Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Kama ya PhD holder Mr musukuma!!Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ya PhD holder Mr musukuma!!Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Nimeona mahali Freeman Mbowe anajiendeleza Chuo kikuu huria shahada ya international relations.Ki elimu yuko vizuri, alipogombea Ubunge Arusha alikuwa ni Form IV leaver mwenye Div IV ya points 31, alianzia Kibohehe mpaka form II akaja kumalizia Arusha Meru, akajiendeleza chuo cha IIT kuanzia certificate, akaja Diploma, then Degree ya BBA, hivyo alipokuwa uhamishoni Canada atakuwa amerudi darasani, na kupiga masters, hivyo by now he could a Ph.D candidate from a reputable university.
Uchaguzi wa 2000 nilihidhuria kampeni zake Arusha na kuna siku niliuliza kitu humu Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?
Elimu ya Lema imezungumzwa sana humu Godbless Lema: Kuna vichaa wengi mitaani
P
Ze ZEROLeo tujuze elimu Yake kwanza
Elimu haina mwisho!, mimi mwenyewe nikifika 60 na kustaafu rasmi ndipo na naji enroll kusoma Ph.D ya divinity kisha naenda Nigeria kuchukua vifaa, nakuja kufungua kanisa.Nimeona mahali freeman mbowe anajiendeleza Chuo kikuu huria shahada ya international relations.
Mara nyningi huwa unaongea kama utani ila nikikusoma zaidi nagundua kuwa ndo namna yako yakueleza ukweli. Hata hili ulilosema linaweza kuwa kweli pia. Binafsi nakukubali San mkuu.Elimu haina mwisho!, mimi mwenyewe nikifika 60 na kustaafu rasmi ndipo na naji enroll kusoma Ph.D ya divinity kisha naenda Nigeria kuchukua vifaa, nakuja kufungua kanisa.
P
Ufahamu wa Lema unazidi wa JPM kwa mbali.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Shule, vyeti, elimu na uwezo ni vitu 4 tofauti!.Hamna mwenye shule pale, hata hotuba zake unaona kabisa hana shule, angalia hotuba za zitto na lema utaona utofauti, hata heche anahotuba nzuri kushinda lema,
Std 7Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Ila wewe jamaa kila jumatatu huwa unaamka na hangover 😂😂😂.Punguza matumizi Heinken siku za wikiendiElimu haina mwisho!, mimi mwenyewe nikifika 60 na kustaafu rasmi ndipo na naji enroll kusoma Ph.D ya divinity kisha naenda Nigeria kuchukua vifaa, nakuja kufungua kanisa.
P
Mbowe ana degree yake ya Political economyNimeona mahali Freeman Mbowe anajiendeleza Chuo kikuu huria shahada ya international relations.
Ki elimu yuko vizuri, alipogombea Ubunge Arusha alikuwa ni Form IV leaver mwenye Div IV ya points 31, alianzia Kibohehe mpaka form II akaja kumalizia Arusha Meru, akajiendeleza chuo cha IIT kuanzia certificate, akaja Diploma, then Degree ya BBA, hivyo alipokuwa uhamishoni Canada atakuwa amerudi darasani, na kupiga masters, hivyo by now he could a Ph.D candidate from a reputable university.
Uchaguzi wa 2000 nilihidhuria kampeni zake Arusha na kuna siku niliuliza kitu humu Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?
Elimu ya Lema imezungumzwa sana humu Godbless Lema: Kuna vichaa wengi mitaani hata hapa Wasifu wa Godbless Lema (MP) na hapa Tusipokubaliana na mtazamo wa Godbless Lema, CCM itaendelea kutawala na katiba ya Sitta itapita
Kampeni za Lema Arusha 2010 nilitia timu Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema
P
Hamna mwenye shule pale, hata hotuba zake unaona kabisa hana shule, angalia hotuba za Zitto na Lema utaona utofauti, hata heche anahotuba nzuri kushinda Lema.
AsanteeeeeeeeeeSmall minds discuss people