Nimenunua kiwanja kwa mkorea...Hivi unapajua Kigamboni au unasimuliwa? Tangu Zamani kabla ya daraja pantoni ni 24/7.
Pili Kigamboni hata uswahilini 20x20 kiwanja hupati chini ya 10m. Kuna seems panaitwa kwa mkorea viwanja 35,000 /sqm. Hata 30km kutoka Ferry hupati kiwanja chini ya 10,000/sqm.
Tembea uone acha kujificha huko kwenye mabonde ukifikiri ndio sehemu nzuri kuliko zote Dar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaelewa hata maana ya neno "potential"?
Kigamboni ni bora kwa kuwa ni jirani kufika maeneo ya huduma za kijamii kama ofisi za kiserikali, Kariakoo sokini na mahospital kama Muhimbili na pia ni thamani ya maeneo ni kubwa kuliko Goba mfano Kigamboni maeneo ya Chuo cha Mwalimu na usalama ni mkubwa sana kwa kuwa unakuwa jirani na jeshi la maji, na pia upatikanaji wa Maji Kigamboni ni kuanzia mita 10 wakati Goba kisima kifupi ni mita 80. Na mifumo ya umeme wa ziada kama umeme wa jua na wa upepo mdogo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani ni rahisi kuweka Kigamboni kama ukipata eneo kubwa . . . . Yaani kuna uzuri mkubwa sana Kigamboni kuliko GobaMsaada wa kimawazo
Hivi kati ya Goba na Kigamboni, wapi pazuri kujenga na kuishi.
Naomba ushauri wapi kuna maeneo mazuri.
1. Bei za viwanja
2. Huduma za kijamii
3. Usalama
4. Wapi ni potential
5. Na mengineyo
Utofauti upoje ndo nataka kujua, buget ya plot sio issue sana
..
Natanguliza shukrani[emoji120]
0715053339Karibuni GOBA
Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki
1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm 350
2 hiki Ni Ml 10 ukubwa Ni sqm 600
3 Ni sqm 890 Bei ML 25
Kwa picha zaidi na maelezo pia kwenda
Mie niliwahi kupakataa kuna mzee mmoja alinionyesha kiwanja makongo juu kilikuwa na bonde kali nikakikataa akanipekeka kingine Goba kilikuwa poa ila niliona pamekaa kushoto nikachomoa. Muda unaenda kasi sana leo pako tofautiNakumbuka way back wakati naishi kimara mwisho mtu anaekaa goba tulikuwa tunamwona mashamba sana maana palikuwa pori kweli kweli kunatisha misitu na vichaka tu.
Nikipitaga goba huwa nacheka sana nikikumbuka vichaka vya zamani
Dar inapanuka na kukuwa sana. Sijui Kigamboni ingekuwaje endapo Serikali ingesema imeamua jenga ofisi za wizara Kigamboni
Hadi Kimbiji ingekuwa ishajaa muda huu.Hii ingekua bonge la plan na kuondoa msongamano mjini wizara zote kigamboni ndio hivo tena plan zetu
Ahsante kwa maelezo haya ya kina!5) Miundombinu ya Kigamboni ipo bora zaidi kulinganisha na Goba. Pia viwanja vingi vya Kigamboni ni flat kulinganisha na Goba ambako kuna miinuko mingi. Kuhusu umbali Kigamboni ipo karibu zaidi na mjini kuliko Goba. Changamoto ya Kigamboni ni lazima uvuke maji kwa kulipia na kuna njia 3 kuu za kuingia na moja ya zaidi ikitokea Kongowe.
Goba kubwa, kuna mtaa unaitwa muungano, yupo jamaa amegawa shamba lake 30x30 unapata, pesa uwe nayo. Ni pm kwa maelezo zaidi. Kama huyajui maeneo hayo, neñda ka-sarvey kwanza. We uliza serikali ya mtaa wa muungano Goba ipo wapi. Nenda maeneo yale. Ukipenda sasa ni mp kwa maelezo zaidi. Umeme upo, mabomba ya maji Dawasco yapo mita chache kutoka site.Nahitaji kiwanja goba kisiwe chini ya 25 kwa 25. Nileteeni offer. Na kiwe eneo tambarale sio eneo lina miinuko kama tupo milima ya upareni