God don’t love Africa and Africans!

God don’t love Africa and Africans!

Mungu yupo na ametuumba ili tumuabudu yeye, Quran ni ushahidi tosha kuonyesha uwepo wa Mungu
 
Mungu yupo na ametuumba ili tumuabudu yeye, Quran ni ushahidi tosha kuonyesha uwepo wa Mungu

Thibitisha kwamba mungu yupo.

Pia huja reconcile mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao unawezekana majanga kama huu.
 
Mungu yupo na ametuumba ili tumuabudu yeye, Quran ni ushahidi tosha kuonyesha uwepo wa Mungu

Ulishawahi kujiuliza kwa nn ametuumba ili tumuabudu??,.je ni kwel kwamba sababu ni kumuabudu tu.kwa hiyo mungu anapenda kuabudiwa??,.


Ulishawahi kujiuliza nani anayemwongoza shetani katika kazi zake??,na kwa nn awepo shetani,kwa nn asiwepo mungu muweza wa yote??,
 
Ulishawahi kujiuliza kwa nn ametuumba ili tumuabudu??,.je ni kwel kwamba sababu ni kumuabudu tu.kwa hiyo mungu anapenda kuabudiwa??,.


Ulishawahi kujiuliza nani anayemwongoza shetani katika kazi zake??,na kwa nn awepo shetani,kwa nn asiwepo mungu muweza wa yote??,

Ndio tumeumbwa ili tumuabudu TU (-quran;- "sikuwaumba majini na watu ila mniabudu mimi tu)
 
Mbona umejibu swali nusu,em endelea kujibu na mengine ama hukuyaona??

Mungu ndio anampa nguvu kiumbe yeyote. Yeye hana shida kutoka kwetu, hata tushirikiane viumbe vyote duniani kufanya maovu basi hatutamgarimu Mungu na wala ndio atashindwa, hapana, au tushirikiane kufanya ibada sisi wote katu hatutamzidishia chochote. Anachotaka tumuabudu tu, ametuleta duniani na ametuletea kitabu ili tumjue yeye
 
Mungu ndio anampa nguvu kiumbe yeyote. Yeye hana shida kutoka kwetu, hata tushirikiane viumbe vyote duniani kufanya maovu basi hatutamgarimu Mungu na wala ndio atashindwa, hapana, au tushirikiane kufanya ibada sisi wote katu hatutamzidishia chochote. Anachotaka tumuabudu tu, ametuleta duniani na ametuletea kitabu ili tumjue yeye

Kaleta kitabu gani?,,kwa hiyo unakubali shetani ni kiumbe cha mungu ?,mbona hukujibu shetan katoka wapi na kwa nn awepo.je maovu kuwepo duniani ni mpango wa mungu pia?
 
Kaleta kitabu gani?,,kwa hiyo unakubali shetani ni kiumbe cha mungu ?,mbona hukujibu shetan katoka wapi na kwa nn awepo.je maovu kuwepo duniani ni mpango wa mungu pia?

Ameleta taurat, injil, zabur na mwisho quran. Shetani ama jini ameumbwa na Mungu mwenyewe na quran inasema jini ameumbwa kwa moto, sio kila shetani ni muovu hapana, vile binadamu tunavyoishi wengine wanamuabudu Mwenyezi Mungu wengine hawamuabudu na wao ni hivyo hivyo, tumekaa kwenye kivuli cha kusema maovu yote ni shetani, kivipi? Tayari kwenye quran unatufundisha kumuepuka shetani (surat a-naas)
 
Ameleta taurat, injil, zabur na mwisho quran. Shetani ama jini ameumbwa na Mungu mwenyewe na quran inasema jini ameumbwa kwa moto, sio kila shetani ni muovu hapana, vile binadamu tunavyoishi wengine wanamuabudu Mwenyezi Mungu wengine hawamuabudu na wao ni hivyo hivyo, tumekaa kwenye kivuli cha kusema maovu yote ni shetani, kivipi? Tayari kwenye quran unatufundisha kumuepuka shetani (surat a-naas)

Ok naona unaelekea nnapopataka,sasa nambie kwa nn mungu aongoze matendo ya shetani na hapo hapo anasema tusimfuate shetan??,.,huoni kwamba unajichanganya.na kama anajua matendo yetu kila mmoja kwamba nidhaifu,kwa nn anamruhusu??,
 
These are great ideas. waafrika tunasubiri mali kutoka kwa muumba na kwa wachache ambao tunaamini walipewa baraka nyingi kuliko sisi. tutasubiri kama wale wapiganaji wa majimaji walivofikiri risasi za mjerumani zingegeuka maji! kama mungu yupo keshatupa mali tayari nazo ziko chini, juu na kando na kote kutuzunguka! katupa pia akili ambayo inapaswa iwe activated ili tuione hii mali. Sasa tunaenda katika majumba ya imani kuomba mali. tunaenda ughaibuni kuomba kupunguziwa au kumegewa kidogo. kinachotakiwa ni POWER OF MIND which is within ourselves; no question of love from anywhere, anyone, anything except mind.
 
Ok naona unaelekea nnapopataka,sasa nambie kwa nn mungu aongoze matendo ya shetani na hapo hapo anasema tusimfuate shetan??,.,huoni kwamba unajichanganya.na kama anajua matendo yetu kila mmoja kwamba nidhaifu,kwa nn anamruhusu??,

Kama Mungu ametuumba na halafu akatupa na akili, akili zinatosha kuacha kumfuata shetani, unajua sisi ni bora kuliko shetani? Kisa cha shetani kulaaniwa na Muumba ni pale akipokataa ukweli huo kwamba akubali kua binadamu ni bora kuliko yeye, sasa inakuaje kiumbe dhaifu kama shetani anakutawala? Tatizo ni wewe mwenyewe kukubali kuongozwa na shetani na wala sio shetani kukuongoza yeye
 
Kama Mungu ametuumba na halafu akatupa na akili, akili zinatosha kuacha kumfuata shetani, unajua sisi ni bora kuliko shetani? Kisa cha shetani kulaaniwa na Muumba ni pale akipokataa ukweli huo kwamba akubali kua binadamu ni bora kuliko yeye, sasa inakuaje kiumbe dhaifu kama shetani anakutawala? Tatizo ni wewe mwenyewe kukubali kuongozwa na shetani na wala sio shetani kukuongoza yeye
Hujajibu swali
 
Being born and raised in Afrika is enough reason, amongst many, not to believe in god.

Sadly, in a twisted way, there is a high correlation between poverty and a belief in god(s).
 
God does exist and His existence or supremacy is not based on ones intellectual mind or words. It takes a brain of a child to comprehend the things of God yet even with that it's just a drop of water in the ocean. Man will forever put his theories to disprove Him but that does not mean He doesn't exist. Belief is a free choice and the things of God cannot be equated or analyzed in totality by your small brain that cannot even make sense of creation without relying on theories. Be at peace with your choice to believe or not to belive and let others find that peace their in their daily struggles to find meaning
 
Being born and raised in Afrika is enough reason, amongst many, not to believe in god.

Sadly, in a twisted way, there is a high correlation between poverty and a belief in god(s).

This is not true....most of the western society had religious historical foundations and these are what have created the nodern society...
There is a correlation between laziness and poverty. ...and don't blame religion for one's poverty or inability to think in order to advance oneself
 
Hii thread inawahusu wanamaombi kama akina Kaunga. LOL

Nimeshaanidika hapa na kurudia mara kibao kuwa Wabongo wana tabia ya kumtegemea Mungu wao kuwatatatulia matatizo yao.

Most believe that there is nothing they can do at all about their problems, so they have left them to God to fix them.

Kwa wale wanaoamini kwenye maandiko ya Bibilia, Psalm 29:11, inasema wazi kuwa the LORD will give strength - prosperity in your secular affairs, success in your enterprises and HIS blessing upon your fields and cattle.

But if you don't have enterprises, fields and cattle, then there will be no blessing simply because the LORD cannot bless for nothing.
 
Last edited by a moderator:
This is not true....most of the western society had religious historical foundations and these are what have created the nodern society...

Two words. Enlightenment era.

There is a correlation between laziness and poverty. ...and don't blame religion for one's poverty or inability to think in order to advance oneself

Praying is intellectual laziness.
 
Back
Top Bottom