Ardhi yake kuwa na thamani zaidiPotential ya nini?
Thank you, kwa maoni yakoBasing on my opinions Goba kupo sawa zaidi kuliko kigamboni . Goba kuna service zote pia karibu na mjini changamoto za foleni na usafiri ukiwa goba ni nafuu zaidi kuliko kigamboni.
Wewe unapenda sana Beach sasa Goba mpk Bichi na Kigambon mpk BichiMsaada wa kimawazo
...
Hivi kati ya Goba na kigamboni, wapi pazuri kujenga na kuishi.
Naomba ushauri wapi kuna maeneo mazuri
1. Bei za viwanja
2. Huduma za kijamii
3. Usalama
4. Wapi ni potential
5. Na mengineyo
...
Utofauti upoje ndo nataka kujua...buget ya plot sio issue sana
..
Natanguliza shukrani[emoji120]
Nitachangia kama ulivyo-outlineMsaada wa kimawazo
...
Hivi kati ya Goba na kigamboni, wapi pazuri kujenga na kuishi.
Naomba ushauri wapi kuna maeneo mazuri
1. Bei za viwanja
2. Huduma za kijamii
3. Usalama
4. Wapi ni potential
5. Na mengineyo
...
Utofauti upoje ndo nataka kujua...buget ya plot sio issue sana
..
Natanguliza shukrani[emoji120]
Hakuna complications za vivukoPotential ya nini?
Unaelewa hata maana ya neno "potential"?Hakuna complications za vivuko
Kigamboni bor zaidi ...changamoto pekee inayofanya watu wapashushe thamani ni namna ya kufika kigamboni ni either kivuko,darajani au uzunguke njia ya kijichi au kongowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado una mawazo ya kuspend more ndo ujanja, too bad and childhood!Acha kulinganisha Goba na Protozoa wewe... ..Goba ni level za Sinza kwa issue za Neighbourhood..
Wewe ni Twilumba wa Microbiology ya Udsm?Bado una mawazo ya kuspend more ndo ujanja, too bad and childhood
vyuo vingi hapo wanafunzi wake wake wanakaa kigamboni kuanzia CBE, IFM, TIA, mwalimu nyerere Memorial etcVpi kuhusu vyuo huko? Maana sie wazee wa totoz mawindo yetu ni warembo wa chuo. Savannah mbili tatu unajibebea mrembo