God don’t love Africa and Africans!

God don’t love Africa and Africans!

Two words. Enlightenment era.



Praying is intellectual laziness.

That is subjective, and so it is true to a non believer...Like in science, scientists/practitioners take the existing theories into use by doing the prescribed/stated principles as they are stated in theories to reproduce similar events or disprove/enhance the principles. So it is to a believe, praying is acting on the prescribed principles of his/her religion...

Everything is relative
 
That is subjective, and so it is true to a non believer...Like in science, scientists/practitioners take the existing theories into use by doing the prescribed/stated principles as they are stated in theories to reproduce similar events or disprove/enhance the principles.

If my intentions are to disprove/enhance the principles, where is the laziness in that?

So it is to a believe, praying is acting on the prescribed principles of his/her religion...

Everything is relative

Why pray if god can read your mind in the first place? Is god too lazy to just read your mind and wants to actually hear you say it?
 
If my intentions are to disprove/enhance the principles, where is the laziness in that?



Why pray if god can read your mind in the first place? Is god too lazy to just read your mind and wants to actually hear you say it?

I based my explanation on your drawn conclusion that "praying is intellectual laziness". And so I explained that to be a subjective conclusion and a true to a non believer. I went on to elaborate that such a statement is also relative because to a believer praying is not laziness since the principles of his beliefs want him to pray in that sebse he is just acting on the prescribed actions.

Well the other statement about god reading mind I cannot say anything because I do not know that god or the statement was taken out of context ...and so I rest my case
 
At least anunnaki's story is somehow making sense not this father, son and holy ghost bulllshit!
 
images (7).jpg
 
Hapa kuna hitajika reference za biblia kabisa..... view zangu zipo ivi:
Mimi nadhani mungu amejionyesha sana kwa watu weusi (kama yupo), bara letu linaongoza kwa majanga but still tuna survive....
Vitu vingi vibaya vinavyotokea ni uzembe wetu watu weusi. Does it mean kila jema litokealo kwa watu weupe linakuja automatically?
Kipindi cha World War na kushuka kwa uchumi, mungu alikua likizo? Au alitokea baada ya hayo maafa?
Waarabu nao wanapataga misukosuko, are they black?
Tatizo la waafrika tunadhani kuna miracles zitatokea, tu wavivu mno, sijui tunadhani mungu atashuka kuja kulisha watu, ama kuwatetea haki zao.... If thats our dream then lets keep on sleeping....
Kama yesu (kwa wakristo) alishuka duniani na kuteseka, sisi ni nani tusipitie challenges za dunia?
Tunapaswa kujituma na tusitegemee mungu atashuka kabla ya muda.
But nnachojua, you need to work hard, then mungu atabariki kazi zako.
 
The very one thing i like about these God stuffs ni pale mwanadamu alipopigwa marufuku kuhoji kuhusu Mungu! Ni Mungu huyu huyu ambae tunaaminishwa kwamba anatupenda wanadamu na ametujaalia hili ama lile bado ni Mungu huyo huyo ambae anatupiga marufuku kumchimba na kumchimbua kwa mapana na marefu! Sie tunaoendaga msikitini tunaambiwa; NO, in fact, TUNATISHWA kwamba kuchimbua sana kuhusu Mungu ni KUFURU! Ada ya mwenye kukufuru na moto wa Jehanamu...leo hii kila mmoja anaogoapa kukufuru; anaogopa moto wa Jehanamu! Ukienda upande wa pili, wale wa kanisani; nako si salama hata kidogo! Huko ukichimbua chimbua kuhusu mambo na related stuffs utaambiwa, no, UTATISHWA kwamba UNA MAPEPO, unapaswa kuombewa!! Kila mmoja anaogopa kuonekana ana mapepo, ambao bila shaka hawa nao hawatauona uzima wa milele! Ni Mungu mwenyewe ndie alitoa agizo kwamba tusimchimbechimbe au na hawa mawakala wake wanaokula kupitia jina lake! IKiwa ni Mungu mwenyewe ndie alitoa AGIZO, ni kwanini basi hakutaka tutumie uwezo aliotupatia ili tuweze kumchimba kisawa sawa? Anaogopa nini? Au ni hawa mawakala wake ndio wanatukataza kuchimbachimba kuhusu Mungu? Kama ndio, wanaogopa tutagundua nini? Ni kwamba wana mashaka juu ya uwezekano wa kuendelea uwapo wa mkate wao, au?
 
Kama Mungu ametuumba na halafu akatupa na akili, akili zinatosha kuacha kumfuata shetani, unajua sisi ni bora kuliko shetani? Kisa cha shetani kulaaniwa na Muumba ni pale akipokataa ukweli huo kwamba akubali kua binadamu ni bora kuliko yeye, sasa inakuaje kiumbe dhaifu kama shetani anakutawala? Tatizo ni wewe mwenyewe kukubali kuongozwa na shetani na wala sio shetani kukuongoza yeye

umeielewa hiyo topic lakini?

waafrika mko deeply religious katika dini za waarabu, Islam, na wazungu, ukristo. Cha ajabu shida, majanga na mabalaa yote yamepiga kambi Africa. Sasa huyo Mungu anawapenda waafrika? Kama yupo siyo Mungu wenu waafrika, ni Mungu wa wazungu na waarabu.
 
The very one thing i like about these God stuffs ni pale mwanadamu alipopigwa marufuku kuhoji kuhusu Mungu! Ni Mungu huyu huyu ambae tunaaminishwa kwamba anatupenda wanadamu na ametujaalia hili ama lile bado ni Mungu huyo huyo ambae anatupiga marufuku kumchimba na kumchimbua kwa mapana na marefu! Sie tunaoendaga msikitini tunaambiwa; NO, in fact, TUNATISHWA kwamba kuchimbua sana kuhusu Mungu ni KUFURU! Ada ya mwenye kukufuru na moto wa Jehanamu...leo hii kila mmoja anaogoapa kukufuru; anaogopa moto wa Jehanamu! Ukienda upande wa pili, wale wa kanisani; nako si salama hata kidogo! Huko ukichimbua chimbua kuhusu mambo na related stuffs utaambiwa, no, UTATISHWA kwamba UNA MAPEPO, unapaswa kuombewa!! Kila mmoja anaogopa kuonekana ana mapepo, ambao bila shaka hawa nao hawatauona uzima wa milele! Ni Mungu mwenyewe ndie alitoa agizo kwamba tusimchimbechimbe au na hawa mawakala wake wanaokula kupitia jina lake! IKiwa ni Mungu mwenyewe ndie alitoa AGIZO, ni kwanini basi hakutaka tutumie uwezo aliotupatia ili tuweze kumchimba kisawa sawa? Anaogopa nini? Au ni hawa mawakala wake ndio wanatukataza kuchimbachimba kuhusu Mungu? Kama ndio, wanaogopa tutagundua nini? Ni kwamba wana mashaka juu ya uwezekano wa kuendelea uwapo wa mkate wao, au?

kaka kula tano kabisa. Mi nilikataa kwenda kanisani kwa sababu ya mambo hayo uliyooandika.
 
Back
Top Bottom