaonyesha kuwa kuna lugha ambazo zinaeleweka kwa Mungu tu na nyingine kwa wanadamu tu je kwanini basi tuhitimishe kuwa za kibinadamu ndio za Mungu ila zisizoeleweka yaani za kimalaika ndio za kimashetani?? Why??? Au labda niulize je huwa tuna uhakika gani kuwa hyo lugha unayosikia makanisani haieleweki?? What if ni lugha flani ambayo iko extinct hapa duniani ama inaongelewa mataifa ya mbali ambayo wengine hatuelewi ila ina maana yake

Biblia kweli haipendezwi na kunena kwa lugha kama hamna mtafsiri ila hyo ni kama unanena kwa lugha ya kidunia hivyo unataka kupeleka ujumbe kwa hadhira HOWEVER biblia inatofautisha hawa wawili kuwa mmoja anaongea na Mungu ndio anaongea lugha ya kimalaika ila anayehutubu ndio anaongea lugha ya kidunia na ndio maana paulo hapo mbeleni anasema awepo mtafsiri

Wakorintho 14
2 Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
3 Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali ahutubuye hulijenga kanisa.


So tunaona biblia hapa iko wazi kabisa kama kunena ni kwa kutabiri basi unanena kwa lugha ya kidunia ila kama unanena kwa lugha ya kimalaika hapo unakuta unawasiliana na Mungu directly

Hitimisho langu ni kwamba hao walokole wanakuwa wanawasiliana na Mungu ndio maana wengine hatuwaelewi kama inavyosema biblia hivyo wako sahihi ila wangekuwa wanatabiri huku wakinena kwa lugha hapo ndio watakuwa wamekosea sababu ujumbe hautafika kwa mhusika kikubwa awepo mtu mwenye kipawa aliyeinuliwa na Mungu kutafsiri hizi lugha za kidunia kiroho zaidi hivyo tusifungamanishe lugha za dunia na lugha za kimalaika ni mbili tofauti ila zote ni KUNENA KWA LUGHA tofauti kabisa na hoja yako inayosema kunena kwa lugha kibiblia ni lugha za duniani hapana tutakuwa tunatengeneza mgogoro wa maandiko pia.

Haya ni maoni yangu

Cc popbwinyo SALA NA KAZI blackstarline tikakami wa lopelope mpite huku mada moto hii
 
Wakuu nawapata vizuri.
Lakini pia nawapongeza kwa kuzama katika maandiko na kuongea au kuandika kwa ushahidi.
Siamini katika Lugha za sasa za walokole au karismatiki kwa sababu kubwa tatu.
1:Yesu alitabiri Watanena kwa Lugha mpya, marko 16:17 (neno la asili "KAINAIS" yaani Lugha ambayo muhusika hakuwahi kuiongea, sio yake ya asili''.
2:Utabiri wa Yesu ulipotokea Matendo 2, Hiyo Lugha mpya ilinenwa. Lugha hiyo mpya ilieleweka kwa wasikilizaji na sio maneno automatic yanayosikika na yasiyoeleweka kwenye madhabu nyingi za kikristo.
3: Kama alivyomtanzania yoyote wote tuna imani. Imani yangu ipo katika mafundisho ya SDA, Kanuni kuu ya Kanisa (creed) ni NENO La Mungu (bibilia 66 books), na kutoka humo Hatuna ushahidi wa hiki kinachotokea kwenye makanisa ya kipendwa. Ila Tuna ushahidi wq Kile walichokifanya mitume na kukiamini. Ndio maana nikasema wanaofanya hayo wanaweza kufafanua vizuri.

################################################

TURUDI KIINTELIJENSIA NA 1 WAKORINTHO 14:2....

Duniani kote kuna maana tatu juu ya utata au msingi wa wakorintho hii katika KUNENA KWA LUGHA kama ifuaravyo.

1:Kundi la Kwanza wanaamini Wakorintho hawa Walinena LUGHA ZA MALAIKA (2 Cor 13:1)
2:Kundi la pili ni wanaoamini walinena Lugha zisizofahamika kama hizi tunazozisikia (kundi ka kwanza na la pili wanafanana kidogo).
3:Kundi la Tatu na mimi nikiwemo tunaamini hata hawa Wakorintho walinena Lugha hizohizo walizozinena Wagalilaya (human language).

Kwa nini nasema hicho wanachokifanya wapendwa wenzangu (Unintelligible utterances) hazina uhusiano wa 1 Corinthian 14 au 14:2?

1: Tukio la Matendo 2, na Ushuhuda kuwa walinena Lugha zilizoeleweka (intelligible languages) naona ni ushahidi tosha kwamba Lugha zote zilizonenwa katika kitabu cha Matendo hazina tofauti na tukio hilo. Hivyohivyo na Wakorintho walipaswa kutembea kwenye mfumo huohuo. Ukitaka utenganishe kilichotabiriwa Marko 16:17, kilichotokea matendo 2, na matukio mengine ya Kunena Lugha ya Matendo na 2 wakorintho 14 tutakuwa tunatengeneza mgogoro mkubwa wa maandiko.

2: Swali ni jepesi, mbona hiyo haieleweki (14:2)?. Kwa mfumo huohuo wa siku ya matendo 2. Naamini kuwa kwa sababu walikuwa na Karama ya kunena Lugha(za kibinadamu) nyingi tayari, walikuwepo watu waliokuwa wananena Lugha za kibinadamu ambazo hazieleweki kwa wasikilizaji.
Ushahidi wa hili ni ukweli kwamba walikuwa na uwezo wa kuzuia au kuacha kuzinena. Hawa wakorintho wa wa leo wakianza kunena zisizoelewa wanakuwa wamepoteza ufahamu ha hawawezi kujizuia wa hiyari.

3: Poin ya Tatu ni kwamba waandikiwa hapo ukisoma mstari wa 27,28. Utaona Walikuwa wananena kwa hiyari na wakiwa na akili timamu ndio maana anawaambia kama hakuna wa kutafsiri lugha hapo mahala (za kibinadamu) wasinene au wakae kimya.
Hizi zinazonenwa sasa zinanenwa na wanadamu waliopoteza SELF-CONTROL. Hiki kitendo kinawaondolea kigezo kuwa lugha zao ndio zilikuwa zinazungumzwa hapo 14:2. Lugha za walokole (ecstatic utterances) hutokea wakiwa hawajitambui. na hawana uwezo wa kujizuia kwa hiyari yao kama mmoja alivyotoa mfano hapo juu.

4:Utafiti wa kisayansi kuhusu hizi Lugha unaonyesha.
a) Watafiti na wataalam wa Lugha wamechunguza Lugha hizi katika Vikundi vya kipentekoste Marekani, Nchi za Kikaribbean na Mexico. Sauti zikawa recorded, Kisha zikalinganishwa na Lugha za namna hiyo zisizoeleweka katika dini zisizo za kikristo za kiafrika, Borneo, Indonesia na japan na ikahitimishwa kuwa hakuna utofauti wowote kati ya unenaji wa lugha wa wakristo (unintelligable languages) na unenaji wa lugha (unintelligable languages) wa wafuasi wa dini nyingine zisizo za kikristo ( za jadi za kiafrika, kihindu, etc).
Source:Celebral blood flow during the complex vocalization of GLOSSOLALIA. (2006).

b) Utafiti mwingine umeonyesha Lugha zinazotamkwa huwa ni matokeo ya tabia jifunzi (learned behavior). Wanenaji wengi huiga vilevile anenavyo kiongozi wao, au mtu mashuhuri analiyekuja kuongoza mikutano au sala.
na hii unaweza kuithibitisha hata hapa bongo, wengi wananena maneno ya kufanana wanapokuwa katika hali ya kunena. ndiyo maana yanawezaa hata kuigizwa kwenye movie zetu za kitanzania.
Source😛entecostal Glossolalia toward a functional interpretation, Journal for scientific study of religion(1969).
'' Glossolalia as a Learned Behavior: an experimental demonstration '', Journal of abnormal psychology (1986).

5:Lugha ni kwa ajili ya mawasiliano. Katika bibilia hakuna mtu ambaye amewahi kuwasiliana na watu vitu ambayo yeye havielewi, wanaosikiliza nao hawaelewi.Hiyo inajiondoa ktk viwango vya Lugha.


wakuu hayo ndiyo maoni na ushauri wangu wa jumla kuhusu hoja na haja za mjadala huu.
IN RESPECT TO YOUR ID,KWELI MAKUBWA NI MAGUMU(mitale midimu) from google translator.
MKUU,sayansi haina nguvu ya kujibia maswali ya kibiblia ila biblia ina nguvu ya kujibu maswali ya kisayansi.why? Kwasababu sayansi inajibu maswali ya physcal realm only lakini biblia inacover two realms invisible na visible.KWASABABU HIYO,kwa upande wangu siwezi kujikita kutumia facts za kisayansi kujibia mambo ya imani.

KUMBUKA.
ROHO wa Mungu ni msaada kutoka kwa MUNGU kuja kwa mwanadamu
Rum8;26~...hutusaidia udhaifu wetu.
Mungu hugawa msaada huu kumsaidia mtu kulingana na udhaifu wa mtu au watu.
Ninaamini kabisa kanisa la kwanza ile sku ya uvuvio wa Roho mt. kati ya udhaifu uliokuwa unazunguka eneo lile ni hofu dhidi ya watu waliokuwa wakipinga kazi ya injiri.

NDIYO MAANA,
Yoh16;8~naye akiisha kuja,huyo atauhakikisha ulimwengu...
kwa kingereza imeandikwa'' he will reprove the world''
translation nyingine imesema''he will convict and convice the world''
Nachotaka kusema ni kwamba,wakati kipindi kipya cha Mwanadamu kukaa na Mungu ndani ya roho yake kilikuwa ni kipindi kigumu sana, ndiyo maana Roho mtakatifu aliingilia kati huu udhaifu kwa kuprove wrong thoughts za waliokuwa wapinzani wa kristo.
Ukisoma kwa makini hiyo matendo 2 ambayo watu wanaitumia hasa katika kuhoji suala la kunena kwa lugha,utagundua sehemu fulani ya spirit manifestation ilikuwa ni kuwaprove wrong wapinzani wa kanisa la kwanza,ndio maana hata petro ilibid asimame tena kutoa press releas kuhusu ya ujio wa Roho wa Mungu ndani ya kila aaminiye.

Watu wengi wamesahau kuwa kazi mojawapo ya Roho mt ni kumuongoza mtu,siyo mtu kumuongoza Roho.Inapofika suala la kunena kwa lugha watu wanataka wamuongoze Roho kitu ambacho hakiwezekani,kama akiona kuna haja ya kufasr atakuongoza kama haipo is ok.Ndio maana wengi sana hawapati hii karama kwasababu ya kukosa unyenyekevu kwa kujiona wewe ndio unajua protocal kuliko Roho wa Mungu.
 
Watu wengi wamesahau kuwa kazi mojawapo ya Roho mt ni kumuongoza mtu,siyo mtu kumuongoza Roho.Inapofika suala la kunena kwa lugha watu wanataka wamuongoze Roho kitu ambacho hakiwezekani,kama akiona kuna haja ya kufasr atakuongoza kama haipo is ok.Ndio maana wengi sana hawapati hii karama kwasababu ya kukosa unyenyekevu kwa kujiona wewe ndio unajua protocal kuliko Roho wa Mungu.
Hitimisho langu ni kwamba hao walokole wanakuwa wanawasiliana na Mungu ndio maana wengine hatuwaelewi kama inavyosema biblia hivyo wako sahihi ila wangekuwa wanatabiri huku wakinena kwa lugha hapo ndio watakuwa wamekosea sababu ujumbe hautafika kwa mhusika kikubwa awepo mtu mwenye kipawa aliyeinuliwa na Mungu kutafsiri hizi lugha za kidunia kiroho zaidi hivyo tusifungamanishe lugha za dunia na lugha za kimalaika ni mbili tofauti ila zote ni KUNENA KWA LUGHA tofauti kabisa na hoja yako inayosema kunena kwa lugha kibiblia ni lugha za duniani hapana tutakuwa tunatengeneza mgogoro wa maandiko pia.

Haya ni maoni yangu

wakuu najengeka na michango yenu.
Mungu awabariki sana.

Nilichojifunza kwenye mahitimisho yenu,
yanaleta mgogoro mkubwa sana na hiyohiyo 1 Wakorintho 14

Mahitimisho haya mawili yanakinzana na hitimisho la mwandishi wa huo waraka hivyo kufanya kuwa mahitimisho yanayopungukiwa uungwaji mkono wa Mahusia ya Mungu (Maandiko).

HITIMISHO LA PAULO.

1 Wakorintho 14: 26-27
* Mambo yote yatendeke kwa Kujenga. ( bila kujali Lugha hizo tata ni za maraika, za mbinguni au za wanenaji, Kuzinena mbele ya Kanisa na hazijengi kwa maana hazieleweki, ni Kukaidi hitimisho hili takatifu).

*Kama mtu ameamua kunena (Maana yake liko ndani ya Uwezo wake kunena au kuacha kunena) , ahakikishe yupo mtafsiri.
Kinachoendelea makanisani Kinakiuka Hitimisho hili Takatifu. na napata tabu kiasi na ukakasi mwingi kwenye hitimisho la MEXICANA maana anasisitiza kabisa kuvunja matakwa ya Maandiko.

* Wanene kwa Zamuzamu. Linapokuja suala la kunena lugha hizo zinazoaminika kuwa ni za mbinguni au za maraika Haijawahi kutokea wala sijawahi kuona, maana nimehudhuria sio tu mikutano mikubwa, bali hadi makanisani achilia mbali kwenye runinga Lugha hizo tata kunenwa kwa zamuzamu, huku zikitafsiriwa, achilia hata kunenwa kwa zamuzamu bila kutafsiriwa.

*Kama hayupo wa kutafsiri WANYAMAZE KIMYA KANISANI. Kwa kauli au hitisho hili takatifu. Tukubaliane wakuu kwa nia njema kabisa. Wanaozinena hizo zinazodhaniwa kuwa Lugha za mbinguni makanisani, tena kwa sauti kubwa hadi wapitaji na majirani wanasikia bila kujengwa. Ni ukiukwaji wa waziwazi tena mchana kweupe wa maandiko matakatifu. Hata kama tukiassume ni za kweli.
Kwa maana NYINGINE KAMA WALOKOLE NDUGU ZANGU KATIKA BWANA WANGETII HILI ZISINGEKUWA ZiNASIKIKA MAKANISANI. Na ikitokea zimesikika basi kwa pozi, vituo huku akisubiri zitafsiriwe au atafsiri yeye.

* KAMA HANA WA KUTAFSIRI ANYAMAZE.
nasisitiza kumbe kwa mujibu wa maandiko, uwezo wa kutonena au kunena hauko nje ya mnenaji. Bali uko ndani ya hiyari yake mwenyewe. Ni kama mimi nafahamu kiingereza, nikasimama kijijini kwangu Masadukilo Luponja huko Kagongwa kahama niaze kuchanganya umombo na kiswahili, bila kutoa maana ya umombo huo au kuita mtafsiri na mimi nitakuwa nimekiuka andiko hilo na nitakuwa nimeleta machauko mbele ya madhabahu takatifu za Mungu.

*Fungu la 33. Hitimisho Mungu sio wa machafuko. Kumbe kunena kama walivyonena wakorinto kabla ya waraka huu ilikuwa ni machafuko. Akitokea mwanadamu anahamasisha kanisa lote linene lugha wasizozifahamu mtu huyo atakuwa anasimama kinyume na Mungu kuhamasisha machafuko.

MAPENDEKEZO
Wote hasa wanaomuamini Kristo ni wasafiri wa kwenda mbinguni, Sifa kuu ya Mkristo ni Utii kwa Bwana wake.
Kutii maandiko. Napendekeza na kushauri wakati bado tunaendelea kudadavua umaraika wa lugha hizo au utata wake, Vipengele hapo juu viheshimiwe kabisa. Nje ya hapo ni Ukaidi na ushupavu wa shingo uliowagharibu wana wa Israel jangwani. Kama machafuko ya Lugha yanamfukuza Mungu na roho wake. Basi haiwezekani kuvuviwa na roho wa Mungu mahala ambapo hayupo wana hana vigezo vya kuwapo. Nasema haya wakuu kwa sababu nimewahi kuwepo katikati ya uhamasishwaji wa kunena kwa lugha hizo uliofanyika kinyume na maandiko hayo.

Roho hawezi kuwaongoza watu kukiuka maandiko, Ila Yesu alituhusia atakapokuja huyo Roho atawaongoza Kuishika kweli YOTE ikiwemo na HILI HITIMISHO. Napendekeza sala ya Toba kwenye makanisa yote yanayoendesha ibada za kuvunja utaratibu huo wa hitimisho la paulo ili tuache kumuhuzunisha roho.

Sina nia ya kujeruhi hisia za watu. Katika kujifunza tunakuzana.

maoni wakuu.
nimevutiwa na hitimisho. na ikiwa tutasadiki kuwa hoja nilizotoa za hitimisho (under assumption kuwa hizo kugha ndizo) tunaweza kufunga hicho kipengele tuendelee kuelimishana kuhusu umaraika wa Lugha hizo.

Mungu atubariki katika kutafakari wakuu.
 
IN RESPECT TO YOUR ID,KWELI MAKUBWA NI MAGUMU(mitale midimu) from google translator.
MKUU,sayansi haina nguvu ya kujibia maswali ya kibiblia ila biblia ina nguvu ya kujibu maswali ya kisayansi.why? Kwasababu sayansi inajibu maswali ya physcal realm only lakini biblia inacover two realms invisible na visible.KWASABABU HIYO,kwa upande wangu siwezi kujikita kutumia facts za kisayansi kujibia mambo ya imani.

KUMBUKA.
ROHO wa Mungu ni msaada kutoka kwa MUNGU kuja kwa mwanadamu
Rum8;26~...hutusaidia udhaifu wetu.
Mungu hugawa msaada huu kumsaidia mtu kulingana na udhaifu wa mtu au watu.
Ninaamini kabisa kanisa la kwanza ile sku ya uvuvio wa Roho mt. kati ya udhaifu uliokuwa unazunguka eneo lile ni hofu dhidi ya watu waliokuwa wakipinga kazi ya injiri.

NDIYO MAANA,
Yoh16;8~naye akiisha kuja,huyo atauhakikisha ulimwengu...
kwa kingereza imeandikwa'' he will reprove the world''
translation nyingine imesema''he will convict and convice the world''
Nachotaka kusema ni kwamba,wakati kipindi kipya cha Mwanadamu kukaa na Mungu ndani ya roho yake kilikuwa ni kipindi kigumu sana, ndiyo maana Roho mtakatifu aliingilia kati huu udhaifu kwa kuprove wrong thoughts za waliokuwa wapinzani wa kristo.
Ukisoma kwa makini hiyo matendo 2 ambayo watu wanaitumia hasa katika kuhoji suala la kunena kwa lugha,utagundua sehemu fulani ya spirit manifestation ilikuwa ni kuwaprove wrong wapinzani wa kanisa la kwanza,ndio maana hata petro ilibid asimame tena kutoa press releas kuhusu ya ujio wa Roho wa Mungu ndani ya kila aaminiye.

Watu wengi wamesahau kuwa kazi mojawapo ya Roho mt ni kumuongoza mtu,siyo mtu kumuongoza Roho.Inapofika suala la kunena kwa lugha watu wanataka wamuongoze Roho kitu ambacho hakiwezekani,kama akiona kuna haja ya kufasr atakuongoza kama haipo is ok.Ndio maana wengi sana hawapati hii karama kwasababu ya kukosa unyenyekevu kwa kujiona wewe ndio unajua protocal kuliko Roho wa Mungu.
asante mkuu, nilivutiwa na hitimisho nikakurupuka kulitolea maoni maana kwa kiasi flani lilifanana na la mkuu Zitto Jr
Naomba nitoe maoni kadhaa kuhusu maelezo haya.
Ahsante kwa uchambuzi wa jina pia. Mzizi wa maana yake ni Yeremia 33:3 "nitakuonyesha mambo MAKUBWA "misango mitale" na MAGUMU "Midimu''.

:::::::::::::::
Najaribu kujiepusha michango isielekee kwenye ushindani wa kidini na mabishano ambayo huondoa usikivu.

1:Nakubaliana na wewe kuhusu sayansi. Nimetoa ushahidi wa kisayansi kwa sababu jukwaa hili linapenda mambo ya facts. Pili kuwepo kwa ufanano wa kilugha katika Two different and opposing spiritual realms kulivuta usikivunwa wanasayansi ya Lugha ambao ninwakristo kitafiti ufanano wa matamshi yanayotafitika kisayansi (maana ni audible japo yako powered na supernatural powers ambazo ziko beyond science).

2:Rom 8:26 sijaona element ya Lugha kwenye hilo fungu mkuu labda ufafanue zaidi. ikiwa point "ni kuugua kusiko tamkika", sidhani kama ni busara kujadili mambo yasiyotamkika. Tuendelee na haya yanayotakika lakini hayaeleweki , na hizi lugha zinazotamkika lakini zina maana. Hivyo sioni kama mstari huu unaongeza Lugha mpya ambayo ni ziada ya kilichotabiliwa na Yesu, na kunenwa kwa kutamkika na kueleweka na mitume.

3:Nakubaliana na maelezo yako ya Yohana 16:8. Na nakubalina na wewe bila unyenyekevu huwezi kuongozwa na roho. Na ni kweli pia watu wanapaswa kuongozwa na roho sio kumuongoza (kwanza haiwezekani).

Hapa nimejifunza kitu
* Roho awezi kukuongoza kufanya yaliyo kinyume cha Maneno ya Mungu na mahusia yake.
Yesu alisema wazi "roho atatusadikisha "convict'' kwa habari za dhambi haki na hukumu, lkn pia mkuu akasisitiza atatuongoza ATUTIE KATIKA KWELI YOTE.
Kweli ni nini? "Neno lako ndiyo kweli'' Yhana 17:17.
Moja ya kweli ambalo ni Neno "Watu walinena Lugha Zilizoeleweka kwa wasikilizaji''.
Nyingine ni ukweli kwamba " Ukinena kwa Lugha wasikilizaji wako wasio ielewe, Itafsiriwe, inenwe kwa utaratibu, kama huwezi unyamaze kabisa. Kwa maana nyingine Karama ya Lugha sio kitu automatic kisichoweza kuzuilika. Bali mnenaji anaponena huwa ameamua kwa akili tumamu na anauwezo wa kuamua kutoinena akiwa mbele za watu.


Maoni mkuu.
 
Mkuu mitale na midimu nimeelewa hoja yako barabara labda tu niseme kuna kitu unakisahau.... Kwanini unalimit kuwa kunena kwa lugha ni lazima iwe lugha ya kibinadamu kisa tu siku moja kuna mtu alinena kwa lugha ambazo watu wengine walielewa...... Mie naamini kunena kwa lugha za mataifa mengine ni kitu kimoja ila kunena kwa lugha ambazo hazieleweki kwa wanadamu ila kwa Mungu ni kitu kingine ila vyote vinatoka kwa MUNGU sasa sielewi kwanni unasisitiza kunena kwa lugha za kibinadam ndio za kiMungu alafu lugha zisizoeleweka ndio sio za kiMungu je unaweza kunisaidia mstari unaosema kuongea lugha zisizoeleweka sio ya ki-Mungu???

Labda ningehoji ukisoma mistari hii miwili je unapata picha gani
1 Corinto 13:1
1 Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.

Je hapa anaposema lugha za wanadamu na za malaika ana maana gani?? Huoni anaonyesha kuwa kuna lugha ambazo zinaeleweka kwa Mungu tu na nyingine kwa wanadamu tu je kwanini basi tuhitimishe kuwa za kibinadamu ndio za Mungu ila zisizoeleweka yaani za kimalaika ndio za kimashetani?? Why??? Au labda niulize je huwa tuna uhakika gani kuwa hyo lugha unayosikia makanisani haieleweki?? What if ni lugha flani ambayo iko extinct hapa duniani ama inaongelewa mataifa ya mbali ambayo wengine hatuelewi ila ina maana yake

Biblia kweli haipendezwi na kunena kwa lugha kama hamna mtafsiri ila hyo ni kama unanena kwa lugha ya kidunia hivyo unataka kupeleka ujumbe kwa hadhira HOWEVER biblia inatofautisha hawa wawili kuwa mmoja anaongea na Mungu ndio anaongea lugha ya kimalaika ila anayehutubu ndio anaongea lugha ya kidunia na ndio maana paulo hapo mbeleni anasema awepo mtafsiri

Wakorintho 14
2 Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
3 Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali ahutubuye hulijenga kanisa.


So tunaona biblia hapa iko wazi kabisa kama kunena ni kwa kutabiri basi unanena kwa lugha ya kidunia ila kama unanena kwa lugha ya kimalaika hapo unakuta unawasiliana na Mungu directly

Hitimisho langu ni kwamba hao walokole wanakuwa wanawasiliana na Mungu ndio maana wengine hatuwaelewi kama inavyosema biblia hivyo wako sahihi ila wangekuwa wanatabiri huku wakinena kwa lugha hapo ndio watakuwa wamekosea sababu ujumbe hautafika kwa mhusika kikubwa awepo mtu mwenye kipawa aliyeinuliwa na Mungu kutafsiri hizi lugha za kidunia kiroho zaidi hivyo tusifungamanishe lugha za dunia na lugha za kimalaika ni mbili tofauti ila zote ni KUNENA KWA LUGHA tofauti kabisa na hoja yako inayosema kunena kwa lugha kibiblia ni lugha za duniani hapana tutakuwa tunatengeneza mgogoro wa maandiko pia.

Haya ni maoni yangu

Cc popbwinyo SALA NA KAZI blackstarline tikakami wa lopelope mpite huku mada moto hii
Asante mkuu, kwa kukumbushia nisivyovielezea.

naomba nitoe maoni yangu kuhusu uwepo wa Lugha ya ziada nje ya hizo zilizoeleweka, au zilizoeleweka lakini zilinenwa bila kutafsiriwa kwa wasiozielewa ( japo kuna hoja kuwa hizo ni za malaika)
Hapa tutafakari kwa maswali.

1:Yesu aliahidi watakapovuviwa roho mtakatifu watanena kwa Lugha mpya, Tunamshukuru Mungu Wakavuviwa na ikarekodiwa. Walinena Lugha mpya kama Karama ya Roho na walieleweka.
1 Je Lugha mpya ni zipi hizi za makanisani leo, au ni hizo pamoja na zile walizonena mitume?

2: Je Lugha za Malaika ni Kalama ya Roho mtakatifu?
3: Je Mungu au huko mbinguni tukifika Tutaongea kwa Lugha hizi hizi tunazozisikia makanisani maana wanadai ni lugha za Mbinguni?
4: Kwa nini wakristo wasisitize hizi Lugha ambazo siku ya pentekoste zilisikika kama Ushahidi wa wao kujazwa na roho mtakatifu (kipawa cha roho) na wasisitize hizo za pili ambazo zinaleta utata?

::::::::::::
Je ni kweli Paulo 1 Wakorinto 13:1 kuandika hivyo ni ushahidi kuwa na yeye alikuwa anazinena Lugha za maraika?
Paulo hapo sioni kama amesema alikuwa anazinena ila kasema hata kama nikinena. "Though I speak" kwa maana nyingine " Hata kama niki...."

ndio maana akaendelea...

'' Hata kama nikiwa na imani timilifu ya kuhamisha milima'' - Sioni kama Paulo alikuwa na Imani ya kuhamisha milima. Pamoja na kazi kubwa aliyofanya alikuwa na uthaifu mwilini (mwiba), pia kuna mahala anawaambia jamaa wawasalimie ndugu ktk kristo aliowaacha huko wakiwa wagonjwa. Hivyo hata yeye hakuponya wote.
"hata kama kama nikitoa mwili wangu uchomwe moto" - Paulo hakuwi kutoa mwili wake uchomwe moto bali alichinjwa kwa kukatwa kichwa huko rumi.

Hapa naona hii sio justification nzuri ya kunena lugha zisizoeleweka au kuziita ni za maraika. Na sioni sababu ya Mungu kutoa kalama ya roho ili awajenge wanadamu na injili yake isonge mbele, kwa kuwapa Lugha za malaika ambazo hata shetani anazijua maana alikuwa maraika mkubwa tu. N

Pia natafakari kwa swali pia. Hizi zinazotamkwa ni Lugha za wanenaji? ni Lugha za Maraika? ni Lugha za roho kuugua kusikotamkika ambazo shetani hawezi kuzielewa? ni Kalama ya Roho mtakatifu kwa kujenga kanisa??
Hizi lugha ni zipi kati ya hivyo vitatu.
:::::::::::::::::
Kuhusu kuwepo kwa Lugha hizo duniani, Sidhani kwa dunia ilipofikia kuna Lugha duniani ambayo haijulikani. Hata kisandawe kinajulikana kuwa kipo. Pia wanenaji wanakili Lugha hiyo sio ya sayari hii.


lakini pia mkuu sioni kama ni sahihi kuingiza neno "Lugha ya Maraika" wakorintho 14 kwa sababu haijasema hilo pia. Ila imesema 'Kunena kwa Lugha".

Na kama ''Kunena kwa Lugha isiyotafsiriwa inamjenga muhusika" kumbe ni personal issue. na kwa personal Issue Yesu yuko wazi, '' nenda chumba chako cha sirini, umweleze baba yako wa mbinguni naye atakujaza''.

Kuongea maneno yasiyo na maana pia kumepigwa marufuku na maandiko.

1 Timotheo 6:20
" Ee timotheo uilinde hiyo amana, Ujiepushe na maneno yasiyo ya dini, YASIYO NA MAANA .....''
2 Timotheo 2:16
" Jiepushe na MANENO YASIYO na MAANA...''
japo hapo inajumuisha maneno ya uzushi, ya kijingakinjinga ila ukizama zaidi utagundua hata hizi lugha zisizo na maana.
Hivyo kama imethibitika hayo maneno hayana maana kwa SiLENCE IZ GOLDEN.
Kitu kingine maneno Ya lugha hizi huwa ya kujirudiarudia sana.


Maoni mkuu.
 
zitto junior
MEXICANA
wakuu nitaweka na maoni mbalimbali ya wazee wa Imani baada ya mitume na commentaries zao.
wadae wengine pia mnakaribishwa kueleza uzoefu wa unenaji wa Lugha nje ya ukristo.

Leongo sio kukosoana bali kubadilishana maarifa na kufukua mambo kwa uhuru zaidi, kila mmoja akieleza maoni yake kama tunavyosisitizwa na katiba.
 
Asante mkuu, kwa kukumbushia nisivyovielezea.

naomba nitoe maoni yangu kuhusu uwepo wa Lugha ya ziada nje ya hizo zilizoeleweka, au zilizoeleweka lakini zilinenwa bila kutafsiriwa kwa wasiozielewa ( japo kuna hoja kuwa hizo ni za maraika)
Hapa tutafakari kwa maswali.

1:Yesu aliahidi watakapovuviwa roho mtakatifu watanena kwa Lugha mpya, Tunamshukuru Mungu Wakavuviwa na ikarekodiwa. Walinena Lugha mpya kama Karama ya Roho na walieleweka.
1 Je Lugha mpya ni zipi hizi za makanisani leo, au ni hizo pamoja na zile walizonena mitume?

2: Je Lugha za Maraika ni Karama ya Roho mtakatifu?
3: Je Mungu au huko mbinguni tukifika Tutaongea kwa Lugha hizi hizi tunazozisikia makanisani maana wanadai ni lugha za Mbinguni?
4: Kwa nini wakristo wasisitize hizi Lugha ambazo siku ya pentekoste zilisikika kama Ushahidi wa wao kujazwa na roho mtakatifu (kipawa cha roho) na wasisitize hizo za pili ambazo zinaleta utata?

::::::::::::
Je ni kweli Paulo 1 Wakorinto 13:1 kuandika hivyo ni ushahidi kuwa na yeye alikuwa anazinena Lugha za maraika?
Paulo hapo sioni kama amesema alikuwa anazinena ila kasema hata kama nikinena. "Though I speak" kwa maana nyingine " Hata kama niki...."

ndio maana akaendelea...

'' Hata kama nikiwa na imani timilifu ya kuhamisha milima'' - Sioni kama Paulo alikuwa na Imani ya kuhamisha milima
"hata kama kama nikitoa mwili wangu uchomwe moto" - Paulo hakuwi kutoa mwili wake uchomwe moto bali alichinjwa kwa kukatwa kichwa huko rumi.

Hapa naona hii sio justification nzuri ya kunena lugha zisizoeleweka au kuziita ni za maraika. Na sioni sababu ya Mungu kutoa kalama ya roho ili awajenge wanadamu na injili yake isonge mbele, kwa kuwapa Lugha za malaika ambazo hata shetani anazijua maana alikuwa maraika mkubwa tu. N

Pia natafakari kwa swali pia. Hizi zinazotamkwa ni Lugha za wanenaji? ni Lugha za Maraika? ni Lugha za roho kuugua kusikotamkika ambazo shetani hawezi kuzielewa? ni Kalama ya Roho mtakatifu kwa kujenga kanisa??
Hizi lugha ni zipi kati ya hivyo vitatu.
:::::::::::::::::
Kuhusu kuwepo kwa Lugha hizo duniani, Sidhani kwa dunia ilipofikia kuna Lugha duniani ambayo haijulikani. Hata kisandawe kinajulikana kuwa kipo. Pia wanenaji wanakili Lugha hiyo sio ya sayari hii.


lakini pia mkuu sioni kama ni sahihi kuingiza neno "Lugha ya Maraika" wakorintho 14 kwa sababu haijasema hilo pia. Ila imesema 'Kunena kwa Lugha".

Na kama ''Kunena kwa Lugha isiyotafsiriwa inamjenga muhusika" kumbe ni personal issue. na kwa personal Issue Yesu yuko wazi, '' nenda chumba chako cha sirini, umweleze baba yako wa mbinguni naye atakujaza''.

Kuongea maneno yasiyo na maana pia kumepigwa marufuku na maandiko.

1 Timotheo 6:20
" Ee timotheo uilinde hiyo amana, Ujiepushe na maneno yasiyo ya dini, YASIYO NA MAANA .....''
2 Timotheo 2:16
" Jiepushe na MANENO YASIYO na MAANA...''
japo hapo inajumuisha maneno ya uzushi, ya kijingakinjinga ila ukizama zaidi utagundua hata hizi lugha zisizo na maana.
Hivyo kama imethibitika hayo maneno hayana maana kwa SiLENCE IZ GOLDEN.
Kitu kingine maneno Ya lugha hizi huwa ya kujirudiarudia sana.


Maoni mkuu.

NAOMBA TUMUNUKUU PAULO KIDOGO

1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na
Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

1kor 14;28~lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa.

Kama kunena kwa lugha ni kusema na Mungu tena hakuna asikiaye kwasababu actualy ni siri,kwanini tena anasema kufasiri?

1kor14;22~Haya! ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja na wote wanene kwa lugha,kisha ikawa wameingia watu wajinga au wasioamini je! hawatasema ya kwamba mna wazimu?

OK!
Tunarudi kulekule siku ya kuanza kwa tukio hili kwenye Matendo 2,kuna watu kweli walisema hivo hivo kama ambavyo paulo alikuwa anatoa tahadhari kwa waamini wa korinto watakapokuwa wakinena kwa lugha maana ndiyo ilikuwa hulka ya wasioamini kupinga utendaji kazi wa Roho wa Mungu kwa walioamini.

SWALI JINGINE.

Kwanini karama nyingi za Roho paulo alizi rate kwa kutumia upendo.

1kor13;1-3
1kor14;1

Hapo tunaweza kuelewa kwa kiasi fulani kuwa,kuna uwezekano mkubwa kwa mtu kutumia vibaya karama za Rohoni kiasi kwamba anaweza kuvuruga hata kanisa,kwasababu ni virahisi mtu kujivuna au kuhusudu wengine kwa kutumia karama hiyo,ndiyo maana akasistiza upendo kwanza upewe kipaombele kuliko hata karama za Roho.KWASABABU GANI?
Kwasababu upendo ni character ya Mungu mwenyewe,MUNGU NI UPENDO.
1Kor13;4-8~upendo huvumilia,haujivuni,hauhusudu.

KWASABABU HIYO,PAULO alikuwa anaweka precautions mbalimbali katika karama hizi ili kulijenga kanisa.LAKINI AGIZO KUU LITABAKI PALEPALE
mark16;na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio,kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya.

Agizo la Yesu limejitosheleza kabisa na sjui kanisa lingekuwa limepigwa mishale kiasi gani kama sentens hii Yesu asingeitamka.
Paulo ilifikia mahala akawa anayaombea makanisa ya wakati huo juu ya kuelewa utendaji kazi wa Roho wa Mungu ndani ya kila aaminiye.

Waefeso1;16,17,19-....wapewe roho ya hekima na ufunuo katika kumjua Mungu.wamjue Mungu kiaje,? ..kwa kujua ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yao jinsi ulivyo.


CONCLUSION.mkuu ''mitale na midimu''

naomba kujibu swali lako la rum 8;26 kwa kutumia logic ya mstari ufatao

1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na
Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

Kama ananena maana yake anasikika.
Lakini kunena huku kwa lugha biblia inasema hakuna asikiaye.
L
ogic siyo kusikia,logic ni kuelewa kinachotamkwa.pia
Rum8;26 ..kutoktamkika si kwamba anayeomba katika Roho mtakatifu hatamki,ila huwezi ukaelewa muundo wa maneno ukayatamka kibinadamu.
LAKINI PIA kwanini tunaposikiliza lugha ngumu kama kichina tunasema maneno yao hayatamkiki ni kweli hatuyaskii au hatujui kuyaumba katika ndimi zetu tukayatamka.

THANKS
 
NAOMBA TUMUNUKUU PAULO KIDOGO

1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na
Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

1kor 14;28~lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa.

Kama kunena kwa lugha ni kusema na Mungu tena hakuna asikiaye kwasababu actualy ni siri,kwanini tena anasema kufasiri?

1kor14;22~Haya! ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja na wote wanene kwa lugha,kisha ikawa wameingia watu wajinga au wasioamini je! hawatasema ya kwamba mna wazimu?

OK!
Tunarudi kulekule siku ya kuanza kwa tukio hili kwenye Matendo 2,kuna watu kweli walisema hivo hivo kama ambavyo paulo alikuwa anatoa tahadhari kwa waamini wa korinto watakapokuwa wakinena kwa lugha maana ndiyo ilikuwa hulka ya wasioamini kupinga utendaji kazi wa Roho wa Mungu kwa walioamini.

SWALI JINGINE.

Kwanini karama nyingi za Roho paulo alizi rate kwa kutumia upendo.

1kor13;1-3
1kor14;1

Hapo tunaweza kuelewa kwa kiasi fulani kuwa,kuna uwezekano mkubwa kwa mtu kutumia vibaya karama za Rohoni kiasi kwamba anaweza kuvuruga hata kanisa,kwasababu ni virahisi mtu kujivuna au kuhusudu wengine kwa kutumia karama hiyo,ndiyo maana akasistiza upendo kwanza upewe kipaombele kuliko hata karama za Roho.KWASABABU GANI?
Kwasababu upendo ni character ya Mungu mwenyewe,MUNGU NI UPENDO.
1Kor13;4-8~upendo huvumilia,haujivuni,hauhusudu.

KWASABABU HIYO,PAULO alikuwa anaweka precautions mbalimbali katika karama hizi ili kulijenga kanisa.LAKINI AGIZO KUU LITABAKI PALEPALE
mark16;na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio,kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya.

Agizo la Yesu limejitosheleza kabisa na sjui kanisa lingekuwa limepigwa mishale kiasi gani kama sentens hii Yesu asingeitamka.
Paulo ilifikia mahala akawa anayaombea makanisa ya wakati huo juu ya kuelewa utendaji kazi wa Roho wa Mungu ndani ya kila aaminiye.

Waefeso1;16,17,19-....wapewe roho ya hekima na ufunuo katika kumjua Mungu.wamjue Mungu kiaje,? ..kwa kujua ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yao jinsi ulivyo.


CONCLUSION.mkuu ''mitale na midimu''

naomba kujibu swali lako la rum 8;26 kwa kutumia logic ya mstari ufatao

1kor 14:2~maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na
Mungu,maana hakuna asikiaye,lakini anena mambo ya siri katika roho yake.

Kama ananena maana yake anasikika.
Lakini kunena huku kwa lugha biblia inasema hakuna asikiaye.
L
ogic siyo kusikia,logic ni kuelewa kinachotamkwa.pia
Rum8;26 ..kutoktamkika si kwamba anayeomba katika Roho mtakatifu hatamki,ila huwezi ukaelewa muundo wa maneno ukayatamka kibinadamu.
LAKINI PIA kwanini tunaposikiliza lugha ngumu kama kichina tunasema maneno yao hayatamkiki ni kweli hatuyaskii au hatujui kuyaumba katika ndimi zetu tukayatamka.

THANKS
Thanks pia mkuu.
maelezo mazuri japo tunatofautiana katika uelewa wa hilo fungu 1 Cor 14:2
Kwa sababu tupo kwenye Shule ya Kristo ya Maisha Mungu ataendelea kutoa mafunuo ingawa maelezo yako hayajanielea.

Pamoja na yote kuna mambo kadhaa naomba nitoe nyongeza au ufafanuzi ili kuweka msawazo wa kiufahamu kidogo.

1:HAKUNA ASIKIAYE
hainaamnishi kusikia "Hear" lakini kusikia "understand" kwa mujibu wa KJV.
ni sawa na mama anavyosema "huyu mtoto nimesema hadi kichwa kinauma lakini hasikiiii'' haimaanishi mama hasikiki bali mama haeleweki.
Hivyo nilitaka kusema. Mtu anaponena kwa Lugha mpya (hizi za kibinadami kwa uelewa wangu sio hizi tata) tunamsikia (hear) ila hatumsikii kwa maana ya (understand) ndio maana ikaja concept ya kufasiri. Ila yeye anayeongea Anaelewa anaongea nini kwa maana Sio tendo linalotokea akiwa amerukwa na fahamu bali akiwa na akili timamu akijua afanyalo.
Hivyo KUUGUA Kusikotamkika (gnoaring that cannot be uttered ) . inamaanisha KUTAMKA NENO. hivyo muundo wa Logic yako mkuu inaacha mapengo ya uelewa bado.
Hayo maombi yakuugua tunaombewa na Roho mtakatifu Sio sisi. Hivyo hayo mambo ya Roho mtakatifu kutuombea sisi wanadamu sioni kama yanamsingi wa kuchanganywa na karama anazozitoa kwa wanadamu kuwasiliana na wanadamu wenzao na Mungu pia.


*Pia nilitaka kuongeza kitu karama Kuu kuliko zote ulimwenguni sio Kunena kwa Lugha. Lugha ni ishara tu, Lugha pamoja na kalama nyingine ni za mpito. UPENDO ndio Utadumu milele na ndicho kitu ambacho kinapaswa kusisitizwa zaidi.
" Dunia itawatambua kuwa mu watoto wa Mungu ikiwa mna Upendo'' naungana na wewe MUNGU ni UPENDO.
Kwa sababu Ishara hizo la Lugha mpya zitaambatana nao , sioni kama ni kweli kwamba kila wakati na kila saa. Ni sawa na kutaka mtu aponywe pepo wakati humo kanisani hakuna aliye na mapepo. Hapo karama ya kuondoa mapepo au uponyaji inabaki Dormant, vivyo hivyo na Lugha mahala ambapo wote mnaelewana. Ndio maana paulo alisema vyote hivyo ni vya mpito, ila kuu ni Upendo. Huu umekuwa mtego ili andiko litimie jamaa wanalazimishana Kunena, hadi kuna reheso za kunenesha watu, jamaa wanalazimishana kutoana mapepo na kuangushana hata kama hayapo.

NOTE: mbinguni hakuta kuwa na kunena kwa Lugha, kuhubiri, miujiza kutoa pepo, kufundisha, ila upendo Utatawala milele.
Ukitaka ulazimishe kuwa ni Tukio la lazima ntashangaa kwa sababu kuna matukio zaidi ya 50 ya watu kushukiwa na roho mtakatifu ila walionena ni matukio chini ya 10. Mtaweka mikono kwa wagonjwa watapona, lkn kuna kuna ushahidi mwingi wa kuwepo wagonjwa ambao hawajapona kwa kuwekewa mikono. Stephano anaambiwa atumie mvinyo kwa ajili ya Tumbo(hakuwekewa mkono, kwanza yeye mwenyewe alikuwa mtumishi), baadhi ya watumishi, paulo aliwaacha wagonjwa, na anauliza wanaendeleaje afya zao kwwnye baadhi ya nyaraka mfano, Wafiipi 2:26-27, 1Timoth 5:23, Galatia 4: 13-14. Hata paulo mwenyewe alikuwa anaugua, japo aliponya.

Kuhusu Yesu na Utabiri wa Lugha mpya nadhani nimetoa maoni yangu huko nyuma.
Na pia wale walibidi wanene Lugha mpya (za kibinadamu) kwa pamoja hapo Yerusalem kutimiza andiko la Yesu, pia ilibidi wazinene kwa pamoja ili kila mwenye lugha yake aliyekuja kushangaa kile kishindo cha roho mtakatifu kushushwa na taharuki yake apate Portion yake.


Otherwise, nashukuru kwa michango mizuri mkuu.
cc
zitto junior
 
Thanks pia mkuu.
maelezo mazuri japo tunatofautiana katika uelewa wa hilo fungu 1 Cor 14:2
Kwa sababu tupo kwenye Shule ya Kristo ya Maisha Mungu ataendelea kutoa mafunuo ingawa maelezo yako hayajanielea.

Pamoja na yote kuna mambo kadhaa naomba nitoe nyongeza au ufafanuzi ili kuweka msawazo wa kiufahamu kidogo.

1:HAKUNA ASIKIAYE
hainaamnishi kusikia "Hear" lakini kusikia "understand" kwa mujibu wa KJV.
ni sawa na mama anavyosema "huyu mtoto nimesema hadi kichwa kinauma lakini hasikiiii'' haimaanishi mama hasikiki bali mama haeleweki.
Hivyo nilitaka kusema. Mtu anaponena kwa Lugha mpya (hizi za kibinadami kwa uelewa wangu sio hizi tata) tunamsikia (hear) ila hatumsikii kwa maana ya (understand) ndio maana ikaja concept ya kufasiri. Ila yeye anayeongea Anaelewa anaongea nini kwa maana Sio tendo linalotokea akiwa amerukwa na fahamu bali akiwa na akili timamu akijua afanyalo.
Hivyo KUUGUA Kusikotamkika (gnoaring that cannot be uttered ) . inamaanisha KUTAMKA NENO. hivyo muundo wa Logic yako mkuu inaacha mapengo ya uelewa bado.
Hayo maombi yakuugua tunaombewa na Roho mtakatifu Sio sisi. Hivyo hayo mambo ya Roho mtakatifu kutuombea sisi wanadamu sioni kama yanamsingi wa kuchanganywa na karama anazozitoa kwa wanadamu kuwasiliana na wanadamu wenzao na Mungu pia.


*Pia nilitaka kuongeza kitu karama Kuu kuliko zote ulimwenguni sio Kunena kwa Lugha. Lugha ni ishara tu, Lugha pamoja na kalama nyingine ni za mpito. UPENDO ndio Utadumu milele na ndicho kitu ambacho kinapaswa kusisitizwa zaidi.
" Dunia itawatambua kuwa mu watoto wa Mungu ikiwa mna Upendo'' naungana na wewe MUNGU ni UPENDO.
Kwa sababu Ishara hizo la Lugha mpya zitaambatana nao , sioni kama ni kweli kwamba kila wakati na kila saa. Ni sawa na kutaka mtu aponywe pepo wakati humo kanisani hakuna aliye na mapepo. Hapo karama ya kuondoa mapepo au uponyaji inabaki Dormant, vivyo hivyo na Lugha mahala ambapo wote mnaelewana. Ndio maana paulo alisema vyote hivyo ni vya mpito, ila kuu ni Upendo. Huu umekuwa mtego ili andiko litimie jamaa wanalazimishana Kunena, hadi kuna reheso za kunenesha watu, jamaa wanalazimishana kutoana mapepo na kuangushana hata kama hayapo.

NOTE: mbinguni hakuta kuwa na kunena kwa Lugha, kuhubiri, miujiza kutoa pepo, kufundisha, ila upendo Utatawala milele.
Ukitaka ulazimishe kuwa ni Tukio la lazima ntashangaa kwa sababu kuna matukio zaidi ya 50 ya watu kushukiwa na roho mtakatifu ila walionena ni matukio chini ya 10. Mtaweka mikono kwa wagonjwa watapona, lkn kuna kuna ushahidi mwingi wa kuwepo wagonjwa ambao hawajapona kwa kuwekewa mikono. Stephano anaambiwa atumie mvinyo kwa ajili ya Tumbo(hakuwekewa mkono, kwanza yeye mwenyewe alikuwa mtumishi), baadhi ya watumishi, paulo aliwaacha wagonjwa, na anauliza wanaendeleaje afya zao kwwnye baadhi ya nyaraka mfano, Wafiipi 2:26-27, 1Timoth 5:23, Galatia 4: 13-14. Hata paulo mwenyewe alikuwa anaugua, japo aliponya.

Kuhusu Yesu na Utabiri wa Lugha mpya nadhani nimetoa maoni yangu huko nyuma.
Na pia wale walibidi wanene Lugha mpya (za kibinadamu) kwa pamoja hapo Yerusalem kutimiza andiko la Yesu, pia ilibidi wazinene kwa pamoja ili kila mwenye lugha yake aliyekuja kushangaa kile kishindo cha roho mtakatifu kushushwa na taharuki yake apate Portion yake.


Otherwise, nashukuru kwa michango mizuri mkuu.
cc
zitto junior
OK,Naomba turudi hapa
1kor14:14~maana nikiomba kwa lugha,roho yangu huomba,lakini akili hazina matunda.

T
azama vizuri mstari huo,anaomba kwa lugha meaningly kwa Roho wa Mungu ila pia na roho yake inaomba.

Naomba nikunukuu kidogo mkuu

''Hivyo KUUGUA Kusikotamkika (gnoaring that cannot be uttered)''

gnoaring linatokana na neno gnoar,ok,ngoja tuchek maana ya neno hili
gnoar-a low, mournful sound uttered in pain or grief: the groans of dying soldiers.

ukiunganisha na nukuu yako hapo juu unaweza kuona utter imo ndani ya gnoar.
Lakini pia watalamu wa lugha wanasema synonomy ya utter ni pamoja na pronounce.

UKIAMBIWA HUWEZI KUPRONOUNCE NENO FLAN SI KWAMBA HUWEZI ILA HUTALIPATIA THE WAY TO BE PRONOUNCED.

Msisitizo mkubwa wa YESU kwa wanadamu wanaomwamini ni kuomba.swali.

kwanini tuombe kama Roho wa Mungu anatuombea.?

Man can do nothing without God,and God will do nothing without man.

Roho yoyote hapa duniani ikitaka iaffect physcal realm inatafuta mwili,bila mwili it is illegal si kwa Mungu si Shetani.KWANINI
Kwasababu Mungu hawezi kubreak his own law,alisema wakati anamuumba mtu,Let him have rullership and not us,
Shetani alitafuta physcal body to express his opnions kwa mwanadamu otherwise was illegal.
Nataka kwenda mbali sana huku,ngoja turudi hapa

Rum 8;16~Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu,

Umeiona hiyo fellowship,bila roho yako ambayo maskani yake ni mwili wako hapa duniani Roho wa Mungu hanamahali pa kutestfy.

Naomba nifunge huu mjadala kwa maoni yangu kuwa,biblia ni kitabu cha Mungu kumuhusu mwanadamu,kimeeleza mema na mabaya yaliyofanywa,yanayofanyika na yatakayofanywa na wanadamu.
Point yangu ni kuwa ukiona kitu kinafanyika kibaya na watu fulan usifikiri hawapo watu wanaoweza kukifanya kitu kile kile kwa utaratibu sawa unaotakiwa.
 
Mkuu mitale na midimu nimeelewa hoja yako barabara labda tu niseme kuna kitu unakisahau.... Kwanini unalimit kuwa kunena kwa lugha ni lazima iwe lugha ya kibinadamu kisa tu siku moja kuna mtu alinena kwa lugha ambazo watu wengine walielewa...... Mie naamini kunena kwa lugha za mataifa mengine ni kitu kimoja ila kunena kwa lugha ambazo hazieleweki kwa wanadamu ila kwa Mungu ni kitu kingine ila vyote vinatoka kwa MUNGU sasa sielewi kwanni unasisitiza kunena kwa lugha za kibinadam ndio za kiMungu alafu lugha zisizoeleweka ndio sio za kiMungu je unaweza kunisaidia mstari unaosema kuongea lugha zisizoeleweka sio ya ki-Mungu???

Labda ningehoji ukisoma mistari hii miwili je unapata picha gani
1 Corinto 13:1
1 Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.

Je hapa anaposema lugha za wanadamu na za malaika ana maana gani?? Huoni anaonyesha kuwa kuna lugha ambazo zinaeleweka kwa Mungu tu na nyingine kwa wanadamu tu je kwanini basi tuhitimishe kuwa za kibinadamu ndio za Mungu ila zisizoeleweka yaani za kimalaika ndio za kimashetani?? Why??? Au labda niulize je huwa tuna uhakika gani kuwa hyo lugha unayosikia makanisani haieleweki?? What if ni lugha flani ambayo iko extinct hapa duniani ama inaongelewa mataifa ya mbali ambayo wengine hatuelewi ila ina maana yake

Biblia kweli haipendezwi na kunena kwa lugha kama hamna mtafsiri ila hyo ni kama unanena kwa lugha ya kidunia hivyo unataka kupeleka ujumbe kwa hadhira HOWEVER biblia inatofautisha hawa wawili kuwa mmoja anaongea na Mungu ndio anaongea lugha ya kimalaika ila anayehutubu ndio anaongea lugha ya kidunia na ndio maana paulo hapo mbeleni anasema awepo mtafsiri

Wakorintho 14
2 Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
3 Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali ahutubuye hulijenga kanisa.


So tunaona biblia hapa iko wazi kabisa kama kunena ni kwa kutabiri basi unanena kwa lugha ya kidunia ila kama unanena kwa lugha ya kimalaika hapo unakuta unawasiliana na Mungu directly

Hitimisho langu ni kwamba hao walokole wanakuwa wanawasiliana na Mungu ndio maana wengine hatuwaelewi kama inavyosema biblia hivyo wako sahihi ila wangekuwa wanatabiri huku wakinena kwa lugha hapo ndio watakuwa wamekosea sababu ujumbe hautafika kwa mhusika kikubwa awepo mtu mwenye kipawa aliyeinuliwa na Mungu kutafsiri hizi lugha za kidunia kiroho zaidi hivyo tusifungamanishe lugha za dunia na lugha za kimalaika ni mbili tofauti ila zote ni KUNENA KWA LUGHA tofauti kabisa na hoja yako inayosema kunena kwa lugha kibiblia ni lugha za duniani hapana tutakuwa tunatengeneza mgogoro wa maandiko pia.

Haya ni maoni yangu

Cc popbwinyo SALA NA KAZI blackstarline tikakami wa lopelope mpite huku mada moto hii
Asante sana.
 
OK,Naomba turudi hapa
1kor14:14~maana nikiomba kwa lugha,roho yangu huomba,lakini akili hazina matunda.

T
azama vizuri mstari huo,anaomba kwa lugha meaningly kwa Roho wa Mungu ila pia na roho yake inaomba.

Naomba nikunukuu kidogo mkuu

''Hivyo KUUGUA Kusikotamkika (gnoaring that cannot be uttered)''

gnoaring linatokana na neno gnoar,ok,ngoja tuchek maana ya neno hili
gnoar-a low, mournful sound uttered in pain or grief: the groans of dying soldiers.

ukiunganisha na nukuu yako hapo juu unaweza kuona utter imo ndani ya gnoar.
Lakini pia watalamu wa lugha wanasema synonomy ya utter ni pamoja na pronounce.

UKIAMBIWA HUWEZI KUPRONOUNCE NENO FLAN SI KWAMBA HUWEZI ILA HUTALIPATIA THE WAY TO BE PRONOUNCED.

Msisitizo mkubwa wa YESU kwa wanadamu wanaomwamini ni kuomba.swali.

kwanini tuombe kama Roho wa Mungu anatuombea.?

Man can do nothing without God,and God will do nothing without man.

Roho yoyote hapa duniani ikitaka iaffect physcal realm inatafuta mwili,bila mwili it is illegal si kwa Mungu si Shetani.KWANINI
Kwasababu Mungu hawezi kubreak his own law,alisema wakati anamuumba mtu,Let him have rullership and not us,
Shetani alitafuta physcal body to express his opnions kwa mwanadamu otherwise was illegal.
Nataka kwenda mbali sana huku,ngoja turudi hapa

Rum 8;16~Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu,

Umeiona hiyo fellowship,bila roho yako ambayo maskani yake ni mwili wako hapa duniani Roho wa Mungu hanamahali pa kutestfy.

Naomba nifunge huu mjadala kwa maoni yangu kuwa,biblia ni kitabu cha Mungu kumuhusu mwanadamu,kimeeleza mema na mabaya yaliyofanywa,yanayofanyika na yatakayofanywa na wanadamu.
Point yangu ni kuwa ukiona kitu kinafanyika kibaya na watu fulan usifikiri hawapo watu wanaoweza kukifanya kitu kile kile kwa utaratibu sawa unaotakiwa.
asante maelezo mkuu.
kwanza ninaomba nitoe tongotongo katika hili.
Tumejenga hoja vizuri huko juu kuwa.
Yesu alisema wanafunzi wake watanena Lugha mpya (Kwa maana ninayoisimamia mimi "Lugha mpya za Kibinadamu zilizokuwa hazifahamiki kwao kabla kama ishara ya Uwepo wa Roho mtakatifu''.
Tukasema pia, Hao walioambiwa, wakiwa jumla ya watu 120 unabii wa Yoeli (Roho mtakatifu kuwashukia) na Utabiri wa Yesu (Kunena Lugha mpya za Kibinadamu zilizoeleweka kwa wasikilizaji).
Tukakubaliana kuwa Ushushwaji wa roho mtakatifu utaambatana na Vipawa vyake au kalama. Na miongoni mwa kalama ilikuwa ni Kunena Kwa Lugha.
Na msingi au dhumuni la kalama ni Kulijenga na kulikuza kanisa. 1 Korintho 12:7 " Kwa faida ya wote''. Tena kwa ajili ya kueneza injili. Hakuna self-Centered Gift.
Na tunakubaliana kuwa Tukio la matendo 2 linasadifu takwa la umuhimu wa 1 korintho 12:7 .

:::::::::
Mtiririko hapo juu unaonyesha wazi, mgogoro Uliompelekea Mtume paulo kuandika 1 Wakorintho 14. ni watu kukiuka mtiririko huo mwema.
Kunyofoa kifungu katikati ya haya hiyo ili kutetea kinachoendelea ktk habari ya kunena sioni kama ni sawa.
Nadhani ni Busara takatifu kurudi kwenye mpango wa Mungu kwa mtiririko pale Juu.
Katika hilo mkuu nakoswa ushauri zaidi ya huo.

:::::::::
WARUMI
Naogopa na nashawishika kuamini kwamba, Watu walianza KUNENA KWA LUGHA HIZI Tunazozisikia maknisani, Kisha wakarudi Kuzitafutia uhalali kwenye BIBILIA.
Hii ni kwa sababu kubwa moja na nadhani utakubaliana na mimi kuwa haina utetezi ulionyooka zaidi ya utetezi unaokinzana au pishana mfano.
Je ni Lugha ya Mbinguni?
Je ni Lugha ya Malaika (1cor 13:1)?
Je ni Lugha ya Roho mtakatifu (warumi)?
Je ni Lugha ya mpya za kidini ambazo wanadamu wengine hawazielewi?
Vyote vitatu havina ushahidi wa wazi na wakivitendo katika maandiko zaidi ya kile kimoja ambacho kiko wazi na kinasomeka kama maji (mdo 2) Yaani Lugha mpya za wanadamu ambazo wagalilaya hao walikiwa hawazielewi kabla ya kueleweshwa kwa uwezo wa roho mtakatifu ili injili itapakae ktk kila Lugha. 1 Kor 14 yote imeandikwa ili tusifanye makosa waliofanya hao jamaa.


KUUGUA KUSIKO TAMKIKA.
1:Bibilia haijasema Roho akiyuombea, hiyo ni kalama ya Roho yaani kunena kwa Lugha.
Roho wa Mungu Kuwaombea wafuasi wa Yesu ni kitu kingine na Roho kuwashushia wafuasi wa Yesu uwezo wa Kunena Lugha mpya. ndio maana hapo juu nilieleza utetezi wako hauungani.

2:Haugui Roho, naugua mimi. Hashindwi kutamka roho, ninayeshindwa kutamka ni mimi. Gnoaring ni hali ya Uchungu kiasi cha kushindwa hata kutoa neno unabaki unaguguna tu, na wengine hufikia hatua ya kulia tu. Jambo hilo ambalo umeshindwa kuliwasilisha tunatiwa moyo na maandiko, Roho hutusaidia kutufikishia hizo hoja na haja kwa Mungu.
Sioni uhusiano wa kuunganisha tukio hilo na Kalama aliyopewa mwanadamu na Mungu ili kulijenga kanisa au kufaidisha watu. Kalama hawapewi Wote, wewe unaweza kupewa kalama Ya kunena kwa Lugha, mimi nisipewe hata chembe maana Roho ndiye anayegawa kama atakavyo hakuna wa kumshawishi.
Kwa fungu hilo Roho wa Mungu anawaombea wote wenye hiyo hali. Hata mimi ktk hrkati za maisha napitia changamoto ngumu hata kutamkika ktkt ya maombi naweza kutoa chozi tu au kuishiwa maneno, Sihitaji kalama ya Roho ya kunena kwa Lugha Bali Roho huniombea mwenyewe.

Swali: Kwa nini tuombe wakati roho anatuombea?
Jibu jepesi. Fungu hilo liko wazi anatuombea katika mazingira ambayo tunaugulia kiasi cha sisi wenyewe kushindwa hata kueleza hoja yestu katikati ya maombi. Huo ni udhaifu wa kibinadami unaojazwa na na Roho mkuu nje ya hapo. OMBENI BILA KUKOMBA Yesu aliliweka wazi hilo. Tuombe mkuu. Fungu hilo ni motisha wa kuomba na sio kinyonyanguvu ya Maombi na kichochea uzembe na utegevu wa Kuomba.
Kuomba ni kiwasiliana na Muumba wako. kwa mstari huo tunahakikishiwa waziwazi udhaifu wetu wa kibinadamu katikati ya kuwasiliana na mwenye enzi unazibwa kwa Roho kutusaidia.



Otherwise mkuu nakushukuru kwa michango na changamoto nzuri zinazojenga.

Nyongeza kidogo ila sio kwa umuhimu maana niliahidi.
Kwa Mujibu wa magombo yaliyogunduliwa, yenye maandishi na nukuu za wakristo wa karne ya kwanza inaonyesha wazi kuwa hao wakolrintho walikiwa hawaneni Lugha zisizoeleweka hizi za kikarismatiki bali ni Lugha zankibinadamu.
Irenaeus circa 185 A.D.
Clement of Alexandria circa 190 A.D.
hawa wote commentaries zao zinaungana na ninachokisema.
John Chrysostom 386 -398 AD wakristo wa karne ya tatu waliamini ninachokisema.
  • Origen (185 to 254 AD);
  • Eusebius (263 to 339 AD);
  • Athanasius (293 to 373 AD);
  • Gregory of Nazianzus (330 to 390 AD);
  • Gregory of Nyssa (335 to 394+ AD);
  • Hilary(300 – 367 AD);
  • Jerome( 347 to 420 AD);
  • Epiphanius(310/20 to 403);
  • Augustine (354 to 430 AD);
  • Theodoret( 393 to 457); and
  • Gregory (540 to 604 AD).
Wote hawa mababu wa kikristo pia waliamini wakorinto walinena lugha za wanadamu sio hizi tata.
  • Thomas Aquinas (famous Romanist Philosopher – 1225 to 1274 AD)
  • Martin Luther (Protestant Reformation leader – 1483 to 1546)
  • John Calvin (Protestant Reformation leader / Biblical commentator – 1509 to 1564)
  • Matthew Henry (English non-conformist minister and Biblical commentator – 1662 to 1714)
  • John Gill (English Particular Baptist minister and Biblical commentator – 1697 to 1771)
  • Adam Clarke (British Arminian theologian and Biblical commentator – 1762 to 1832)
  • Robert Jamieson (1802-1880); Andrew Robert Fausset; and David Brown (1803-1897): Authors of the famous “Jameison-Faussett-Brown commentary”
  • John Nelson Darby (author of the Synopsis of the Books of the Bible and founder of the error of Dispensationalism – 1800 to 1882).
Wote hawa waliamini ninachokisema.


nadhani ushahidi kwa kisayansi usipoonekana na maana, ushahidi wa historia ya wakristo wenyewe inaweza kuongeza kina cha uelewa.


cc
zitto junior na wadau wengine.
 
shukran mkuu,mi nafikiri kila mtu aamini anachokiamini.Maana biblia imetuonya kutokupita yaliyoandikwa,lakini pia ni changamoto kama hatujui yaliyoandikwa maana kuna mawili,eidha kutokupita au ukafikri umeyapita yaliyoandikwa kumbe hata nusu hjafkia,cha msingi ni kuomba roho ya hekima na ufunuo kama ambavyo paulo alijizoeza kuyaombea makanisa ya wakati ule,lakini hata Yesu ilibidi awafunulie akili wapate kuelewa na maandiko sawasawa na luka24;45

kuhusu mada naona tunarudi reverse nyingi mno,
maana mwanzo niliweka andiko kuhusu Roho wa Mungu kumfanya mtu anene lugha mpya,tukaona kuna kwa kila aaminiye,lakini pia kuna kama karama ya Roho wa Mungu.Huko mwanzo nilichambua wote hao watu.
PIA NASIKITIKA SANA kuchambua hili katika one dimension,
mfano,nanukuu ''Lengo la kunena kwa lugha ni kulijenga kanisa peke yake''
Wakati huko nyuma tuliona pia ANENAYE KWA LUGHA HUJIJENGA NAFSI YAKE.

B
asi sawa wakuu,tudumu katika kumtafuta Mungu atupe hekima na maarifa maana hata neno linasema ndani ya kristo kuna hadhina zote za hekima na maarifa zimestirika.Zimestrika kwanini? Nafkiri ndio tabia ya ufalme wowote,huwa hauweki mambo waziwazi kirahisi,unaweza ukakumbuka hata Yesu kuna mahali aliwambia wanafunzi wake kuwa wao wamejaliwa kuzifahamu siri za ufalme wa mbinguni mat 13;11.Lakini pia hata siku ile sodoma na gomora imewekwa kwenye plan ya kuangamizwa ilikuwa siri,maana biblia inasema Mwz18;17~BWANA akasema,je? Nimfiche Ibrahim jambo nilifanyalo? was a secret

THANKS TO EVERY JF MEMBER HASA WAPENZI WA JUKWAA HILI
 
shukran mkuu,mi nafikiri kila mtu aamini anachokiamini.Maana biblia imetuonya kutokupita yaliyoandikwa,lakini pia ni changamoto kama hatujui yaliyoandikwa maana kuna mawili,eidha kutokupita au ukafikri umeyapita yaliyoandikwa kumbe hata nusu hjafkia,cha msingi ni kuomba roho ya hekima na ufunuo kama ambavyo paulo alijizoeza kuyaombea makanisa ya wakati ule,lakini hata Yesu ilibidi awafunulie akili wapate kuelewa na maandiko sawasawa na luka24;45

kuhusu mada naona tunarudi reverse nyingi mno,
maana mwanzo niliweka andiko kuhusu Roho wa Mungu kumfanya mtu anene lugha mpya,tukaona kuna kwa kila aaminiye,lakini pia kuna kama karama ya Roho wa Mungu.Huko mwanzo nilichambua wote hao watu.
PIA NASIKITIKA SANA kuchambua hili katika one dimension,
mfano,nanukuu ''Lengo la kunena kwa lugha ni kulijenga kanisa peke yake''
Wakati huko nyuma tuliona pia ANENAYE KWA LUGHA HUJIJENGA NAFSI YAKE.

B
asi sawa wakuu,tudumu katika kumtafuta Mungu atupe hekima na maarifa maana hata neno linasema ndani ya kristo kuna hadhina zote za hekima na maarifa zimestirika.Zimestrika kwanini? Nafkiri ndio tabia ya ufalme wowote,huwa hauweki mambo waziwazi kirahisi,unaweza ukakumbuka hata Yesu kuna mahali aliwambia wanafunzi wake kuwa wao wamejaliwa kuzifahamu siri za ufalme wa mbinguni mat 13;11.Lakini pia hata siku ile sodoma na gomora imewekwa kwenye plan ya kuangamizwa ilikuwa siri,maana biblia inasema Mwz18;17~BWANA akasema,je? Nimfiche Ibrahim jambo nilifanyalo? was a secret

THANKS TO EVERY JF MEMBER HASA WAPENZI WA JUKWAA HILI
Mungu akubariki mkuu.
Tuko pamoja
 
Back
Top Bottom