God existed before time and He created time

God existed before time and He created time

Nishakwambia imani yangu naamini Mungu.

Mungu ni zaidi ya kuwa Creator,sasa kama hao watu wa makka walijiuliza labda kuhusu huu ulimwengu tu na kupata majibu ya kuwa kuna creator basi hauwezi kusema walikuwa wanaamini Allah kwa maana ya Mungu.

Swali:Na idea ya kumuabudu huyo Creator ilitoka wapi maana hao watu wa Makka walikuwa wakiabudu?
On fact ni kwamba hawakuwa na mtume wala kitabu
umesema unaamini uwepo wa mungu
swali langu ni kwamba,je huyo mungu wako ulishawahi kuongea naye?
 
sijakuuliza wewe
sema kwanza wewe ni mkristo,muislam?
Unakwepa kuulizwa maswali ya msingi juu ya unachokiamini na kukimbilia kulazimisha kujua imani za watu ili uanze kushambulia,nishakwambia mie naamini Mungu iweje unilazimishe nikutajie kama ni mkristo au muislamu?
 
on fact ni kwamba hawakuwa na mtume wala kitabu
umesema unaamini uwepo wa mungu
swali langu ni kwamba,je huyo mungu wako ulishawahi kuongea naye?
Haujajibu swali,hao watu wa Makka waliwezaje kujua kuwa huyo Creator anataka kuabudiwa hadi wakaanza kuabudu? Suala si kuwa na mtume wala kitabu,kama waliwezaje kujua Creator anataka kuabudiwa na wakafundishana jinsi ya kumuabudu huyo Creator,je hapo kunatofauti gani na kuwepo mtume na kitabu?
 
Haujajibu swali,hao watu wa Makka waliwezaje kujua kuwa huyo Creator anataka kuabudiwa hadi wakaanza kuabudu? Suala si kuwa na mtume wala kitabu,kama waliwezaje kujua Creator anataka kuabudiwa na wakafundishana jinsi ya kumuabudu huyo Creator,je hapo kunatofauti gani na kuwepo mtume na kitabu?
Unakimbia swali, mungu ameshawahi kuongea na wewe?
 
Muda/Wakati umetengenezwa na Binadamu ili kuyajua majira,kujifunza mambo ya anga,majini(Bahari,Ziwa na Mito),kwa ajili ya kilimo na kwa ajili ya mpango mbalimbali tuliyojiwekea(mfano millennium goals). Yaaminika kila afanyalo binadamu linakuwa na mwongozo wake mwenyewe,wa mungu au wa shetani
 
na wewe unamuamini kama ulivyodai
tuambie kaongea nini na wewe?
Mbona umeshikilia suala la kuongea! nimekuuliza kwani Mungu ili awe Mungu lazima awe anaongea na kila mtu anayemuamini? sijaelewa point ya msingi ya kuniuliza mie kama nimeongea na Mungu ni ipi?
 
unakimbia swali
mungu ameshawahi kuongea na wewe?
Sijasikimbia swali bali nimetaka ufafanuzi juu ya swali lako ila naona unashindwa kufafanua swali lako na kulazimisha nilijibu tu hivyohivyo,mie siwezi kujibu swali bila kulifahamu vizuri.

Ila wewe ndio unakimbia maswali kuhusu hao watu wa Makka.
 
Mbona umeshikilia suala la kuongea! nimekuuliza kwani Mungu ili awe Mungu lazima awe anaongea na kila mtu anayemuamini? sijaelewa point ya msingi ya kuniuliza mie kama nimeongea na Mungu ni ipi?
Kama haongei na kila mtu maana yake anachagua wa kuongea nao? point yangu ni kwamba kama hajaongea na wewe hadi sasa unakubali kuwa aliongea na wale wanaoitwa mitume kwenye biblia na quran?
 
Sijasikimbia swali bali nimetaka ufafanuzi juu ya swali lako ila naona unashindwa kufafanua swali lako na kulazimisha nilijibu tu hivyohivyo,mie siwezi kujibu swali bila kulifahamu vizuri.

Ila wewe ndio unakimbia maswali kuhusu hao watu wa Makka.
kwa hiyo mungu wako hajawahi kuongea na wewe?
 
Ok let's say there's creator of universe,why you conclude he/she is God and not otherwise?


Yaan kipi hasa kilichoku convince kwamba huyo creator atakua ni Mungu tu na si mtu au kitu kingine?

Tuanzie hapa kwanza
mkuu Da Hustla, Heshima yako!

Naona swali lako halijajibiwa: Na hii ni kwa sababu watu wengi humu wanajadiliana kwa malengo maalum na mihemko bila kutumia hekima..

Swali lako ni Zuri sana:

Kuthibitisha kuwa huyo Mungu ndiye Creator na siyo otherwise kuna sifa lazima awe nazo:

1. Akiri kwamba yeye ni creator (muumbaji) wa mbingu, ardhi na vuote vilivyomo.
2. Awe mwanzilisha (Cause), mfanyaje (Effect) na mmaliziaji (End)
3. Ajidhirishe katika hoja za kiakili, kisayansi na kiroho.
4. Alete mwendelezo wa ujumbe (ufunuo) katika zama zote muda wa kuwa Dunia inadumu - asiwe wa zama fulani tu.
5. Awe na wafuasi katika nchi zote (mabara yote) na hiyo Dini ya haki iwe na sifa ya kuongezeka kwa kasi.

Hii ni kuwa siyo kila anayejiita au kuitwa Mungu ni Muumbaji (creator).
 
kama haongei na kila mtu maana yake anachagua wa kuongea nao?
point yangu ni kwamba kama hajaongea na wewe hadi sasa unakubali kuwa aliongea na wale wanaoitwa mitume kwenye biblia na quran?
Kuna maelezo kwenye Qur'an ambayo yamekuja kufafanuliwa au kuthibitishwa na sayansi katika hizi zama zetu kwa kutumia vifaa ambavyo havikuwepo katika zama za hao mitume,kwangu mimi naamini kuwa kulikuwa na mawasiliano kati ya Mungu na hao mitume maana bila hivyo isingewezekana kwa mtume kueleza mambo ya kisayansi katika zama walizonazo.

Je wewe unasemaje?
 
Kuna maelezo kwenye Qur'an ambayo yamekuja kufafanuliwa au kuthibitishwa na sayansi katika hizi zama zetu kwa kutumia vifaa ambavyo havikuwepo katika zama za hao mitume,kwangu mimi naamini kuwa kulikuwa na mawasiliano kati ya Mungu na hao mitume maana bila hivyo isingewezekana kwa mtume kueleza mambo ya kisayansi katika zama walizonazo.

Je wewe unasemaje?

Kwanza niwashukuru woote who gave a bit of insight about this issue, If you can let me draw some lines in here :- Whatever proof you need for God existence or whether is he or what else you are thinking of, You must first agree what books will be used as source of info.

Why is that? Because the truth lies in those books , not otherwise.
God spoke to his prophets and it was recorded for us to gain the knowledge.
 
Kuna maelezo kwenye Qur'an ambayo yamekuja kufafanuliwa au kuthibitishwa na sayansi katika hizi zama zetu kwa kutumia vifaa ambavyo havikuwepo katika zama za hao mitume,kwangu mimi naamini kuwa kulikuwa na mawasiliano kati ya Mungu na hao mitume maana bila hivyo isingewezekana kwa mtume kueleza mambo ya kisayansi katika zama walizonazo.

Je wewe unasemaje?
mjadala tumeufunga,..
you are a religious person
good luck katika kuamini
naenda kwenye majukwaa mengine
 
mjadala tumeufunga,..
you are a religious person
good luck katika kuamini
naenda kwenye majukwaa mengine
Labda useme unakimbia mjadala,maana nimeeleza kwanini naamini sijatumia hisia tu kama ambavyo wewe unatumia hisia kwenye imani yako ya kuwepo Creator na ndiyo maana hautaki kujadili hiyo imani.

Wewe kama nilivyokwambia kuwa ni mweupe tu kichwani hivyo ni lazima huu mjadala uukimbie tu.
 
Mungu ni mawazo yaliyopo kichwani mwako wala hayupo

Na hizo ni hadithi waliosemezana watu wa kale na ndio utakuja kuona huyo mungu anapewa sifa kubwa wakati hakuna anachokijua

Kwakuwa mungu ametungwa ndio maana wapo wengi sana
 
Mungu ni mawazo yaliyopo kichwani mwako wala hayupo

Na hizo ni hadithi waliosemezana watu wa kale na ndio utakuja kuona huyo mungu anapewa sifa kubwa wakati hakuna anachokijua

Kwakuwa mungu ametungwa ndio maana wapo wengi sana
Mkuu,
Kuna Post nimeitoa hapo juu kuchangia swami la Da Hustla ningependa nichangie katika point pale kuwa sifa mojawapo ya Mungu Muumba ni kuwa lazima ajidhihirishe katika hoja za kiakili, kisayansi na kiroho.

Sasa hebu fuatilia Post yangu hii kisha uone kuwa zao la Mungu muumba sio zao la mawazo yaliyopo kichwani mwa mtu bali uhalisia kutegemeana na Mungu yupi unayemuabudu.

Natanguliza kujenga hoja kwa aya ndani ya Qur'an kisha nitoe maelezo kwa ufupi.

Mungu anasema katika Surat At-Talaaq aya ya 12.
"Mwenyezi Mungu nu yule ambaye amezuimba mbingu Saba, na Ardhi kwa mfano wa hizo. Amir zake zinashuka baina Yao, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni mwenye uweza juu ya kila kitu, na kwamba mwenyezi mungu amekizunguka kila kitu kukijua vilivyo kwa elimu yake. (quran 65:12)

Ufafanuzi:
Hapo tumeambiwa Mungu kaumba mbingu saba. Kuna tafsiri mbili hapa na mimi nitatoa moja tu.
Mbingu saba kwa matabaka (Atmosperic layers)
1. Troposphere
2. Stratosphere
3. Ozone Layer
4. Mesosphere
5. Ionosphere
6.Thermosphere
7. Exosphere
Hizo ni major spheres ingawa wanasayansi wamejaribu kuzi-subdivide kama stratopause au tropopause, belts ,nk
Ndani ya hizo layers kuna amri nyingi sana (Commands) kama upepo (kuvuma au kutulia), kupwa na kujaa kwa bahari, kimbunga, photosynthesis, mvua (formation of rains), joto, baridi, Masika, kiangazi, radi, mawingu ya kawaida au ya mvua, mawingu kwenda kasi au kawaida,nk. Na hiyo ni katika Troposphere tu. sijakwambia Ozone layer, repulsion of meteors, x-rays, gamma rays. Nasi humo katika layers tunapata manufaa makubwa sana ya kurusha satellites, kupata mawimbi ya sauti, Simu, radio, TVs, rockets zinapita nk.

Aya inasema; "Na ameumba Ardhi kwa mfano wa hizo (Mbingu Saba)":

Hebu nazo tuzione kama kweli zipo saba.

core.
1. Inner Core (Solid)
2. Outer core (Liquid)

Mantle
3. Methosphere
4. Esthenosphere
5. Lisosphere

Crust
6. Continental crust
7. Oceanic crust

Sijakwambia Amri zinazotoka humo pia kama kupwa na kujaa kwa bahari, aina mbalimbali za udongo, miamba,uoto mbalimbali, madini, maji ya visima, ladha za maji mbalimbali, volcano, landsildes, nk, nk, nk
hizo zote ni amri zinazotoka kwa Allah Muumba. Nasi tunapata faida kubwa sana humo na Maisha yanaenda.

Na katika hali zote hizo hakuna mwanasayansi aliyetengeneza au kuumba na wala hawezi kubadilisha chochote Zaidi ya kukielezea tu. Cause and effect remain to al-Mighty God and leaves scientists to explain.

Sasa vyovyote watakavyoelezea, wakipatia sawa, wakikosea Mungu kishasema na kufanya. Naye ndiye aliekizunguka kila kitu kwa Elimu (Ujuzi) yake.

Conclusion: Mungu kasema kafanya, na akasema Kuna amri. Mengi tunayashuhudia na mengine sayansi imethibitisha, akili pia imekubali. Kilichobaki hapa ni roho kuitikia wito kuwa kweli aliyeyafanya haya si mwingine ila ni Mungu Muumba mwenye uwezo wa kufanya, kutoa amri na kuvilinda.

Kwa hiyo wazo la Mungu Muumba au Mwenyezi Mungu sio zao la akili au mawazo. Labda unaongelea neno Mungu kwa tafsiri ya wingi wa miungu.
 
Back
Top Bottom