Kama unaijua biblia na quran vizuri nitakwambia tatizo lao, kuna never resolve consistency/contradictions ambazo zinafanya vile vitabu viwe vichekesho, kwa kubase tu kwenye maandiko yao inatosha kuona kuwa hiyo miungu yao ni uzushi.Kwahiyo na Creator yupo mmoja au creator wa waislamu ni tofauti na wakristo na wa wakristo tofauti na wasio na creator wako wewe?
Free thinkers tunamtofautisha creator na mungu/miungu baada ya kuangalia sifa zinazoainishwa kwenye vitabu vyao yehova, allah, zeus, horus, osiris, mithra hawawezi kuwa kitu kimoja sababu wanaelezewa kwa sifa tofauti kabisa, there ndipo concept ya creator inapoingia badala ya god because there are hundred or even thousands of godsKwahiyo na Creator yupo mmoja au creator wa waislamu ni tofauti na wakristo na wa wakristo tofauti na wasio na creator wako wewe?
Haujajibu nilichouliza,nimeuliza kuhusu creator?kama unaijua biblia na quran vizuri nitakwambia tatizo lao
kuna never resolve consistency/contradictions ambazo zinafanya vile vitabu viwe vichekesho
kwa kubase tu kwenye maandiko yao inatosha kuona kuwa hiyo miungu yao ni uzushi
unajua ingekuwa rahisi kuelezea miungu yao kama wasingeweka kwenye maandishi
maandishi yao ni vituko vitupu (kwa mtu anayevichambua kwa uhuru wa kifikra)
Kwahiyo unaona sifa za Creator zinapingana na sifa za Mungu? Au jinsi Mungu anavyoelezewa ni tofauti na alivyo creator?free thinkers tunamtofautisha creator na mungu/miungu baada ya kuangalia sifa zinazoainishwa kwenye vitabu vyao
yehova,allah,zeus,horus,osiris,mithra hawawezi kuwa kitu kimoja sababu wanaelezewa kwa sifa tofauti kabisa
there ndipo concept ya creator inapoingia badala ya god because there are hundred or even thousands of gods
Tatizo sio kuamini bali ni maelezo ya hicho unachokiamini,sasa wewe unaposhindwa kujielewa hata wewe mwenyewe ni pale unapoona shida mtu kusema kaongea na Mungu ila huna shida mtu kuamini tu Mungu.nitaongea na wewe kwa mara ya mwisho
mimi ninapoclaim nimeongea na rais trump hiyo sio imani,ni kitendo ambacho inabidi nikithibitishe kuwa niliongea nae bila shaka(recorded convo,whateva)
ninapoamini yupo rais anaitwa trump,hiyo inaweza kuwa imani na hatuna tatizo nayo,tratizo utakapoanza kusema trump kanimbia msiwe mnakula burger...itakubidi uthibitishe kauli yako
kwaheri kama hujaelewa mfano huu wa darasa la pili
Mzee baba naona haupo kuelewa, sina mifano ya kukupa, kwanza hujui chochote kuhusu biblia wala quranHaujajibu nilichouliza,nimeuliza kuhusu creator?
Mzee baba naona haupo kuelewa, sina mifano ya kukupa, kwanza hujui chochote kuhusu biblia wala quranKwahiyo unaona sifa za Creator zinapingana na sifa za Mungu? Au jinsi Mungu anavyoelezewa ni tofauti na alivyo creator?
Tatizo sio kuamini bali ni maelezo ya hicho unachokiamini,sasa wewe unaposhindwa kujielewa hata wewe mwenyewe ni pale unapoona shida mtu kusema kaongea na Mungu ila huna shida mtu kuamini tu Mungu.
Huyo Mungu tusingemjua sifa zake bila kuelezwa na ndiyo tukaamini,sasa wewe hauoni shida mtu kukubali hayo maelezo yenye kumuelezea huyo Mungu na wakaamini huyo Mungu ila unakuja kuona shida pale unapoambiwa watu hao hao waliyomuelezea Mungu kuwa wameongea na Mungu!
Yani ni sawa mtu akwambia anaamini rais wa marekani ni mweusi wakati wewe unajua sio kweli ila ukamuacha tu kwa sababu ndio anavyoamini,halafu huyo mtu aje kusema ameongea na huyo rais mweusi wa marekani ndiyo wewe unakuja kudai uthibitishiwe kama kweli ameongea nae.
Wewe unadhani kuwa na Qur'an na kujisomea mwenyewe ndani kujui Qur'an? Na ndiyo maana kuna siku umekuja kusema Qur'an inasema jua huwa linazama kwenye matope,nilipoanza kukuhoji ukaniambie niwaulize waislamu wakati wewe mwenyewe unajiita msomi wa Qur'an na Biblia.mzee baba naona haupo kuelewa
sina mifano ya kukupa
kwanza hujui chochote kuhusu biblia wala quran
it is just a waste of time
Watu kama nyie wa kukariri hamuwezi kunielewa,mkipimwa uelewa wenu wa misimamo mliyonayo lazima muone shida maana mmejilemaza kushambulia wengine na si nyie kuhojiwa.unajaribu kusema kuwa niache ujinga wa wazi utamalaki bila kuukosoa kwa facts!!!!!
kama huwezi kuona uongo na ujinga uliomo kwenye quran na biblia basi unahitaji brain surgery
mzee baba naona haupo kuelewa
sina mifano ya kukupa
kwanza hujui chochote kuhusu biblia wala quran
it is just a waste of time
i think you should stop trying debate with me sababu nakuona mweupe kwenye ishu za theology
all you do is trying to be knowledgeable and relevant ising the knowlege i am dropping
so please do not quote me
Wewe unadhani kuwa na Qur'an na kujisomea mwenyewe ndani kujui Qur'an? Na ndiyo maana kuna siku umekuja kusema Qur'an inasema jua huwa linazama kwenye matope,nilipoanza kukuhoji ukaniambie niwaulize waislamu wakati wewe mwenyewe unajiita msomi wa Qur'an na Biblia.
hujui quran hujui bibliaWatu kama nyie wa kukariri hamuwezi kunielewa,mkipimwa uelewa wenu wa misimamo mliyonayo lazima muone shida maana mmejilemaza kushambulia wengine na si nyie kuhojiwa.
Muda wote hapa nilikuwa nakufafanulia tu uliyoyaeleza mwenyewe ila imeshindwa kuyaelewa,ila ajabu kila ukija unarudia maelezo yaleyale na kuishia kusema sikuelewi kumbe wewe ndio hauelewi uliyoyaandika.
Wewe mweupe tu kichwani nitadebate nini na wewe wakati unachokieleza tu hukielewi,muda wote hapa nakufafanulia ulichokieleza mwenyewe.hujui quran hujui biblia
hueleweki kama ni muislam au mkristo
mimi nazikosoa biblia na quran,kama hauwezi kudebate na mimi kwenye hivyo vitabu viwili kakojoe ukalale huna hadhi ya kudebate na mimi
usitake relevance kwenye hii forum kupitia mimi
tafuta kazi ya kufanya tusipotezeane mda
Mtu ambaye hata kuelewa tu mzito halafu unasema unakosoa Qur'an na Biblia!hujui quran hujui biblia
hueleweki kama ni muislam au mkristo
mimi nazikosoa biblia na quran,kama hauwezi kudebate na mimi kwenye hivyo vitabu viwili kakojoe ukalale huna hadhi ya kudebate na mimi
usitake relevance kwenye hii forum kupitia mimi
tafuta kazi ya kufanya tusipotezeane mda
Huna hata sababu ya kueleza kwanini unaamini hivyo na si vinginevyo,et sina hakika naamini tu.kama unaamini sio spirit it's ok too sababu hata mimi sina uhakika,it is just a belief
Wewe mweupe tu kichwani nitadebate nini na wewe wakati unachokieleza tu hukielewi,muda wote hapa nakufafanulia ulichokieleza mwenyewe.
Et huna tatizo na mtu kuamini Allah wala Yehova ila vitabu vyenye kuwaelezea Yehova na Allah ndio unavipinga! halafu mtu kama wewe et unataka debate ya quran na biblia.
Mtu ambaye hata kuelewa tu mzito halafu unasema unakosoa Qur'an na Biblia!
Unakuja kutuambia Qur'an inasema jua huwa linazama kwenye matope,wewe ndio msomi wa Qur'an ambaye unaweza kuikosoa Qur'an?
IgnoredHuna hata sababu ya kueleza kwanini unaamini hivyo na si vinginevyo,et sina hakika naamini tu.
Hiyo sio imani bali hisia.
Sasa kama wewe unachoamini ukielewi , inakuaje unaleta ujuvi kwenye kile wanachokiamini wenzakokama unaamini sio spirit it's ok too sababu hata mimi sina uhakika,it is just a belief