Mungu gani maana kuna miungu wengiMbona msimamo wangu upo wazi kuwa naamini Mungu na ndiyo maana muda wote napingana na wapinga Mungu humu,labda wewe ndio haujulikani msimamo upi.
Mohamed Ibn abdullah aliunga mkono jua kuzama kwenye bwawa la maji kwenye hadithTumemaliza muonaji ni dhul Qarnaini , sasa unashangaa vip wakati kila mtu anaona kwa upeo wake
hujajibu swaliUjinga ni wewe kushindwa kueleza hicho unachoamini
Hata wewe hicho unacho kieleza pia huko peke yako , kuwa peke yako sio hoja ya msingihujajibu swali
kama alikuwa peke yake bila shahidi mwingine,inakuwaje unaamini tu kama mjinga?
Hiyo hadithi ni dhaifu kwasababu zipo hadithi nyingi zinazoelezea hilo tukio , bila kutaja hayo matope yakomohamed ibn abdullah aliunga mkono jua kuzama kwenye bwawa la maji kwenye hadith
Mungu wangu anakuhusu nini? (👈Ni jibu langu)jibu swali wewe
mungu wako anaitwa nani?
Link Is God Merciful? Islam’s Response to Evil & Suffering......
Kwa sababu, hata kama ulimwengu haiwezekani kuwa umejifanya wenyewe, hilo halimaanishi automatically kwamba umefanywa na Mungu.
Inawezekana ulimwengu haujajiumba wenyewe, na wala haujaumbwa na Mungu.
Na narudia tena, habari ya "kitu complex lazima kina aliyekifanya" inatuonesha Mungu hawezi kuwepo, kwa sababu Mungu naye ni complex na atahitaji muumbaji wake, na muumbaji wake atahitaji muumbaji wake, ad nauseum, ad infinitum.
Sijapinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani, hagusiki, hanusiki etc.
Napinga uwepo wa Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.
The problem of evil poses a big contradiction for this God idea.
...
Naomba usome the attached book, kama hujakisoma, kinaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology", particularly see "PART IV The Problem of Evil page 276" in the attached book. If you haven't read and can read the entire book it will be even better, but the core of my critique is starting at "PART IV The Problem of Evil page 276"
The very fact that little children are disadvantaged knowledge wise compared to grandfathers, mostly, on the average, proves that an all knowing, all loving and all capable God does not exist.
Sijawahi kusema nimeongea na muumbaHata wewe hicho unacho kieleza pia huko peke yako , kuwa peke yako sio hoja ya msingi
Hiyo hadithi ni dhaifu kwasababu zipo hadithi nyingi zinazoelezea hilo tukio , bila kutaja hayo matope yako
wewe ni mkristo au muislam?Mungu wangu anakuhusu nini? (👈Ni jibu langu)
We si umesema hayo ni majina tu,nishakumbia kuwa naamini Mungu sasa hayo majina ya Allah au Yehova ya nini tena? Au hayo majina yanatofautiana mengine yanakusudia kitu tofauti na Mungu?mungu gani maana kuna miungu wengi
allah,yehova,yesu,zeus au isis?
jibu tafadhali
Kama hujawahi kuongeanae wala kuonana nae umewezaje kufikiri kuwa kuna muumba na sio vinginevyo au kwanini isiwe kuna waumbaji kwa maana zaidi ya mmoja?sijawahi kusema nimeongea na muumba
huna jibu...kwaheri
sijakuuliza weweKama hujawahi kuongeanae wala kuonana nae umewezaje kufikiri kuwa kuna muumba na sio vinginevyo au kwanini isiwe kuna waumbaji kwa maana zaidi ya mmoja?
mungu wako ashawahi kuongea na wewe?We si umesema hayo ni majina tu,nishakumbia kuwa naamini Mungu sasa hayo majina ya Allah au Yehova ya nini tena? Au hayo majina yanatofautiana mengine yanakusudia kitu tofauti na Mungu?
Point ya msingi ni kwamba naamini Mungu na wewe huna tatizo mtu kuamini Mungu,sasa huko kwenye Allah na Yehova lazima utahusisha biblia na qur'an na wewe hukubaliani na hivyo vitabu.
Mi nahitaji kujua Mungu yupo mmoja au wapo wengi? au kila jamii huwa ina request aina fulani ya nguvu kutoka kwa Mungu alafu huiita hiyo nguvu Mungu wao.Kwa nini China ,Japan,Roma,Jerusalem, Mecca,Bangkok na sehemu nyingine za Ulimwengu wanaabudu Mungu ila kila jamii na uwasilishi wake wa kipekee katika muonekano wa Mungu?Mi nachoamin mungu yupo
Ila wazungu waliwashika babu zetu pabaya
HahahahMleta mada umenivuruga kidogo. Mimi naamini kuwa Mungu yupo, lakini unaposema alikuwepo kabla ya muda na yeye ndiye aliyetengeneza muda, ni vipi tukio la yeye kuwepo litokee nje ya muda. Hebu nifafanulie hapo.
Nishakwambia imani yangu naamini Mungu.walijiuliza kama nilivyojiuliza mimi wakaja na concept ya creator
hawakuwahi kusema waliongea naye wala kusema waliambiwa waandike kitabu
wewe ni mkristo au muislam?
naona unaendelea krukaruka tu
i tell you,this time usiponiambia imani yako sitakujibu and i mean it
siko hapa kukufundisha