Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Watu wenye hekima na busara wanasema macho ni pazia ya nafsi. Unaweza kusoma yaliyomo ndani ya nafsi ya MTU kwa kutazama macho Yake.

Juzi.nimetazama FNL show and honestyly speaking Sam Misago anaonekana.hayupo sawa kabisa.

Hata hiyo show yenyewe alikuwa anaonekana anaifanya kwa kukibaraguza ( kulazimisha furaha )

He seems to posses a very troubled mind just like the Nazarenus when he was informed about the death.of Lazarus.

Watu wa karibu na Sam.Misago kaeni karibu na ndugu yenu mumfariji Kabla hajajidhuru.

Mzigo aliotupiwa ni mzito kama kabwe.

Ni wanaume wachache sana katika dunia hii wanaweza kubeba mzigo alio tupiwa Sam.Misago et al

Allah akufanyie wepesi mdogo wangu Sam Misago na akuepishie mbali na shari
 
Tanzania wachunguzi wamekua wengi adi kwenye TV wanajua unacho waza[emoji41]
Watu wenye hekima na busara wanasema macho ni pazia ya nafsi. Unaweza kusoma yaliyomo ndani ya nafsi ya MTU kwa kutazama macho Yake.

Juzi.nimetazama FNL show and honestyly speaking Sam Misago anaonekana.hayupo sawa kabisa.

Hata hiyo show yenyewe alikuwa anaonekana anaifanya kwa kukibaraguza ( kulazimisha furaha )

He seems to posses a very troubled mind just like the Nazarenus when he was informed about the death.of Lazarus.

Watu wa karibu na Sam.Misago kaeni karibu na ndugu yenu mumfariji Kabla hajajidhuru.

Mzigo aliotupiwa ni mzito kama kabwe.

Ni wanaume wachache sana katika dunia hii wanaweza kubeba mzigo alio tupiwa Sam.Misago et al

Allah akufanyie wepesi mdogo wangu Sam Misago na akuepishie mbali na shari
 
Back
Top Bottom