God existed before time and He created time

God existed before time and He created time

Mbona msimamo wangu upo wazi kuwa naamini Mungu na ndiyo maana muda wote napingana na wapinga Mungu humu,labda wewe ndio haujulikani msimamo upi.
Mungu gani maana kuna miungu wengi
allah, yehova, yesu, zeus au isis?
jibu tafadhali
 
Mada nzuri kulingana na mwandiko wa mtoa mada ila sasa wapinzani ( wachangiaji khaaaa ni nuksi) wanapinga nao kwa hoja nzito. Kiranga
 
......

Kwa sababu, hata kama ulimwengu haiwezekani kuwa umejifanya wenyewe, hilo halimaanishi automatically kwamba umefanywa na Mungu.

Inawezekana ulimwengu haujajiumba wenyewe, na wala haujaumbwa na Mungu.

Na narudia tena, habari ya "kitu complex lazima kina aliyekifanya" inatuonesha Mungu hawezi kuwepo, kwa sababu Mungu naye ni complex na atahitaji muumbaji wake, na muumbaji wake atahitaji muumbaji wake, ad nauseum, ad infinitum.

Sijapinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani, hagusiki, hanusiki etc.

Napinga uwepo wa Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.

The problem of evil poses a big contradiction for this God idea.

...
Naomba usome the attached book, kama hujakisoma, kinaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology", particularly see "PART IV The Problem of Evil page 276" in the attached book. If you haven't read and can read the entire book it will be even better, but the core of my critique is starting at "PART IV The Problem of Evil page 276"
Link Is God Merciful? Islam’s Response to Evil & Suffering
 
Hiyo hadithi ni dhaifu kwasababu zipo hadithi nyingi zinazoelezea hilo tukio , bila kutaja hayo matope yako

Usitake kukwepesha mada,ni maji ya matope.maji machafu4, mohamed kasapoti jua kuzama kwenye bwawa la maji ya mtope, hadith sunan abu dawud 3991
 
mungu gani maana kuna miungu wengi
allah,yehova,yesu,zeus au isis?
jibu tafadhali
We si umesema hayo ni majina tu,nishakumbia kuwa naamini Mungu sasa hayo majina ya Allah au Yehova ya nini tena? Au hayo majina yanatofautiana mengine yanakusudia kitu tofauti na Mungu?

Point ya msingi ni kwamba naamini Mungu na wewe huna tatizo mtu kuamini Mungu,sasa huko kwenye Allah na Yehova lazima utahusisha biblia na qur'an na wewe hukubaliani na hivyo vitabu.
 
sijawahi kusema nimeongea na muumba
huna jibu...kwaheri
Kama hujawahi kuongeanae wala kuonana nae umewezaje kufikiri kuwa kuna muumba na sio vinginevyo au kwanini isiwe kuna waumbaji kwa maana zaidi ya mmoja?
 
Kama hujawahi kuongeanae wala kuonana nae umewezaje kufikiri kuwa kuna muumba na sio vinginevyo au kwanini isiwe kuna waumbaji kwa maana zaidi ya mmoja?
sijakuuliza wewe
sema kwanza wewe ni mkristo,muislam?
 
We si umesema hayo ni majina tu,nishakumbia kuwa naamini Mungu sasa hayo majina ya Allah au Yehova ya nini tena? Au hayo majina yanatofautiana mengine yanakusudia kitu tofauti na Mungu?

Point ya msingi ni kwamba naamini Mungu na wewe huna tatizo mtu kuamini Mungu,sasa huko kwenye Allah na Yehova lazima utahusisha biblia na qur'an na wewe hukubaliani na hivyo vitabu.
mungu wako ashawahi kuongea na wewe?
 
Mi nachoamin mungu yupo

Ila wazungu waliwashika babu zetu pabaya
Mi nahitaji kujua Mungu yupo mmoja au wapo wengi? au kila jamii huwa ina request aina fulani ya nguvu kutoka kwa Mungu alafu huiita hiyo nguvu Mungu wao.Kwa nini China ,Japan,Roma,Jerusalem, Mecca,Bangkok na sehemu nyingine za Ulimwengu wanaabudu Mungu ila kila jamii na uwasilishi wake wa kipekee katika muonekano wa Mungu?
 
walijiuliza kama nilivyojiuliza mimi wakaja na concept ya creator
hawakuwahi kusema waliongea naye wala kusema waliambiwa waandike kitabu
wewe ni mkristo au muislam?
naona unaendelea krukaruka tu
i tell you,this time usiponiambia imani yako sitakujibu and i mean it
siko hapa kukufundisha
Nishakwambia imani yangu naamini Mungu.

Mungu ni zaidi ya kuwa Creator,sasa kama hao watu wa makka walijiuliza labda kuhusu huu ulimwengu tu na kupata majibu ya kuwa kuna creator basi hauwezi kusema walikuwa wanaamini Allah kwa maana ya Mungu.

Swali:Na idea ya kumuabudu huyo Creator ilitoka wapi maana hao watu wa Makka walikuwa wakiabudu?
 
Back
Top Bottom