Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Lunch tena!! Sio lazima sana...Ntumie namba yako kwanza kabisa huko Pm ili nikienda nakuwa na namba yako kabisa tukutane tule lunch wakati tunajadili mustakabali wa kupata hilo eneo.
Sijui usalama unaongekea ni upi, huko goba, wezi wa majumbani kibao.Kigamboni usalama ni zero
Okay.fine assume umepatwa na emergency ili ambalance ifike muhimbil lazim usubir panton.kwa sasa Kigamboni inakosa Hospital kubwa za rufaa, soko kubwa nk - lakini kutoka Kigamboni lets say kufika hospital ya muhimbili ama Aghakhani ni takribani dk 20 tu, Kariakoo pia ni 10 to 15 minutes same as city center (Posta).
Sasa ile njia ya juu ya hapo BP zamani ikiisha, pamoja na exchange ya pale karibia na uwanja wa Taifa - Kigamboni itapaa sana na ni sehemu nzuri sana hasa kwa vijana wanaoanza maisha.
Goba is the best.Msaada wa kimawazo
Hivi kati ya Goba na Kigamboni, wapi pazuri kujenga na kuishi.
Naomba ushauri wapi kuna maeneo mazuri.
1. Bei za viwanja
2. Huduma za kijamii
3. Usalama
4. Wapi ni potential
5. Na mengineyo
Utofauti upoje ndo nataka kujua, buget ya plot sio issue sana
..
Natanguliza shukrani[emoji120]
May be yes may be .kwa sasa ili mji ukue lazima wawe na stend feri sio eti stendi iwe wilayani maana naona stendi inataka iwe wilayani.yan mtu unatoka kibada unaacha kwenda feri ambapo ndio unaenda mjini kufanya mihangaiko yako inabid uende wilayan upande gar nyingine feri.kule feri lazima pawe na stend yanuhakika sio ile ya sasa hiv isiyo yanuhakika.Yote ni maeneo ya makazi bora lakini Goba ipo centre na ina access zaidi ya vitu vyote ulivyovitaja kuliko kigamboni KWA SASA,
Goba barabara zake zipo connected na morogoro road na bagamoyo road ambazo ardhi yake ni hot cake kuliko kilwa road ambayo kwa kiasi kikubwa ndio imeizunguka kigamboni.
Kuhusu potential ya kigamboni bado haitabiriki lakini ninachojua itakuwa mji flani wenye kujitosheleza kila kitu tofauti na maeneo kama goba ambayo itaendelea kutegemea sehemu zingine za dar kupata service.
kwa sasa hamna tatizo hilo, ni kiasi cha kuvuka darajani - utahitaji dk 20 hadi 30 kufika latest.Okay.fine assume umepatwa na emergency ili ambalance ifike muhimbil lazim usubir panton.
Daraja lipo.Unapita Darajani.Nimeona juzi Ambulance iliingia na mgonjwa kwenye Panton ikapiga kig'ola Panton ikang'oa nanga bila abiria kuiwaisha Ambulance.Nafiri ndio Sheria ya Pale.Sasa huko Goba Kuja Muhimbili !!!!🤭Okay.fine assume umepatwa na emergency ili ambalance ifike muhimbil lazim usubir panton.
Pantoni kufanya nini wakati daraja lipo?Okay.fine assume umepatwa na emergency ili ambalance ifike muhimbil lazim usubir panton.
Toka Goba mimi nitoke kigamboni tukutane K/Koo tuone wapi papo connectedChangamoto ya Goba ardhi ina miinuko na mabonde Ila ni sehemu nzuri Kwa kuishi , kigamboni ni kama Tu upo kwenye nchi nyingine...!!
Goba pa kishuaaa, ipo connected na maeneo yote mhimu ya mji Kwa shortcut
Duh Sawa mkuuToka Goba mimi nitoke kigamboni tukutane K/Koo tuone wapi papo connected
Kuhusu ushuani, well kigamboni ni ushuani maeneo mengi Anzia Mji mwema, Kibada, Geza nk
Kigamboni ipi usalama ni zero?Kigamboni usalama ni zero
Kigamboni wapemba hawaibiwi.utajutaKigamboni ipi usalama ni zero?
Ushawahi kusikia Habari za panya road kigamboni?
Ambulance haisubiri pantoni, inaingia moja kwa moja na pantoni inaondoka muda huo huo.Okay.fine assume umepatwa na emergency ili ambalance ifike muhimbil lazim usubir panton.
Wizi mdogo mdogo kwa Dar upo kila mahali hadi mbezi beach au masaki ila mambo ya majambazi sijui panya road kigamboni hakuna.Kigamboni wapemba hawaibiwi.utajuta
Goba iko connected na mbezi zote,tegeta etc. Kigamboni iko connected na city centre chaguo ni lakoDuh Sawa mkuu
Ubaya hakuna kiwanja ferry viwanja vizuri ni zaidi ya 25kilomita. So mpaka ufike ferry ni kipande umetembea.Goba iko connected na mbezi zote,tegeta etc. Kigamboni iko connected na city centre chaguo ni lako
Viwanja gani lulu?Ubaya hakuna kiwanja ferry viwanja vizuri ni zaidi ya 25kilomita. So mpaka ufike ferry ni kipande umetembea.
Hapo ubaya uko wapUbaya hakuna kiwanja ferry viwanja vizuri ni zaidi ya 25kilomita. So mpaka ufike ferry ni kipande umetembea.